Nick Furry
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 171
- 178
Helooo wapendwa.....
Mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni juu yenu nyie mlio mbali na upeo wa macho yangu....lakini natumai salam zangu zimewafikia popote pale mlipo....na poleni na harakati za kutafuta grisi....
Moja kati ya malengo niliyojiwekea mwaka huu ni kuweza kuwa na mtoto wangu....sio wa kuzaa.....ila nataka nipate mtoto kwa njia ya kuasili (adoption)....japo ni njia ambayo kwa hapa kwetu sijaiona sana watu wakiitumia ila mie nina sababu zangu za msingi.....hivyo ningependa kujuzwa sheria...taratibu.....na taasisi zinazohusika na hili swala.....asanteni
Mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni juu yenu nyie mlio mbali na upeo wa macho yangu....lakini natumai salam zangu zimewafikia popote pale mlipo....na poleni na harakati za kutafuta grisi....
Moja kati ya malengo niliyojiwekea mwaka huu ni kuweza kuwa na mtoto wangu....sio wa kuzaa.....ila nataka nipate mtoto kwa njia ya kuasili (adoption)....japo ni njia ambayo kwa hapa kwetu sijaiona sana watu wakiitumia ila mie nina sababu zangu za msingi.....hivyo ningependa kujuzwa sheria...taratibu.....na taasisi zinazohusika na hili swala.....asanteni