Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Raha ya siri ni kutoisema.

Huyu mama ana mambo kama ni siri yake si angekaa nayo na kuiwakilisha kwenye vikao halali vya chama?????

Kuna uhuru kiasi gani wa kujieleza kwenye hivyo vikao?
 
nimekusoma, cha msingi ni sisi ni kuchochea kuni mbichi mfululizo.
Yaani mkuu usiwe na wasiwasi hawa jamaa wameshaingia mtegoni,kazi yetu ni moja tu,kuwamaliza!
 
Tunahitaji rais fisadi kuliko Kikwete? je Lowasa ni maamzi magumu yapi aliwahi kuyafanya ambayo mtanzania asinge yaweza? Richmond au mvua ya kichina usiwe mjinga kushadadia upuuzi..

Hivi kuna maamuzi magumu zaidi ya kujiuzuru uwaziri mkuu! acheni kujifanya malaika! mwacheni Lowasa atekeleze demokrasia, kama hatakiwi hatachaguliwa! lakini nyinyi mnakazana kuangalia mapungufu tu, mwache achange karata zake, mbona mnatetemeka sana kama shetani anavyo tetemeka akisikia jina la Yesu
 
View attachment 78100


Aliekuwa Waziri Mkuu na kufukuzwa kwa wizi wa mali ya watanzania Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akisalimia na warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012,

Penye Bold, ndio nilipoanza kumpenda Lowasa sababu moja ya watu wanaoeneza ubaya wa Lowasa hawajui kitu zaidi ya chuki na hasira kama za mtu aliyenyewa na kunguru acheni uongo na kukuza mambo msiyoyajua
 
Tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu kama lowasa, rais ambae anamsimamo kwa sasa CCM ni Lowasa tu.

Mkuu sijakupata vizuri hapo kwenye red, kwani Lowasa tayari ndiye rais kwa sasa? Kikwete amemwachia Lowasa urais kimya kimya? Au ndo ule ubia wa urais uliosemwa kati ya JK na Lowasa umetimia? Ningekuelewa kama ungesema mtu ambaye ana msimamo kwa sasa CCM in Lowasa tu.

 
Nimekuwa nikifatilia hali ya kiasa inavyokwenda pamoja na mbio za urais zilivo hapa Tanzania ila nashangaa sana kuona Wanzania ambao wamekuwa wahanga wa matokeo ya uongozi mbovu wamekuwa wafuasi wazuri wa uongozi huohuo.

Tanzania sasa ina deni linalofikia trilion tzs 22, maisha yanazidi kuwa magumu sana, afya ianzidi kurudi nyuma, elimu ndo usiseme, nishati tunaona kinachofanywa na viongozi wetu tuliowaamini, juzi mmeona na kusoma siri kubwa iliyo nyuma ya gesi from Mtwara to Dar es salaam, hizi zote ni hila na njama mbovu za watawala walioapa kuifilisi nchi kwa kiwango cha juu.

Nimeona mheshimiwa Shelukindo akimendorse Edward Lowasa for president 2015, huu ni upumbavu na njaa ya watanzania wenye mawazo kama haya, ni ujinga na ewendawazimu uliokithiri kipimo, ni uayawani usio na kipimo, ni ulevi wa madaraka na upungufu wa maono, ni ufedhuli na uasi kwa Watanzania, ni ukosefu wa huruma na ulafi wa kiwango cha oscar award, haya hayavumiliki hata kidogo.

Naongea kwa masikitiko makubwa sana kuona watanzania walioshiriki kwa kiasi kikubwa kudhorotesha maendeleo ya watnzania walio wengi ndo wanaopigiwa chapuo ya urasi, mfumo mbovu na utindio wa ubongo wa watanzania walio na uwezo kimamlaka, wametumia loophole ya ubumbuazi wa watanzania kujineemesha huku na wale walioudhuria shule bila kuelimika wakifuata nyuma bila kujua siri iliyo ndani ya mtungi.

Tunamjua Lowasa, si mchapakazi hata siku moja kwani sifa za wachapakazi zinajulikana, yeye ni mjasiri wa kutumia mabavu hata kma jambo sio yeye anaweza kufosi kulipitisha kama alivolazimisha njia tatu kipindi cha kupunguza foleni ingawa alishauliwa sana na wataalam akagoma na tulishuhudia vifo vingi sana vya watanzania walioathirika na maamuzi Magumu, Kweny msafara wake huyu mheshimiwa, tunamuona Chenge, Tunamuona Kalamagi, Tunamuona Rostam, Tunamuona Selukamba, na wengine wengi sana, lazima tujiulize,unapoona haya majina, kwa kutumia akili ya kawaida unahisi nini? Je hii nguvu na pesa inayotumika kuutafuta uraisi inarudi vipi!

Tuwe makini na hawa watu kama kweli tunataka kuiona Tanzania katika sura nyingine.
 
mkuu njaa ni mbaya sana,nakumbuka huyu mama alivyotokwa na mapovu mdomoni wakati wa sakata la Richmond mpaka kufikia hatua ya kusema Maisha yao yapo hatarini lakini wanamwachia Mungu,siamini kama leo hii angechomoa maisha yake kwa Mungu na kuyarudisha tena kwa israel wake,FREEMASON AT WORK.


Mama shelukindo haaminiki kimsimamo yeye ni ndumila kuwili mbaya na amewatelekeza akina Anna Kilango kwa kutaka vitu vya bure. Kwa mtu kama huyu Future yake kisiasa iko katika mashaka makubwa kwa ni VERY UNSTABLE POLITICIAN
 
We can have much better life without CCM and Lowassa. Huyu Mama ameonyesha udhaifu wake mkubwa. Yeye ni muhumini wa Lowassa ambaye ni mwanadamu kama yeye tena wa kawaida. Mungu akimchukua Lowassa atakuwa muhumini wa Freddy au?
 
Kinachonisikitisha tu ni kuwa lowassa akiwa rais Mwakyembe jembe langu atahama nchi au chama,vivyo hivyo kwa vipenzi wangu Sitta,Nape na mafisadi kama chenge na Rostam ikulu itakuwa kama kwao.Lowassa no jamani.
 
kwani shelukindo ni nani? Mtu mwenyewe anaibua kashfa kisha anabembelezea kuipoza
 
Tatizo la huyu bwana ni mwizi wa mali ya umma...

"jiwe walilo kataa waashi sasa ndilo jiwe la msingi,mtuyoyote akianguka juu ya jiwe hiloatavunjikavunjika.na jiwe likimwangukia lita msagasaga kabisa."mngeweza kuona hata mbele ya hatua moja muendako msinge niuliza maswali haya,na olewenu wenye imani haba maana hata kukesha tu sekunde moja imewashinda.:confused2::confused2::confused2::confused2:
 
Nimekuwa nikifatilia hali ya kiasa inavyokwenda pamoja na mbio za urais zilivo hapa Tanzania ila nashangaa sana kuona Wanzania ambao wamekuwa wahanga wa matokeo ya uongozi mbovu wamekuwa wafuasi wazuri wa uongozi huohuo.

Tanzania sasa ina deni linalofikia trilion tzs 22, maisha yanazidi kuwa magumu sana, afya ianzidi kurudi nyuma, elimu ndo usiseme, nishati tunaona kinachofanywa na viongozi wetu tuliowaamini, juzi mmeona na kusoma siri kubwa iliyo nyuma ya gesi from Mtwara to Dar es salaam, hizi zote ni hila na njama mbovu za watawala walioapa kuifilisi nchi kwa kiwango cha juu.

Nimeona mheshimiwa Shelukindo akimendorse Edward Lowasa for president 2015, huu ni upumbavu na njaa ya watanzania wenye mawazo kama haya, ni ujinga na ewendawazimu uliokithiri kipimo, ni uayawani usio na kipimo, ni ulevi wa madaraka na upungufu wa maono, ni ufedhuli na uasi kwa Watanzania, ni ukosefu wa huruma na ulafi wa kiwango cha oscar award, haya hayavumiliki hata kidogo.

Naongea kwa masikitiko makubwa sana kuona watanzania walioshiriki kwa kiasi kikubwa kudhorotesha maendeleo ya watnzania walio wengi ndo wanaopigiwa chapuo ya urasi, mfumo mbovu na utindio wa ubongo wa watanzania walio na uwezo kimamlaka, wametumia loophole ya ubumbuazi wa watanzania kujineemesha huku na wale walioudhuria shule bila kuelimika wakifuata nyuma bila kujua siri iliyo ndani ya mtungi.

Tunamjua Lowasa, si mchapakazi hata siku moja kwani sifa za wachapakazi zinajulikana, yeye ni mjasiri wa kutumia mabavu hata kma jambo sio yeye anaweza kufosi kulipitisha kama alivolazimisha njia tatu kipindi cha kupunguza foleni ingawa alishauliwa sana na wataalam akagoma na tulishuhudia vifo vingi sana vya watanzania walioathirika na maamuzi Magumu, Kweny msafara wake huyu mheshimiwa, tunamuona Chenge, Tunamuona Kalamagi, Tunamuona Rostam, Tunamuona Selukamba, na wengine wengi sana, lazima tujiulize,unapoona haya majina, kwa kutumia akili ya kawaida unahisi nini? Je hii nguvu na pesa inayotumika kuutafuta uraisi inarudi vipi!

Tuwe makini na hawa watu kama kweli tunataka kuiona Tanzania katika sura nyingine
 
Penye Bold, ndio nilipoanza kumpenda Lowasa sababu moja ya watu wanaoeneza ubaya wa Lowasa hawajui kitu zaidi ya chuki na hasira kama za mtu aliyenyewa na kunguru acheni uongo na kukuza mambo msiyoyajua

kama mpaka leo huyu ufisadi wa huyu mtu basi una matatizo ya ubongo maana hata JF Imeshaanika madudu ya huyu fisadi..
 
Penye Bold, ndio nilipoanza kumpenda Lowasa sababu moja ya watu wanaoeneza ubaya wa Lowasa hawajui kitu zaidi ya chuki na hasira kama za mtu aliyenyewa na kunguru acheni uongo na kukuza mambo msiyoyajua
hahahaha, acha kukurupuka kama unajua mambo sahihi ya huyo fisadi wako tuwekee hapa Arusha amefisadi general tyre na NMC...
 
Back
Top Bottom