Waandishi wa habari wa kiswahili wanatulisha sumu tupu, hivi jaji anaamuaje kesi kwenye Mahakama ya Hakimu mkazi?
Muandishi anadai Shekhe Ponda kashinda mashitaka yote yaliyomkabali, sasa kwa nini kahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje?
Unaambiwa jaji kasema mahakama hii haina competence ya kuamua shauri la ardhi lakini hapo hapo jaji katoa lecture kwamba ardhi ya wakfu haibadilishwi matumizi na kwamba Waislamu wafuate taratibu za kisheria kupata ardhi yao halali; sasa jaji kajuaje hii ni ardhi ya wakfu wakati bifu lenyewe ndio hilo hilo la umiliki wa ardhi na jaji keshasema hii sio court of competent jurisdiction kuamua hii ardhi ya nani???
Habari kwenye ma news reports ya kibongo yanakuacha na maswali and ma confusion. Na huyu ndio unaambiwa ni muandishi wa habari wa rais wa Tanzania, hivi umepata wapi qualifications za kuwa muandishi wa Ikulu wewe Michuzi jamani?