Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

.....hivi nyinyi mnaoungana na bi'Lukindo ambae ni Mh Mbunge mna maana kweli au?kweli mbele ya umati wa watanzania zaidi ya 40 million mnaeza sema hakuna mtanzania anaeweza ongoza hili jahazi mbali nahao tunaoendelea kuwasikia miaka nenda bila kurudi tangu wengine tunazaliwa hadi sasa tunakuza!huu ni utovu wa ki'fikra na mawazo......kuweni na utu na punguzeni matusi ya halaiki,kuendelea kuwa tegemezi na hawa ni matusi yasiyovumilika kana kwamba sie tulobaki sio wazalendo walio watanzania.Tupo jamani,tumeshajipendekeza na sasa ni wakati wa kupendekezwa.....wasioweza kujipendekeza na......basi watupendekeze!Mbona nchi za wenzetu sura mpya kwa nyadhifa mpya ni kama kawa!
 
NINAJUA WATU WENGI HAWAMPENDI HUYU MZEE LOWASSA, LAKINI NAWAAMBIA LOWASSA NDIYE CHANGUO LA WATANZANIA KWA 90% , TULIWAAMINI CHADEMA ILA SASA HAWANA TENA MUELEKEO HIVYO HAWATAWEZA KUKIONGOZA TAIFA HILI KAMA WAMESHINDWA KUKISIMAMIA CHAMA BASI HATUNA IMANI NAYO TENA. LOWASSA KAZA BUTI WATANZANI TUKO NYUMA YAKO MZEE WETU WA MAAMUZI, VIVA LAWASSA VIVA TANZANIA +LOWASSA 2015, :A S thumbs_up:

Sema ni chaguo la CCM na matajiri. Twambie ni kwanini unafikiri Lowassa anasitahiri kuwa candidate ya ccm 2015?
 
Mbona hili zuri kabisa; hii inaitwa a tactical assault... wa upande wa Lowassa wajitaje tu wajulikane.
 
Or Lowassa President, au sina hope anymore, na huenda nakachukua uamuzi mgumu sana, kama madhaifu wataendelea kutuongoza... Lowassa or Nothing! at Magogoni
 
Da huyo Beatrice Shellukindo kamuacha mumewe na watoto Lushoto yeye kaenda kula pilau la mchana Monduli badala ya kumpikia mumewe,wengine wametoka Shinyanga,Bariadi ,Dar kwenda kula pilau la mwaka mpya Monduli wao wenyewe huku wakiacha familia zao ,kweli jamani inaingia akilini wengine wametoka Kigoma kwenda Monduli kwenda kula mulo mmoja tu wa mchana,hakika hayo ni mahaba ya kupindukia,na sijamuona homie Mwakie(Mwakyembe),Membe wala Nape au wawo hawapendi hilo pilau la mwaka mpya.Marehemu baba yangu alipata kuniambia kuwa hakuna utumwa mbaya kama wa kutegemea mtu akuongozea mipango ya maisha yako,na alisema anaweza akakuamlisha wewe pamoja na familia yako kumfanyia lolote analotaka,ndio si ili uishi unatakiwa lazima umtumikie bwana mkubwa anayekudhili,hayo ndio akina Beatrice wanayafanya,amemugeuka hata mumewe,huenda sababu mzee sasa anategemea posho ya mama,wabaya wake ndio wanamfadhili mama.
 
.....hivi nyinyi mnaoungana na bi'Lukindo ambae ni Mh Mbunge mna maana kweli au?kweli mbele ya umati wa watanzania zaidi ya 40 million mnaeza sema hakuna mtanzania anaeweza ongoza hili jahazi mbali nahao tunaoendelea kuwasikia miaka nenda bila kurudi tangu wengine tunazaliwa hadi sasa tunakuza!huu ni utovu wa ki'fikra na mawazo......kuweni na utu na punguzeni matusi ya halaiki,kuendelea kuwa tegemezi na hawa ni matusi yasiyovumilika kana kwamba sie tulobaki sio wazalendo walio watanzania.Tupo jamani,tumeshajipendekeza na sasa ni wakati wa kupendekezwa.....wasioweza kujipendekeza na......basi watupendekeze!Mbona nchi za wenzetu sura mpya kwa nyadhifa mpya ni kama kawa!
Mama beatrice kashiba pilau na kisusio cha Monduli sasa anabweka tu,kesha shiba ,yeye ndie anawaamulia Wa TZ
 
Hahahaha,huenda Ana madeni anatafuta namna ya kusaidiwa kuyalipa.Pole Yao wanakambi watakaomwamini
 
I am all for Lowasa. Lakini na yeye inabidi afanye maamuzi magumu ya kumuacha Chenge, ni fisadi aliyethibitika.
 
I am all for Lowasa. Lakini na yeye inabidi afanye maamuzi magumu ya kumuacha Chenge, ni fisadi aliyethibitika.

kwani yeye EL hajathibitika bado? Kwani mlifanikiwa kumsafisha kabisa? Ndo maana mkamsulubu.mwakyembe?
 
kwani yeye EL hajathibitika bado? Kwani mlifanikiwa kumsafisha kabisa? Ndo maana mkamsulubu.mwakyembe?

EL bado,ni rumours tu ambazo hazina vithibitisho.
Chenge ameshikwa red handed na mabilioni ya shilingi. JK mwenyewe na udhaifu wake alishindwa kumvumilia, alikua naye ziarani China ikabidi amrudishe nyumbani.
 
mkimpa urais lowasa wakat paka sasa vidonda vya dowans na rich wa mondul avijapona si atazid vichmba.MEMBE NDO CHAGUO.
 
Tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu kama Lowasa, rais ambae anamsimamo kwa sasa CCM ni Lowasa tu.

Maamuzi magumu kama yapi? Ya kuanzisha sekondari za kata zisizo na walimu wala vifaa? Huku yeye akiiba mali ya umma. Mtu aliyetumia shida ya waTZ ya kupata umeme kujinufaisha yeye mwenye na Rostam Aziz na kundi lake la majambazi wa uchumi wa nchi hafai kuwa rais huyu, period. Mnataka tusineemeke na utajiri aliotupa MUNGU? Huyu mtu ni mlafi wa utajiri bila kujali shida za waTz. Nasema Lowasa hafai kuwa rais ni jizi la kupindukia.
 
Mh. Lowasa kweli anaweza kumrithi Jakaya tena mie binafsi ntampigia kura inshaallah maana najua ndio mwisho wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar tutaendeleza umoja kupitia muungano wa mkatabaaa!
niliwahi kumuona kwenye picha ya pamoja yakumpongeza mtoa hoja binafsi bungeni 1993 kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika wakati ule alikua waziri kwenye wizara ya muungano.

Na ikitokea (God forbid) akawa rais basi namna pekee ya kuikoa nchi hii itakuwa kumuua muda mfupi baada ya kuapishwa
 
Watahangaika sana lakini fisadi huyu aisahau magogoni....
 
Back
Top Bottom