Anakumbusha kuwa yeye ndiye aliyeanzisha mtindo wa taarifa hizi kujadiliwa bungeni. Zilikuwa zikiwekwa mezani bila kujadiliwa.
Rais kaondokaaaa?????
Naamini bado Chama tawala hakijui njia ya kutokea. Nahisi ni kiwewe cha utawala. Kila alipo Rais nimekuwa nikiona mavazi ya CCM. Hata kampeni za ukimwi utaona jezi za chama!
Ni kweli kwamba wana-CCM hawajaelimika kiasi hiki, miaka 35 tangu waingie ktk siasa! Hawatofautishi chama na ukimwi, chama na mei-mosi, n.k. shit!
Kwa ufasaha mkubwa kabisa, Kikwete amewapasha na kuwapa darsa wanaokurupuka na kurukia jitihada zake wakajifanya kuwa ni hoja zao.
Kawaeleza kinaga ubaga jinsi CAG alivyokuwa akifanya kazi zake na jinsi yeye alivyoshikia bango kubadili huo mfumo. Hakuna utata.
Isitoshe kumbe hata tume za kusimamia wizara, taasisi na idara ilikuwa ni ubunifu wa Kikwete na yeye ndio aliozianzisha.
Mnaokurupuka leo umewashuka!
Muwache ɐʍnpuıdnʞ ubunifu wa Kikwete na kuufanya hoja zenu.
Kwa ufasaha mkubwa kabisa, Kikwete amewapasha na kuwapa darsa wanaokurupuka na kurukia jitihada zake wakajifanya kuwa ni hoja zao.
Kawaeleza kinaga ubaga jinsi CAG alivyokuwa akifanya kazi zake na jinsi yeye alivyoshikia bango kubadili huo mfumo. Hakuna utata.
Isitoshe kumbe hata tume za kusimamia wizara, taasisi na idara ilikuwa ni ubunifu wa Kikwete na yeye ndio aliozianzisha.
Mnaokurupuka leo umewashuka!
Muwache npudn ubunifu wa Kikwete na kuufanya hoja zenu.
Anakumbusha kuwa yeye ndiye aliyeanzisha mtindo wa taarifa hizi kujadiliwa bungeni. Zilikuwa zikiwekwa mezani bila kujadiliwa.
Waonee huruma wenzako hawana mavazi mengine.
Well said ribosome,
Weingi wanaompinga JK ni wezi wa mali za umma, wanajua jamaa hana utani.
wanakurupuka na hoja zake na kuzifanya zao
Hatari sana hii
tatizo ni pale anapowekewa mezani mambo yote,huwa anasita kuwawajibisha watendaji wake
Kikwete ni mtu wa kufata sheria na utawala bora, hakurupuki. Wewe umeshaona mwizi kwanini haumshtaki?
Kikwete ni mtu wa kufata sheria na utawala bora, hakurupuki. Wewe umeshaona mwizi kwanini haumshtaki?
Kikwete is just another bag of oranges!