Mh. Lowasa kweli anaweza kumrithi Jakaya tena mie binafsi ntampigia kura inshaallah maana najua ndio mwisho wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar tutaendeleza umoja kupitia muungano wa mkatabaaa!
niliwahi kumuona kwenye picha ya pamoja yakumpongeza mtoa hoja binafsi bungeni 1993 kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika wakati ule alikua waziri kwenye wizara ya muungano.
niliwahi kumuona kwenye picha ya pamoja yakumpongeza mtoa hoja binafsi bungeni 1993 kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika wakati ule alikua waziri kwenye wizara ya muungano.