Naona uwanja leo haujajaa kama ilivyozoeleka
Wana bodi,
Kutoka Tanga mjini, response ya wafanyakazi ni Ndogo Mno...pole pole tu tutafika, tutang'oa mzizi wa fitina,huyu Mgeni Rasmi ndo Mwanzo wa kila tatizo linaltukabili kwa Sasa....
mgaya anaiponda tume ya rais ya ajira maana anadai wafanyakazi hawajaona ilichofanya licha ya pesa nyingi.
Anaiponda serikali kwa tangazo la kushusha mishahara na posho wakati hali ya uchumi inapanda