..Hili nalo neno!Kama akina Dr. Salim, Prof. Mwandosya, Dr. Magufuli, Idd Simba, Hans Kitine na wote waliogombea 2005 wamenywea it is time for 'Rajolina' to rise. Nani aliwahi kufikiria kuwa DJ Rajo angekuja kuwa Rais? tena akiwa na umri mdogo kuliko unaoruhusiwa na katiba ya nchi yao. Go Shibuda. Ni afadhali Rais akawa Shibuda kuliko huyu Muungwana.
hivi mnajua shibuda alikuwa anafanya kazi gani na mpaka sasa hivi bado anaifanya? wako wengi kama yeye.....
Tumwagie kaka , maana ni muda mzuri wa kumfahamu huyu mtu, na toa maoni yako unamvyomfahamu.
Maoni yangu we need people like Shibuda ndani ya CCM.
Jamaa anaonekana kama Lowassa fulani... I mean anaweza kuchangamsha nchi atleast, mambo yaende,but we do need to know him deeply, tusijezalisha akina Idd Amin,
But I do admire his courage , really I do.
Tanzania had neveer had a president better than Kikwete. it only that the katiba is restrictive we should have hime for the 3rd term. amalizie malengo yake. angalia kesi za mafisadi, kilimo kwanza nk
i thinkletz be fair the guy anajitahidi
Mkuu Waberoya,
Mheshimiwa Shibuda aliwahi kufanyakazi General Tyre miaka ya nyuma sales dept technical jamaa ambao walikuwa nae kipindi hicho wamenithibitishia bila shaka yoyote kwamba ni mtu wa system [usalama wa taifa].
Kwa maoni yangu Shibuda anazuga au ametumwa kuchangamsha jukwaa hana lolote labda kama mtaniambia siku hizi hawa jamaa wa system wameacha kuwa watiifu kwa maboss wao.
Mkuu Waberoya,
Mheshimiwa Shibuda aliwahi kufanyakazi General Tyre miaka ya nyuma sales dept technical jamaa ambao walikuwa nae kipindi hicho wamenithibitishia bila shaka yoyote kwamba ni mtu wa system [usalama wa taifa].
Kwa maoni yangu Shibuda anazuga au ametumwa kuchangamsha jukwaa hana lolote labda kama mtaniambia siku hizi hawa jamaa wa system wameacha kuwa watiifu kwa maboss wao.
Mkuu,
kuwa ndani ya system si kwamba unakatazwa kuingia ikulu. Kumbuka 2005 kulikuwa na wagombeaji wengi toka CCM na wote ni usalama wa Taifa.
Isitoshe kwa sasa mambo yanavyokwenda ndani ya Tanzania ni kwamba nchi haina mwenyewe. Kila mtu anaweza kusema ama kufanya atakavyo.
Sijashangaa kabisa kwa huyu muheshimiwa kuja na ndoto yake ya kuingia Ikulu.
Lakini kwa kuwafananisha JK VS JC ni wazi kuwa JC atakuwa Raisi mzuri 100 times JK.
JC you meant John Shibuda??? (JS then), if so I do agree with you, watu wenye misimamo ya kujaribu huwa wanakuwa viongozi wazuri. halafu hiyo 100 times siyo kweli ni 100 million times
Katika kipindi cha tuongee cha Star TV asubuhi leo, Mhe Augustine Lyatonga Mrema amesema Rais Amani Karume anafaa kuendelea kuwa Rais wa zanzibar katika kipindi cha awamu ya tatu, licha ya ukomo wa kikatiba wa awamu mbili, akidai kwa kufanya hivyo atalinda maridhiano - yake na Seif Sharif Hamad Katibu mkuu wa CUF ambayo anaamini ni msingi mkubwa wa kurejea kwa amani na maelewano Zanzibar.
Anadai muda uliobaki kati ya sasa na oktoba kwenye uchaguzi mkuu hautoshi kutekeleza maridhiano kikamilifu na kama atakuja mwingine maridhiano yanaweza yasiendelee na zanzibar watareja kwenye mpasuko.
Pia anataka vyama vya siasa CCM na CUF vifutwe huko Zanzibar kwa kuwa hivyo ndivyo msingi wa machafuko zanzibar. Pia anataka Serikali ya Mseto iwepo Zanzibar kwa kuwa siasa ya wengi wape haiwezekaniki zanzibar.
Na anasema kugombea Urais ni Biashara kichaa kwake, na anasema Mwl Nyerere alimshauri kugombea ubunge, akapuuza na kugombea Urais, ikala kwake, na asiyesikia la mkuu, huvunjika mguu, na kwamba sasa anaamua kwenda kugombea Ubunge Vunjo, kwa kuwa Hayati Baba wa Taifa ni Muasisi wa CCM basi wana CCm wanapaswa kumuunga mkono.