Ukiwa mwanaume kamilifu kupigwa kofi na mkeo ni jambo la kawaida sana. Sisi wanaume tunamaudhi sana ujue. Na mwanamke kukupiga kofi si kwamba anakusudiaNimesema hebu kamuulize bi mkubwa wako kama hajawahi kupigwa kofi na mzee wako. Hata kama hujaona akipigwa ila ujue hiyo ishawahi kutokea, ndoa si rahisi mnavyofikiria ndg na hata tungekuwa tunaweza kuoa dada zetu still tungekosana na kupigana ndani wakati mwingine.
kilichokea sio mamabo yake mkuu mwanaume kucheat ni jambo la kawaida huo ndio uanaume ilaa kusahau yote na kutukana wazazi wangu hiyo ndo imeumiza saana familiaa bora angemtukana mkewe kwa sababu hayatuhusu ila katukana
Sawa i can undestand it hurts mtu akikutukania familia yako au hata angemtukana mkewe mbele yako ingekuuma vile vile
ila kumbuka kua kila mtu amelelewa na malezi yao anakotoka,na wengi waliokua na shida huinama lakini wakishapata hujifanya kama vile hawakusaidiwa na jeuri nyingi, asikuumize kichwa sana chukulia hiyo kama changamoto za maisha
achana nae na mdharau moyoni mwenyezi mungu ndio hakimu wa waja wote pumzi ndio inamfanya mtu ajione hakuna kama yeye sasa elekezeni kilio chenu kwa mwenyezi mungu,na bila kusahau hakuna dawa nzuri kama ukikaa kimnya..
mapenzi unayajua lakini??sio rahisi na haiwez tokea mkuu labda kama hujawahi kutukaniwa wazazi
umekurupika nao,naomba usome ueleweee sijakurupuka dada angu ni zaidi ya chochote bro so kama nyie mpo wa mafungu ni nyie sisi kwetu tupo wawili na still bado wazazi wanatuhitaj so sio rahisi dada angu ateswe na mtu tuliomlea wenyewe alafu mseme kuwa hiyo ni ndoa hapo tunasema ni ujingaKaka wewe una matatizo kwenye kichwa chako. Yaani mtoto wa kiume unakuwa kama mdada acha hizo, unadhani maisha ya ndoa ni mepesi? kama dada yako alikuwa anamnyima unyumba utajuaje?
maana ndo hiyo hiyo boss hayo mengine unayasema wwmmmh mbona kama zimetumika fasihi humu ndani? hii story ukiisoma kibange bange huielewi huyu mtoa mada ana maana zaidi ya moja
hayo umeyawza ww mkuu sio mimimbona kama mhusika ni wewe
id na coment zako tofaut
aisee kinachouma zaidi ni kutukana familiaa bora wangetukanana na mkewe sisi yasingetuhusuShemeji Iv Vitu Ulivyo Viongea Vimenigusa sana
Na Huwa Sijui Nin Kinacho Wafanya Watu Wakishapata Wawadhalau Walioangaika nao
Pole Sana Shemeji
kupigwa kofi hayo ni mambo yao binafsi ila kukutwa na mke mwingine ndani ilhali mkeo ana mtoto wa mwaka mmoja alafu unaulizwa unaanza kutukana kwa kweli mimi binafsi siwez vumiliaa familiaa yangu itukanwe labda ukute ulilelewa na ndugu ila sio wazaziNimesema hebu kamuulize bi mkubwa wako kama hajawahi kupigwa kofi na mzee wako. Hata kama hujaona akipigwa ila ujue hiyo ishawahi kutokea, ndoa si rahisi mnavyofikiria ndg na hata tungekuwa tunaweza kuoa dada zetu still tungekosana na kupigana ndani wakati mwingine.