Shekhe Ponda aachiwa huru

Status
Not open for further replies.

kwani hayo yote kasababisha Ponda?
 
hich kizee hovyoo kitafia gerezani et madai yào ndo anaiona pepo kwa kuleta fujo,vurugu na uchochezi nchini
ashukuru ofa ya kikwet ngoja atoke madarakani jk,halafu alete ufala wake ataolewa segerea
 
Alionewa sio! Ngoja tena alete ujinga wake uone kama serikali haijampatia kitu inapenda!

Kwani ilio muachia Huru sio serikali?

We ndio Nyodo kweli.
Kale nguruwe uolewe.
 
Anayefaa kupelekwa huko ni Askofu Kilaine kwa wizi wa fedha za watanzania masikini sio Sheikh Ponda ambaye hata kuiba penseli hajawahi

Mkuu ujinga ni mzigo wa milele usipo jipanga utakufa na mzigo huo wezi woote wapo magerezani kumuita MTU mwizi wakati haja dhibitishwa ni ujinga. Huyo Kilaini kamwibia nani.
 
Takbiiiiiiiiiiiir mpiganaji, mwanaharakati SHEIKH PONDA ISSA PONDA rudi tuendeleze mapambano%

Lakini lazima katika mapambano yenu noi lazma mfuate utaratibu wa kisheria katika madauyenu mnahaki yakudai chochote ispokua utaratibu nilazima ufuatwe vinginevyo mtaingia tena kwenye shida.
 

we n chko
 

inauma xna
 
msihadae sheikh ponda hajaachiwa ana makosa na hukumu ni kifungo cha nje mwaka. mkimuaminisha ameachiwa bila shaka ataanza kile anachokijua sana...uchochezi wa kidini kwa kujifanya mtetezi wa haki za waislaam wakati hali halisi anaganga njaa.

Huyo anaganga njaa na wale Maaskofu wa Escrow vp,waliyojipigia mil.80?
 
ponda atatuliaa kama sio yeye , chezea jela wewe.

Halafu si walisema sio raia, na arudishwe huko somalia.

Sent from escrow bring back our money app using jamii forums

raia wa taifa hil c akna askfu klain na wenzke
 
hich kizee hovyoo kitafia gerezani et madai yào ndo anaiona pepo kwa kuleta fujo,vurugu na uchochezi nchini
ashukuru ofa ya kikwet ngoja atoke madarakani jk,halafu alete ufala wake ataolewa segerea

Na wale MaaskofuESCROW ushawatafutia wa kuwaoa segerea?
 
Mkuu ujinga ni mzigo wa milele usipo jipanga utakufa na mzigo huo wezi woote wapo magerezani kumuita MTU mwizi wakati haja dhibitishwa ni ujinga. Huyo Kilaini kamwibia nani.

Katuibiwa wananchi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…