Arusha Mambo
Senior Member
- Jan 27, 2011
- 174
- 150
Arusha Mambo:
Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete, leo ndiye Mgeni rasmi kwenye Sherehe za Mei Mosi zinazofanyika kitaifa Mjini Tanga, muda huu maandamano ya wafanyakazi yameanza kuingia uwanjani na baadaye wafanyakazi hao watahutubiwa na Mh Rais wakiwa na shauku kubwa ya kutakuwa na nini katika hutuba yake kitakachosaidia kupunguza ugumu wao wa maisha,
Sikiliza tukio hili kupitia Arusha Mambo Internet Radio, visit www.arushamambo.com click "Sikiliza Arusha Mambo FM...." Page ya Tune IN ikifunguka tafadhali LIKE our Radio.
Source: Arusha Mambo.
Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete, leo ndiye Mgeni rasmi kwenye Sherehe za Mei Mosi zinazofanyika kitaifa Mjini Tanga, muda huu maandamano ya wafanyakazi yameanza kuingia uwanjani na baadaye wafanyakazi hao watahutubiwa na Mh Rais wakiwa na shauku kubwa ya kutakuwa na nini katika hutuba yake kitakachosaidia kupunguza ugumu wao wa maisha,
Sikiliza tukio hili kupitia Arusha Mambo Internet Radio, visit www.arushamambo.com click "Sikiliza Arusha Mambo FM...." Page ya Tune IN ikifunguka tafadhali LIKE our Radio.
Source: Arusha Mambo.