Sherehe za Mei Mosi Tanga, JK mgeni rasmi

Anaelezakuwa posho zinaleta hisia kuwa serikali inalipa fungu kubwa la mshahara huku asilimia hamsini ikiwa ni posho
 
Ni kosa la jinai kumwalika JK ambaye ndiyo chanzo cha matatizo ya kila aina hapa TZ, including matatizo ya wafanyakazi!!

sasa hapo unahamisha mzigo kiaina mkuu. Kwa nini lisiwe kosa la aliyemwalika? Mie naona ni kosa la mwalikaji, huyo mwingine hahusiki hapa. ni Mgaya na rahisi wake wa TUKIKUKUTA na MKAKATI
 
Leo ni siku ya wafanyakazi duniani. JK atazungumza na wafanyakazi kupitia sherehe za mei mosi. Atakuwa na jipya la kuwaambia wafanyakazi maana amekuwa hatekelezi ahadi zake?

Amesahau alipowaambia wafanyakazi akili zao wachanganye na za mbayuwayu wakati wa mgomo wao na kuwaambi wagome hata miaka minane kamwe hawataongezewa mishahara?

Leo mshahara uko palepale wakati mfumko wa bei ni mkubwa na wafanyakazi wanakatwa kodi kubwa kuliko hat wafanyabiashara.

sasa hapo sherehe zimedhorora wapi? Embu badili tittle yako iendane na hii habari
 
mkwwere ndio kaanza kuongea. Anakiri kwamba serikali inatambua matatizo ya serikali. Anadai mwaka ujao wa fedha imepanga kutumia 48.3% ya pato la ndani kulipa mishahara na posho.
 
Tatizo la Msingi ni CCM. ng'oeni CCM 2015 kilio chenu mtapata jawabu, hasa Walimu.
 
kama kawaida jk analalamika tuuuuuuuuuu bila kutoa solution ya matatizo ya wafanyakazi!!
 
Blaza anaendelea kutoa simple justifications za kulinganisha matatizo yetu na ya jirani
 
Mmmhh nina wasiwasi na huyu blaza yaani simuelewi hata anachokisema hapa kwetu
 
Back
Top Bottom