Shemeji ulichofanya ipo siku tu

Shemeji ulichofanya ipo siku tu

Mapenz ni kitu kingine kabisa unaweza sema hawawez rudiana na wakaruadiana usimsee dada ako kabisa,cha kufanya mpe pole dada basii ila hayo mengine muachie mwenyewe
 
Pole sana mkuu una seem kuumizwa na hili jambo sana which i can understand,lakini kumbuka huyu ni shemeji yako na hujui dadako amependa kiasi gani,kuumia ni sawa lakini usivuke mipaka, muungwana sikuzote akivuliwa nguo hasimamami wimaa,na pia mwenyezi mungu anasema unapotoa na kulia basi mkono wa kushoto usione,haina haja yakumsema mwechie mwenyezi mungu malalamiko yako yote.
kilichokea sio mamabo yake mkuu mwanaume kucheat ni jambo la kawaida huo ndio uanaume ilaa kusahau yote na kutukana wazazi wangu hiyo ndo imeumiza saana familiaa bora angemtukana mkewe kwa sababu hayatuhusu ila katukana
Sasa ww maswala ya dada yako na shemeji yako yanakuhusu nn,walitongozana ulikuwepo?unatupigia kelele humu na je wakipatana waludiane ww utabak kundi gan?kumbuka hili.,watu wakiombana msamaha wakiwa wamevaa nguo ni ngumu sana kusamehana lkm watu wakiombana msamaha wakiwa uchi ni fasta kuludiana,sasa ww jifanye unaingilia maoenzi ya dasa yako uje ukione cha moto wakiludiana

kwahili lazima niiingilie kwa sababu kaitukana familiaa yetu ilhali kalelewaa kama mtoto mchanga and by the way my sister kasha moove on na hamna kurudi nyuma kamwe tupo wawili kama macho mkuu na wazazi wetu hawtarajii na hwawezi tena kuzaa kwa sasa sa kwann aje kuleta mabo ya kijinga
 
Hongera mkuu kwa malengo yako kutimia, sasa na dhani ni mda mwafaka wa wewe kumtafutia dada ako mume mtakayempenda
atapata mkuu as longer as she is beatiful na sio dependant na anajielewaa wanaum,e wapo wengi mkuu ila sio huyo wa kumtoaaa from zero to hero alafu alete ujinga
 
ana mawazo haya haya na yeye ndo hataki hata kumsikiaa manake alikuwa haamnini ila alikuja kumkuta huyo mke mwingine ndani ndo ikawa mwanzo na mwisho
Dada yako bado ana hasira akituliza akili atafanya maamuzi ya busara na uenda akajisongesha kwa mmewe.
 
Ila mi niliwahi kuwaambia wadogo zangu, yani siku ukiwa na boyfriend sijui akanyanyua mkono kukupiga..walai kama unampenda sanaaaa basi hakikisha sifahamu la sivyo sitojali ni baunsa kiasi gani ila nita deal na yeye sawia!!!

Somehow nakuelewa..ila ndo maisha...think positively, kila jambo lina jema lake! (ingawa ni ngumu kukubali)

Aisee kamuulize mama yako kama hakuwahi kupigwa hata kofi na baba yako, ndoa si mchezo kijana. Si kila anayempiga mke wake kofi huwa anapanga mengine yanatokea tu ndani ya hasira. Sidhani kama una mke huenda bado unaruka na vichenchede vya mjini. Kukosana ni matokeo ya kuishi halafu kumbuka kama utajifanya kuongoza familia ya dada zako kwa remote control basi jiandaye kuwafanya wake zako.
 
atapata mkuu as longer as she is beatiful na sio dependant na anajielewaa wanaum,e wapo wengi mkuu ila sio huyo wa kumtoaaa from zero to hero alafu alete ujinga
Inabidi wewe ndio umtafutie mume atakaependwa na familia yenu. Ukimuachia dada yako jukumu la kujitafutia mume, anaweza pata ambaye familia haitampenda
 
kwa sasa ni goodbye forever hawez na haitatokea imagine mtu kisa dadaa ngu kahamishwa kikazi yy kawekewa mpaka wadada wawili wa kazi akaamua kuleta na mwanamke ndani mwingine

Pole sana, kumbe dadako hakuwepo karibu....., kahamishwa kikazi ndio akatafuta wa kupunguza uzito, mbona hilo dogo sana ndio maana wengine tunaruhusiwa kuowa hadi wanne. Dah pole sana ndugu
 
ha


hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee

Kaka wewe una matatizo kwenye kichwa chako. Yaani mtoto wa kiume unakuwa kama mdada acha hizo, unadhani maisha ya ndoa ni mepesi? kama dada yako alikuwa anamnyima unyumba utajuaje?
 
Mfadhili mbuzi, binadamu atakuudhi.

Poleni mno, amini malipo ni hapa hapa duniani, muombeeni aishi miaka mingi tu ili aone makuu ya Mungu
 
ha


hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee
Mumsamehe? Kwani mliolewa wote?
 
Aisee kamuulize mama yako kama hakuwahi kupigwa hata kofi na baba yako, ndoa si mchezo kijana. Si kila anayempiga mke wake kofi huwa anapanga mengine yanatokea tu ndani ya hasira. Sidhani kama una mke huenda bado unaruka na vichenchede vya mjini. Kukosana ni matokeo ya kuishi halafu kumbuka kama utajifanya kuongoza familia ya dada zako kwa remote control basi jiandaye kuwafanya wake zako.

Ulishawahi kupigwa kofi na mkeo?
 
Shemej yako mkurya anamatatizo ila familia yenu inamatatizo zaidi,nahuenda hayo ndo yaliyompelekea mkurya kumsalit dadako..!
**familia yenu haina usiri kuanzia mama mpaka kwa jarome,mpaka nikahis huenda mwandishi anamatatizo yakijinsia.
Haiwezekani mamako akitaka kununua boxer yamkwe wake mpaka aweke kikao chafamilia.
** haiwezekani ww mtoto wakiume ujue kuwa shem wako yuavaa chupi badala yaboxa,ndo maana napata shaka najinsia yako iliyompelekea dadako akwambie yachumban mwake namumewe unless uwe namatatizo yakijinsia.

##familia yenu nimbovu,haifai kuolewa au kuoa coz haina usiri wakutunza hata jambo la chupi,ndo itaweza kutunza kasoro za kitandan??#
 
Unaona ajabu?

Nimesema hebu kamuulize bi mkubwa wako kama hajawahi kupigwa kofi na mzee wako. Hata kama hujaona akipigwa ila ujue hiyo ishawahi kutokea, ndoa si rahisi mnavyofikiria ndg na hata tungekuwa tunaweza kuoa dada zetu still tungekosana na kupigana ndani wakati mwingine.
 
Habari wanaJF,

Naanza week kwa machungu makubwa na kwa hasira isiyokuwa na wa kunituliza.

Kwako shemeji Mkurya,

Naandika kwakuwa najua unaingiaga JF 24/7. Nachotaka kukuambia ni kuwa Mungu yupo kwa ulichomfanyia dada angu. Nataka nikupe taarifa tu kuwa alopewa kapewa na kama kikitoka kimoja huwa vinarudi zaidi ya kumi.

Baada ya kumuoaa dada angu ukakaribishwa home ukawa unalelewa zaidi ya mimi mdogo wa mtu. Familia yetu ilikutunza kama mtoto mchanga mpaka vocha ukawa unanunuliwa ila shemeji shukrani huna, ulijivika ngozi ya kondoo dada angu kakuogesha ukatakata na sasa una shine mjini umejisahau.

Wewe wa kumletea dada angu mke mwingine ndani wakati nyumba ni ya dada angu na kila kitu ni cha kwake? Yaani aiseee ulichokifanya kimeumiza saana familiaaa yetu.

Umesahau baba na mama ndo walokulipia ada yako ya masters baada ya kujifanya wewe ni mtu wa shida sana? Umesahau mama alikununuliaa kila kitu ili uonekane na wewe mwanaume wa mjini? Daah shemeji hakika umefika mjini nakuaandikia kwa kuwa najuaa ujumbe utakufikiaa.

Kupata kazi usidhani ndo umeyapatiaa maisha na kuleta jeuri. Kumbuka ulikuwa unanunuliwaa mpka boxer manake ulikuwa hujui boxer ni nini zaidi ya kuvaaa machupi mtu mzima? Majibu yako na matusi yameisikitisha familiaa na tulichoamua ni kuwa dada angu hatorudi tena kwako na sisi hatutaki kukuona tena na mwanao hutakaa umuone tena wala mkeo hutakaa umsikie tena. Jiandae kwa talaka ya kanisani.

Mwanaume gani wewe ndoa haina miaka 3 ushaingiza mke mwingine ndani? Kwanza tulikukataaa familiaa nzimaa ulivyokuja kama msukule ila dada angu na kiherehere chake akakung'ang'aniaaa na kujifanya kakupenda wewe tu.

Sasa hatma yako imefika, hatukutaki home wala hatutaki kukusikiaa from now onwards, usije niuliaa dada angu akati tupo wawili tu kama macho, ila kumbuka shida hazina mwisho kila kitu chetu twaja chukuaaa shemeji usiyejielewaaa.

From your brother inlaw,

Jerome j.k
Shemeji Iv Vitu Ulivyo Viongea Vimenigusa sana

Na Huwa Sijui Nin Kinacho Wafanya Watu Wakishapata Wawadhalau Walioangaika nao

Pole Sana Shemeji
 
Kk we acha tu mapenz n engo nyingine , wapo watu waliachana had miaka 10 ikaisha bt walirudiana.
 
Back
Top Bottom