Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Hajawahi sema mhusika wa Richmond ni nani na kwa hiyo sio mzalendo ni msaka madaraka kwa hila.
 
Tunaitaji raisi mwenye maamuzi magumu kama lowasa.raisi ambae anamsimamo kwa sasa ssm ni lowasa tu.
Ya kutuletea Richmond na mvua za kutengeneza. Maamuzi yapi magumu yenye manufaa ya taifa alowahi kuyafanya
 
Hon B Shelukindo is N Secure....!
Kwa hali hii CCM ya wakina Kinana na Mang'ula itakaweweseka kama kawa..!
 
Mwaliko wa mwaka mpya kwa Lowassa, na ile pilau waliokula sasa vinaanza kufanya kazi.

Mpaka 2014, kila msaliti na mhaini atajulikana tu!
 
Kama sikosei huyu mama ndie aliemuumbua Kitundu Jairo nadhani hata hili alitumwa na Fisadi Lowasa.
 
Mwaliko wa mkwaka mpya kwa Lowassa, na ile pilau waliokula sasa vinaanza kufanya kazi.

Mpaka 2014, kila msaliti na mhaini atajulikana tu!

Watajulikana wengi hadi kufikia mwezi wa Sita ule Mpasuko ndani ya Magamba utakuwa Mkubwa. Subiri kuna Lundenga na Chipungahelo nao watakuja Msimamo wao maana huwa wanampelekea Lowasa Mamiss kila Msimu:target:
 
Watajulikana wengi hadi kufikia mwezi wa Sita ule Mpasuko ndani ya Magamba utakuwa Mkubwa. Subiri kuna Lundenga na Chipungahelo nao watakuja Msimamo wao maana huwa wanampelekea Lowasa Mamiss kila Msimu:target:
8.jpg


Aliekuwa Waziri Mkuu na kufukuzwa kwa wizi wa mali ya watanzania Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akisalimia na warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012,
 
yegella,
Corrections:
Sio Waziri Mkuu Mstaafu, ni Waziri Mkuu Mfukuzwa Kazi.
Pambaf
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa Ushahidi Mkuu.Wale wale Mzee wa Rada/Vijisent kweli kikwete mwaka 2005 alikuwa na Mtandao:fencing:
Na walitumia magazeti kuwachafua akina Fredrick Sumaye, Ahmed Salim, Mwadosya na wengine na bahati mbaya sana hawakushitukia mapema...
 
Ipo siku mtashangaa zaidi kumsikia Nape, Ole Sendeka au Anne Kilango akisema anamuunga mkono Edward Lowassa kwenye mbio zake za urais.

Wafuasi wa Lowassa wamekuwa wakitamba kwa kusema, Lowassa ndani ya CCM ni kama maji, asipotaka kuyanywa basi utayaoga tu.
 
Hata mimi nitamuunga mkono Lowasa, anayo kura yangu tayari. Tunahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, hata akiwa dictator kama Kagame lakini analeta maendeleo hamna shida, hata akila kidogo lakini analeta maendeleo hamna shida, kuliko kutokula kabisa halafu hata maendeleo haleti.

Hakuna mtakatifu duniani, kila mmoja alishawahi kutenda kosa mara moja au zaidi, sema tu wengine hata wale wanaowanyoshea wenzao vidole hawajawekwa peupe tu, cha muhimu ni kwamba, mtu akifanya kosa huwa kuna mazingira ya kujirekebisha. Kosa si kosa bali kurudia kosa.

Hata hivyo, suala la Lowasa na kashfa yake, inasemekana anazo njia za kujieleza ambazo ameweka fumbo, kuna siku wakati wa kampeni atakuja kujieleza na watu watashangaa kwamba walikuwa wanapiga mayowe ya bure kwa mtu asiyehusika.

Yapo mengi yamejificha mle kwenye ile kashfa, na inawezekana Lowasa akawa kafara tu. Na wapo wengi waliokuwa juu ya Lowasa wamefichwa, lowasa kachukua msalama wa wengi pale.

Maamuzi magumu yapi aliyafanya Edward Lowasa ? Hebu fafanua kidogo ?
 
Hata mimi nitamuunga mkono Lowasa, anayo kura yangu tayari. Tunahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, hata akiwa dictator kama Kagame lakini analeta maendeleo hamna shida, hata akila kidogo lakini analeta maendeleo hamna shida, kuliko kutokula kabisa halafu hata maendeleo haleti.

Hakuna mtakatifu duniani, kila mmoja alishawahi kutenda kosa mara moja au zaidi, sema tu wengine hata wale wanaowanyoshea wenzao vidole hawajawekwa peupe tu, cha muhimu ni kwamba, mtu akifanya kosa huwa kuna mazingira ya kujirekebisha. Kosa si kosa bali kurudia kosa.

Hata hivyo, suala la Lowasa na kashfa yake, inasemekana anazo njia za kujieleza ambazo ameweka fumbo, kuna siku wakati wa kampeni atakuja kujieleza na watu watashangaa kwamba walikuwa wanapiga mayowe ya bure kwa mtu asiyehusika.

Yapo mengi yamejificha mle kwenye ile kashfa, na inawezekana Lowasa akawa kafara tu. Na wapo wengi waliokuwa juu ya Lowasa wamefichwa, lowasa kachukua msalama wa wengi pale.

CCM licha ya upuuzi wake haiwezi kudiriki kumteua EL kugombea Urais, labda ikiridhia kuondoka madarakani kwa hiari yake. maamuzi yepi magumu kayafanya!
 
Amegundua kosa alilolifanya wakati wa ishu ya RICHMOND!!!! Kiukweli ishu ya RICHMOND ilifanywa kisiasa zaidi hata kuamua kummaliza Mzee Lowassa kisiasa makusudi. Hata SELELII anakiri kamati ya MWAKYEMBE walivyokosea katika kushughulikia kashfa ya richmond!!!! Viva Lowassa
 
Back
Top Bottom