Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

Shelukindo: Namuunga mkono Lowassa kumrithi Kikwete

I am all for Lowasa. Lakini na yeye inabidi afanye maamuzi magumu ya kumuacha Chenge, ni fisadi aliyethibitika.

I know this guy A-Z, hafai kuwa kiongozi wa nchi hii. He is rubish!! Kwanza arudishe TZS 20bil plus alizopeleka nje baada ya kuondolewa Uwaziri mkuu. Hana uchungu na nchi hii zaidi ya kutaka kuiibia zaidi. Kwa sasa amesabaza fedha kwenye vyombo vya habari ili kujijenga lakini haitamsaidia. Our memories are still fresh na matatizo ya umeme tuliyonayo kwa sasa na deni la Dowans yanatokana na yeye. Atafute pa kutokea.
 
Mkuu, huo wadhifa huyo jamaa kaupata lini tena? Nasubiri kusikia kama huu nao utaitwa mpasuko kama ule tuliokuwa tunaelezwa upo CDM na kwamba utakisambaratisha chama hicho. Au watawala wao huwa hawana mipasuko ya mapande mapande?

Juzi nilikuwa nasikiliza hotuba za Nyerere nikakutana na kipengele anasema kabla ya kuanza kutaja majina ya urais tuanze na kuangalia tunahitaji nini kama Taifa kisha tukiweka vipaumbele vyetu ndipo tuangalia ni sifa zipi zinahitajika ili tutakaempa urais ataweza kutekeleza vipaumbele ambavyo tumejiwekea.

Tukirudi kwa huyu jamaa, mie siamini kwenye maamuzi magumu kwani maamuzi magumu yanatokea tu pale system inaposhindwa kufanya kazi, in this case tunahitaji mtu ambae atatuongoza kwa kufuata misingi ya sheria na katiba na kuweka siasa pembeni, kama kitu kimekwenda wrong anakishughulikia na si kuogopa chama chake kitapoteza wapiga kura wake (na ndio maana tumefika hapa tulipo watu wanakosea anakuja mbunge au diwani anakwambia hawa ni wapiga kura wangu hivyo tuangalie namna ya kuwasaidia)
 
Semeni yote mliyonayo mimi namkubali sana Mh Lowasa,ni sawa ana mambo yake lkn hakuna mtu msafi hapa chini ya mbingu,

Hakuna mtu msafi hapa duniani ni kweli, but among the devils, there is always a lesser devil. Lowassa is among the big devils you know. Hivi ile hoja ya Baba wa Taifa kuwa huyu bwana hafai kuwa rais wa nchi hii, yeye Lowassa alishaijibu kwa vyovyote. Let's wait and see kwani nchi hii inaongozwa na mkono wa Mungu!! Hata hiyo 2015 na inawezekana ikawa ndoto kwake na ndio itakuwa mwanzo wa kuharakisha safari yake ya ahera.
 
Mh Beatrice Shelukindo ameamua kuvunja ukimya baada ya kutangaza kumuunga mkono Edward Lowassa kumrithi Mh. Rais Kikwete.

Shelukindo alitoa kauli hiyo Jumapili wakati akiwasalimia wakazi wa Monduli baada ya kukaribishwa kuchangia ujenzi wa Hosteli ya KKKT katika sherehe za kukaribisha Mwaka Mpya zilizofanyika nyumbani kwa Lowassa ambazo pia zilihudhuriwa na makada kadhaa wa CCM.


Kazi kwako Nape na Mangula, je bado siku 90 hazijafika?


=================
Beatrice Shelukindo mnuso huu ulikulevya...

Lowasa ana pesa chafu, catering ameleta kijijini kwake duh!


Muogope mtu ambaye anakimbilia kwenda Ikulu- hayati Mwalimu J.K Nyerere
 

Jamani Watanzania wa leo kweli bado hatuwezi kufunguka na kuangalia mbali? Mtu huyu huyu ndio aliejiuzulu kwa kashfa alafu leo hii anataka nafasi ya urais na jinsi tulivyowanafiki wale ambao ndio walkua wanaongoza ndani ya bunge na hata nje ya bunge kumsema ndio wakwanza leo hii mnamuunga mkono eti anafaa nafasi ya urais...tuache unafiki na kuangalia maslahi ya Taifa hata kama wewe hujali basi waonee huruma wanaoteseka na hali ngumu ya maisha.....
TAFAKARI KWA UNDANI TENA KAMA ANAWEZA NA ANAFAA NAFASI HI......

 
hivi tangu Lowasa aitwe fisadi amewahi kutoa mchango wowote bungeni? sasa atachangia nini miaka mitano ijayo. au atatumia pesa zake zote alizozichukua kujenga mashule na barabara maana uchumi kaukalia ati.
 
NINAJUA WATU WENGI HAWAMPENDI HUYU MZEE LOWASSA, LAKINI NAWAAMBIA LOWASSA NDIYE CHANGUO LA WATANZANIA KWA 90% , TULIWAAMINI CHADEMA ILA SASA HAWANA TENA MUELEKEO HIVYO HAWATAWEZA KUKIONGOZA TAIFA HILI KAMA WAMESHINDWA KUKISIMAMIA CHAMA BASI HATUNA IMANI NAYO TENA. LOWASSA KAZA BUTI WATANZANI TUKO NYUMA YAKO MZEE WETU WA MAAMUZI, VIVA LAWASSA VIVA TANZANIA +LOWASSA 2015, :A S thumbs_up:

haaaa! Kumbe we ndo amekuajiri uwe vuvuzela wake? Sasa nakutuma km lowasa anataka kuongoza nchi hii tunataka arudishe zile mil. 152 alizokuwa anatuibia kila siku na richmond yake. Hv nani unataka kumsahaulisha wizi mkubwa huu aliotuibia lowasa? Acha ujinga wewe.
 
sometimes nashangaa sana, hv kumbe bado kuna vichwa ngumu wanaendelea kumnadi lowasa kma huyu aliyepost ujinga huu? Kweli naweza amini kumbe ht balali bmgekuwa mzima na akataka urais wapumbavu km huyu wangempgia debe bila kujali mabilion ya EPA aliyokwapua pale BOT. Huu ni ujinga kupost ishu isiyokuwa na kichwa wala miguu. Inawezekana naye huyu ni miongmi mwa magamba.
 
nishaanza kuwa na mashaka na shelukindo kuanzia sasa'
 
Ni lazima kama taifa tuanze kufanya mabadiliko kuanzia kwenye vichwa vyetu hadi kwenye nafsi zetu. La sivyo yeyote yule anafaa kuwa kiongozi wetu!!
 
Chakula mpaka monduli,viongozi wote waandamizi wa chama,du hapo lazima kunakitu
 
Lowasa ndio chaguo letu na 2015 ni zamu ya kaskazini wafanye wafanyalo.........ccm oyeeeeeeeeee.....ila demoklasia ipo chadema.....
 
huyu mama kaalikwa apo kapewa wali tu na kabichi in exchage anataka "kutoa urais"
wana wa kike wanakera sometimes!
anyway shibe mwana malevya
 
Tatizo upeo wa kufikili,
Kama kweli akili zenu zinachaji mnashindwaje kujua kuwa Lowasa anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu?????

Mimi naona maajabu kuona mnashindwa hata kudadavua issue simple kama hii.

Kwanza mjue Lowasa hana mambo ya kihuni wala ujanja ujanja jamaa yupo straight wala aangalii makunyazi wala kupepesa macho.

Mimi nadhani nyinyi mnao mpinga mpo wachache kuliko sisi tunaomkubali.

Maana kila mtu mwenye upeo anasema hii nchi ilipofikia inapaswa kuongozwa na Lowasa kwasababu nikiongozi pekee nilishuudia kwa macho na masikio yangu akichukua maamuzi magumu bila kuangalia makunyanzi.

Kikwete akitaka kututendea haki ikulu aikabidhi kwa Lowasa ndio itakuwa solution vinginevyo labda mwakyembe, dr Slaa na Prof Muongo ni hao tu.

Msijitoe ufahamu mnajua madudu mangapi yanafanyika ambapo kiongozi anatakiwa atupwe jera lakini yeye kiongozi anaona poa tu hata kujiuzuru awazi alafu sasa hivi mnataka kutwambia nini kuhusu Lowasa.

Najua watu wanamwogopa sana na ni mkali huyo hataki mchezo maana nchi zilizoendelea viongozi walikuwa serious kama Lowasa.
 
[TABLE="width: 100%"]
[TR="bgcolor: #ffffff"]
[TD="colspan: 2"] SHELUKINDO TUMEKUSIKIA, NA SISI TUTAKUUNGA MKONO IKIWA KAMA CHAGUO
LAKO LA MGOMBEA WA CCM

LITAWEZA KUYAJIBU MASWALI HAYA KITAIFA NA SIO KICHAMA:

Mheshimiwa asiye mheshimiwa na asiyejiheshimu, Shelukindo hebu tupe
sababu za sisi kukuunga mkono kama bwana

huyo atakusaidia utujibu masuali yafuatayo:

* Nini kilichotokea Irani wakati wa utawala wa awamu ya kwanza na yeye
akiwa kiongozi katika serikali hiyo

waliotumwa kwenda kutuombea mafuta ya Irani kwa kuwa nchi ilikuwa
imeishiwa na kiwango cha rushwa aliyopewa na

Wairani?
* Je, ni kweli kwamba bwana huyu ndiye aliyewadanganya Walutherani wa
Ujerumani kwamba idadi ya

Walutherani Tanzania ni aasilimia 40%; Wakatoliki asilimia 28%;
Waislamu asilimia 30% na waliobakia mapagani? Kitu

kilichosababisha chama chake na swahiba wake kuondoa kipengele cha
dini kwenye katiba wakati tumeona kwenye

chaguzi za nchi kubwa kwa ndogo matokeo ya kura yakionyesha waziwazi
asili na dini za wapiga kura na idadi

wagombea waliyounga mkono na kila upande? Je, misaada anayopokea toka
Ujerumani inaingia kama ya serikali au ni

yake binafsi ?
* Je, watu waliowaweka Wassira, Rweyemamu, Nagu na Meghji kwenye
sehemu nyeti kichama na kiserikali ni

akina nani, na je, swahiba wake mheshimiwa wanajua watu hao wanalipwa
mishahara ya serikali na mishahara toka nje ya

serikali ?
* Ni nani aliyekuwa akiwatukana watumishi wa umma, hasa sisi wa Hazina
na TRA matusi ya nguoni katika muda

wake mfupi kama kiongozi nchi hii ?
* Ni nani wanaotumia fedha walizoiba kupitia EPA benki kuu na hazina
kwa kutumia saini ya kugushi ya rais wa

awamu ya tatu kujineem,esha na kujijenga himaya ya kibiashara ili
kuitawala na kuinunua CCM na hatimaye kuinunua

Tanzania nzima ? Na ni kiasi gani cha fedha zao zinatokana na kuba
kupitia EPA, benki kuu, hazina, mawizara na

mikoa kwa saini za kugushi wakati wa utawala wa awamu ya tatu?
Wanahusika vipi na kutoweka kwa Bilal, gavana wa

benki kuu?
* Je, ni akina nani wanaotumia viongozi na ofisi za serikali
kupitishia fedha chafu toka makampuni ya simu,

pensheni ya wasioajiriwa, migodi ya dhahabu, mifuko ya kidini ikiwemo
Kilutheri na Kiismailiya ili kuhonga vijana,

kinamama na wanachama wengine wa upinzani kuudhoofisha upinzani ?
* Je, ni kiasi gani cha fedha IPTL incholipwa na kinacholipwa na
TANESCO na serikali kwa makampuni kama

Richmond, Dowans, Kagoda, Kampuni ya Gesi kinachochokwenda mfukoni
mwao na kwenye kibobo kisicho na ulinzi

cha CCM ?
* Je, wanaomiliki makampuni kadhaa nchini yenye umiliki pia wa
matapeli wa kimataifa hapa nchini ni watu gani

na wako chama gani ?
* Ni nani ambaye anachangia kulikosesha taifa kwa kushirikiana na
wawekezaji kutoka nje na matapeli na fisadi

wa ndani Tanzania kuliko mtu mwingine aliyepata kuuwa kiongozi Tanzania ?
* Je, anachangia kwa kiasi gani kwa kuwa na sampuli ya kampuni za simu
za mikononi baada ya kuiua TTCL,

ambazo zinakwapua fedha za wananchi na serikali kwa mkono wa kushoto
na kurudisha kimazingaombwe kidunchu kwa

mkono wa kuliwa bila wananchi kujua wanakaangwa kwa mafuta yao wenyewe;
* Je, inafahamika kwamba bwana huyu akilitumia gazeti hil hilo la
Shelukindo la mwananchi na wahariri

waliokuwepo wakati huo aliwachafua wagombea ugombea wenzake wa CCM na
kulitia hasara kubwa taifa hilo, ina maana

kwamba viongozi wa mwananchi hawajui hili na hawahofu kuwa kuna timu
ya wahariri na waandishi walionunuliwa na bwana

huyu na wanaweza kufanya lolote?
* Nani aliyetaka awe anaabudiwa kama sultani kama sio mfalme na mke
wake kama malkia yao yalipohusika au

ya wawekezaji wabia wao katika ofisi za serikali katika muda wake
mfupi uongozini?
* Je, kina Bashe na wenziwe wamezawadiwa bilioni ngapi ili kuchafua
majina ya watu kama Pinda na Membe?

Hivi mtu alyeondolewa kwenye baraza la mawaziri anaweza kujihesabu
kuwa yeye ni bora kuliko waliobakia kama yeye si

mchawi na mwanga mlozi, mwehu wa madaraka kama Hitler ?
* Je, trilioni ngapi ziliibiwa ukijumlisha dhahabu iliyochotwa B.O.T
na fedha taslimu na mafungu ya EPA na fedha

za Waisalmu zilizobatizwa za ugaidi zikaliwa na wajanja?
* Je, ni kweli kwamba bwana huyu amewanunua na anawalipa mshahara wa
pili viongozi wote wa CCM Unguja ili

waje wampigie kura ya kuwa mgombea pekee wa CCM 2015 ?
* Je, wanaowalipia Watanzania wengine ada za watoto wao wanaosoma
Ulaya, au ndugu na jamaa zao

wanaokwenda kutibiwa nje hivi ni wa akina nani na wanapata faida gani
kama sio kuwatia katika matope na kinyesi wenzao

kisiasa kama walivyowafanyia wagopmbea dhidi ya Kikwete 2004-2005 ?
* Je, ni kweli kwamba kuna watu wawili na mmoja wao ni yeye ambao kuna
vitu walimfanyia Rais wa sasa na

hivyo kumweka mahala pabaya 'holding one as a hostage' kuwakatalia
lolote wanalolitaka na pamoja na kujidai kuna

urafiki kati yao, urafiki huo ni wa kimaslahi na hususan kukabidhiwa
wao nchi pale kiongozi wa sasa muda wake

utakapokoma?
* Kwamba bwana huyu, mfadhili wake mkuu na makuwadi wake wanatumia
mabilioni kama sio trilioni za fedha

wanazopata kutoka migodi ya dhahabu, ukodidhwa mitambo na mashine zao
mbalimbali, madeni feki ya Dowans

kimataifa, kamapuni za simu za mkononi, mifuko ya hifadhi waliyopewa
na CCM bure, NSSF, PPF, LAPF, Bima na mianya

Benki kuu na TRA kuisambaratisha CHADEMA wakiihofia 2015 ?
* Je, ni nani amekuwa akiwafadhili watu wanaoua wanyama pori wetu au
kuwauza nchi za nje bila nchi kupata kitu

chochote cha maana?
Nini mchango wa mheshimiwa katika kuharibu kabisa huduma za maji mjini
Dar es salaam na uhusiano wake na NUWA,

DARWATER na DAWASCO ?
Mkono wa mheshimiwa huyu huko NUWA, CITYWATER na hatimaye DAWASA
kisha DAWASCO umechangia dhiki ya

maji wanayoipata wakazi wa mkoa wa Dar es salaam hivi sasa ?
* Ni nani ambaye alikuwa Waziri Mkuu wakati fulani Tanzania na
anayedaiwa kuwa mtoto wa Gabriel Mawalla,

meneja wa zamani wa Shirika la Utalii nchini ? Babake huyo wa kweli
ndiye aliyemfanyia mpango wa kuajiriwa na UKumbi

wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha ? Huyu ni mwanaharamu mara mbili ya
yule waliyemwita hivi akokosa kura za

wanaCCM kugombea urais 2005 ambaye laiti angekuwa rais CCM isingekuwa
katika uozo inaojikuta ndani yake hivi leo.
Hivi sasa kaungana na wabaya na mafisadi wa Kitanzania wenye fedha
Uswizi kujenga himaya ya kibiashara

kwenye kila sekta nchini na kwa utajri wake amekinunua chama chote cha
CCM. Yaani, CCM iko mfukoni mwake kwa hivi

sasa ?
Huyu akichaguliwa hivi nchi hii na wasia wa baba wa taIFA Mwalimu
Kambarage Nyerere hivi haitakwenda

kuzimu kabla ya wakati wake.
Na inakuwaje nyumba zake ndogo ndizo zinazompigia debe kuwa
zitamuunga mkono mwaka 2015 kugombea

Urais hali hata 2014 haijafika mwaka ambao madaktari wake Ujerumani
wamemwambia akiufikia ni bahati kubwa kwake?
Yale yale ya kina Mbingu wa mutharika au Mugabe au Abacha au Chavez
na wagonjwa wengine wakubwa wakubwa

wanaolilia ukubwa hali wakijua siku zao zimeandikwa ukutani?
Ni nini uhusiano wake na wanawake domokaya wanaompigia debe la
kugombea urais 2015 kama vile kina

Shelukindo, Kibinga, Luoga, Lucy, Mary, Rita, Rachel, Irene, Premy,
Rose, Amida, Halima, Asha, na kadhalika na kama

hauna mahusino yanayoligharimu kiuchumi na kiuongozi
taifa hili?
* Kwanini mheshimiwa anahangaika sana kuwanunua vijana kwenye maeneo
magumu kwa CCM kiasi cha

kuwachanganya vijana hao na kuugua magonjwa kama ukimwi kwa kumwagiwa
fedha nyingi mno ? Hivi haraka hii

inaashiria nini kwa Watanzania wanaojua kufanya tafakuri na uchambuzi
wa kina wa kisaikolojia kwa tabia kuu za uchu na

uroho kama zile zilizojidhihirisha kwa Adolf Hitler huko Ujerumani
anakojifunza mbinu za kuhadaa kupata misaada na

utawala hivi leo ?
* Je, utajiri wa bwana huyu kwa kiasi gani unatokana na meno ya tembo,
pembe za faru, vito na madini

mbalimbali yaliyoporwa na swahiba wake Burushi mzaliwa wa Nzega ?
* Wana hisa kiasi gani katika TIPER, SONGAS inayotaka kuwaibia
wamakonde gesi yao, makampuni ya

uchimbaji mafuta na wasambazaji mafuta nchini ambao wanaonekana
dhahiri wako juu ya serikali na viongozi wake ?
* Hisa zao katika migodi mbalimbali ya dhahabu, tanzanite, almasi,
urani na madini mengine ni kubwa kiasi gani

?
Hongera asiye mheshimiwa na mwenye kujistahi sista du shelukindo na
vibarua mamluki wa mwananchi mnaoandaliwa

kuwa mawaziri chini ya rais mtarajiwa toka Umasaini mwaka 2015. Hakika
tutawaunga mkono tena kwa sababu kama

mtatujibu sisi Wazanzibar maswali yafuatayo:
* Ni kweli kwamba mheshimiwa huyu amewanunua viongozi wote wa CCM
Zanzibar kwa lengo la kupata kura za

kuchaguliwa mgombea urais 2015 ? Na kwamba matatizo tunayoyapata
Zanzibar hivi leo mengi yake yanasababishwa na

kisiwa kutokuwa na viongozi wanaowatumikia Wazanzibari bali
wanaowatumikia wale wanaotarajiwa kuwa marais mwaka

2015 baada ya rais wa hivi sasa kuachia ngazi?
* Je, hongo na rushwa binafsi wanazopewa Wazanzibar kupitia kina
Zakhia, mashehe wa kununuliwa na waliomo

madarakani kwa upande wa CCM vina lenga kweli kutufanya Zanzibar tuwe
watu huru ndani ya muungano au raia wa daraja

la tatu katika muungano?
* Kwanini hayati Mwalimu Julius kambarage Nyerere atahamanika
akisikia kuwa yeye Shelukindo

anapendekeza bwana huyo awe mgombea urais kupitia chama chake cha CCM
almaarufu kwa Chama cha Mafisadi au

Chama cha Mafichafedhauswizi ? Huyu akichaguliwa hivi nchi hii na
wasia wa baba wa taIFA Mwalimu Kambarage

Nyerere hivi haitakwenda kuzimu kabla ya wakati wake.
* Ni nani aliyewatumia watu ambao baadhi yao leo wako Ikulu na ofisi
nyingine za juu nchini kumuibia Jenerali

Ulimwengu Kampuni ya Habari Corporation na kuigeuza New Habari
Corporation? Na kampuni hiyo imeibiwa ili itimize

madhumuni gani ?
* Nani aliyewatuma watu kummwagia Kubenea tindikali usoni ?
* Nani aliyewatuma watu kwenda kumlisha Harrison Mwakyembe sumu ya kinyonga?
* Ni nani aliyewachagulia Walutheri viongozi ambao hadi wa leo
wamekuwa ni tatizo kwa kanisa hilo kwa kuwa

wanaacha kazi ya Mungu na kufanya kazi ya kumpigia debe mheshimiwa ?
* Ni nani anayekwamisha maendeleo ya Uislamu kwa sababu anazozijua
katika mikoa ya Arusha, Manyara na

Kilimanjaro? Makundi yanayopingana ndani ya Uislamu mikoni humo
yanafadhiliwa na nani?
* Nini uhusiano wa bwana huyu na Waisalmu wa Ismailia na mkuu wao
Mheshimiwa mno, Aga Khan na magazeti

ya mwananchi hapa nchini? Na nini alichokilipwa hadi wa leo katika
kuwasadia kuwa na magazeti, redio na televisheni

nchini pamoja na uwekezaji katika mashule na hospitali bila kusahau
uwekezaji wa Ismailia binafsi ? Na chama ambacho

yeye ni mwanachama kimefanikiwa kiasi gani kuwatenga Waismailia na
Waislamu wengine kwa faida zao binafsi?
* Ni kweli kuwa yumo katika kundi la Wamasai wa Tanzania na Kenya
wanaochonga mpango wa Wamasai

kutawala Kenya na Tanzania kwa faida ya nani?
* Je, ni kweli amewanunua wahariri wa Mwananchi kwa bei kubwa zadi
kuliko wahariri wengine ili tu kumpigia

yeye debe au ili gazeti hilo litumike kuwachafua viongozi wa CHADEMA
na kukichafulia kupendwa kwake nchini kwa

ujumla? Au amri inatoka juu, kwa sababu Agakhan analilia sana kuwa na
redio na televisheni binafsi Tanzania?
* Ni nani ambaye alikuwa Waziri Mkuu wakati fulani Tanzania na
anayedaiwa kuwa mtoto wa Gabriel Mawalla,

meneja wa zamani wa Shirika la Utalii nchini ? Babake huyo wa kweli
ndiye aliyemfanyia mpango wa kuajiriwa na UKumbi

wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha ? Huyu ni mwanaharamu mara mbili ya
yule waliyemwita hivi akokosa kura za

wanaCCM kugombea urais 2005 ambaye laiti angekuwa rais CCM isingekuwa
katika uozo inaojikuta ndani yake hivi leo.

Huyo bila shaka ndiye MacBeth wa Tanzania katika zama hizi;
* Hivi sasa kaungana na wabaya na mafisadi wa Kitanzania wenye fedha
Uswizi kujenga himaya ya kibiashara

kwenye kila sekta nchini na kwa utajri wake amekinunua chama chote cha
CCM. Yaani, CCM iko mfukoni mwake kwa hivi

sasa ?
* Kwamba amewapenyeza watu wake Ikulu, ofisi ya rais, ofisi ya makamu
wa rais, ofisi ya waziri mkuu ambao

wanalipwa sio tu mshahara wa serikali bali pia wanalipwa mshahara
mwingine na yeye? Na kazi yao ni kuhakikisha

kwamba yeye anakuwa mgombea wa chama tawala 2015 ?
* Kwamba wamewanunua wajumbe wote wa mkutano mkuu na halamshauri kuu
ya chama tawala;
* Jambo la mwisho ni kama asiye mheshimiwa kwa jina la Shelukindo kama
anaweza kutueleza uhusiano wake

na mheshimiwa huyu hadi cheo alichokipata ulianzia wapi na kama mama
mwenye nyumba ana habari? Na kama akina

Mary, Lucy, Irene, Premy, Fatuma, Rachel, Ritha, Halima, Rose na
wengineo nao wana habari na ushirikiano huo wa

kuelekea urais mwaka 2013 ?
* Na inakuwaje nyumba zake ndogo nyingi ndizo zinazompigia debe kuwa
zitamuunga mkono mwaka 2015

kugombea Urais hali hata 2014 haijafika mwaka ambao madaktari wake
Ujerumani wamemwambia akiufikia ni bahati kubwa

kwake?
Yale yale ya kina Mbingu wa mutharika au Mugabe au Abacha au Chavez
na wagonjwa wengine wakubwa wakubwa

wanaolilia ukubwa hali wakijua siku zao zimeandikwa ukutani?


Farouq Abddulkadri Kassim,
Mji Mkongwe, Zanzibar
(Mstaafu aliyefanza kazi bara kwa zaidi ya miaka 30.)

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: qr, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #c3d9ff"]Quick Reply [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [TABLE="width: 1%"]
[TR]
[TD="colspan: 2"] [TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD="colspan: 2"]To: Farouq Azani <farouq.azani@gmail.com> [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom