Lion's Claws
Member
- Apr 3, 2012
- 30
- 14
Leo ni siku ya wafanyakazi duniani. JK atazungumza na wafanyakazi kupitia sherehe za mei mosi. Atakuwa na jipya la kuwaambia wafanyakazi maana amekuwa hatekelezi ahadi zake?
Amesahau alipowaambia wafanyakazi akili zao wachanganye na za mbayuwayu wakati wa mgomo wao na kuwaambi wagome hata miaka minane kamwe hawataongezewa mishahara?
Leo mshahara uko palepale wakati mfumko wa bei ni mkubwa na wafanyakazi wanakatwa kodi kubwa kuliko hat wafanyabiashara.
Amesahau alipowaambia wafanyakazi akili zao wachanganye na za mbayuwayu wakati wa mgomo wao na kuwaambi wagome hata miaka minane kamwe hawataongezewa mishahara?
Leo mshahara uko palepale wakati mfumko wa bei ni mkubwa na wafanyakazi wanakatwa kodi kubwa kuliko hat wafanyabiashara.