Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Wazee wa CCJ Nape Nnauye, Samwel Sitta, Mwakyembe na vibaraka wengine mmemsikia Shelukindo...
 
Lowasa noma yaani aliwalipa kama nauli wenyeviti wa mikoa yote 27 nauli ya kwenda na kurudi Monduli..
 
mkuu njaa ni mbaya sana,nakumbuka huyu mama alivyotokwa na mapovu mdomoni wakati wa sakata la Richmond mpaka kufikia hatua ya kusema Maisha yao yapo hatarini lakini wanamwachia Mungu,siamini kama leo hii angechomoa maisha yake kwa Mungu na kuyarudisha tena kwa israel wake,FREEMASON AT WORK.

ndo ujue kuwa wanasiasa si watu wa kuwaamini,we endelea na bizness zako
 
Raha ya siri ni kutoisema.

Huyu mama ana mambo kama ni siri yake si angekaa nayo na kuiwakilisha kwenye vikao halali vya chama?????

Ndugu yangu mtu akilewa anaweza kusema chochote kilichomo moyoni mwake.
 
aliona mapungu iliokuopo kwenye riport ya mwakyembe riport ili presentiwa kisiasa, hivyo kubadilika na kumunga mkono lowasa ni sehemu ya uhuru wake as human dynamic
 
the nex president URT 2015 is LOWASA BY indicate supported by CCM chairperson from 27 rigion
 
Huyo mama anastahili kuchekiwa afya yake kuanzia miguuni mpaka kichwani,she is a disaster kwa wanaomjua..

Nawe toa ushetani wako hapa kwa hiyo kila aliye upande wa lowassa ni mgonjwa? ugomvi wako binafsi na Edward usiulete hapa peleka huko huko
 
Kwa hiyo lowasa ameshatoa maamuzi mazito ya kugombea urais na kampeni zimeanza?
 
Tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu kama Lowasa, rais ambae anamsimamo kwa sasa CCM ni Lowasa tu.
Lowasa yupi,yule mwizi ambae alitaka kufukuzwa bungeni mwenyewe akajisalimisha kwa kuachia ngazi urais au Lowasa gani jamani...nielezeni wakuu.
 
Kila mtu akipewa kitengo lazima aibe issue ni msimamo wa mtu,mbona kagame ni mafia na dictator la kutupwa lakin kwa kuwa anamsimamo na nchi yake imeendelea,mpen nafas hakuna msafi ata CDM,mwenyekit wa CDM,mpaka Leo kawadhulumu Shirika fulan uwo si wiz????
 
Kila mtu akipewa kitengo lazima aibe issue ni msimamo wa mtu,mbona kagame ni mafia na dictator la kutupwa lakin kwa kuwa anamsimamo na nchi yake imeendelea,mpen nafas hakuna msafi ata CDM,mwenyekit wa CDM,mpaka Leo kawadhulumu Shirika fulan uwo si wiz????
Hata ningekuwa mimi kama Lowasa angekuwa anawaibia nje ya nchi halafu anazileta hapa Tanzania zinatumiaka kujenga hospitali mashule na kununua madawa ningempigania mpaka tone la mwisho lakini siyo huyu fisadi wenu ana waibia watanzania ambao hata bei ya mkate masikini wamesha sahau halafu anapeleka nje...mlaaaaaniwe wote mnaotetea mafisadi...pumbavu zenu kabisa
 
Nawe toa ushetani wako hapa kwa hiyo kila aliye upande wa lowassa ni mgonjwa? ugomvi wako binafsi na Edward usiulete hapa peleka huko huko[/QUOTE kipuyo siku wanafanya mkutano pale Sheikh Amri Abeid nilisailimia na jambazi Lowasa alikuwa anatetemeka sana mkono, amepoa? ni kuhakikishie tu kuwa huyu anapaswa kuwa raisi wa gereza kubwa hapa nchi naambiwa liko Dodoma...
 
Last edited by a moderator:
Wa-Tanzania tuungane tusiipigie kura CCM uchaguzi wa 2015,
CCM wamejaa Mafisadi,
CCM inakumbatia na inapenda Rushwa,
JK hakemei rushwa ,anapenda rushwa,ndiyo maana anachekacheka tu,kama Ma-miss Tz.
JK hasimamii utawala wa kisheria,na ndiyo maana kuchakachua kwenye idara na taasisi
za serikali kumekuwa kwingi..Utaisema TRA,POLICE,MAHAKAMA,ARDHI,......nk,kila mtu anajichotea anapoona mwanya;
wachukua mifano ya ma-fisadi chini ya EL,Mzee wa vijisenti na wengineo wengi.
Na wao wanakuwa Vi-fisadi.
Tunafika hapa kwa kuwa na viongozi dhaifu wa-CCM chini ya JK
Tufanye maamuzi ya kuipiga chini CCM uone kama hawajifunza,tusichekecheke kama JK,
ufikapo wakati twende kupiga kura kwa wingi na siyo kupewa pilau na kuuza kura au kutojiandikisha.
TAKUKURU hata angeajiriwa Malaika, kwa mfumo huu wa Siri-kali ya CCM hakuna kitu, ni danganya toto.
 
Naam maana kashaona nchi inayumba, ikiwa nchi ya swaiba yake mzee wa totozi
Kwa hiyo lowasa ameshatoa maamuzi mazito ya kugombea urais na kampeni zimeanza?
 
Ndani ya CCM tulishamsahau nyoka wa ndimi 2 na hatokuwa mgombea urais hata akitambika uchi labda aende kwenye chama chao kipya cha ADC ndo akagombee huko. Asahau suala la urais kwani watz wamekomaa kiakili.

Wale wanaomshabikia waendelee tu kumshabikia lakini wataondoka nae kwenye nyazifa zao za kichama ndani ya CCM na serikalini baada ya uchaguzi wa 2015.

EL nakushauri pumzika utaaibika karibuni wanaokutia moyo na kukushabikia hawakutakii mema.
 
Back
Top Bottom