kisungu
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 788
- 266
Anayefaa kupelekwa huko ni Askofu Kilaine kwa wizi wa fedha za watanzania masikini sio Sheikh Ponda ambaye hata kuiba penseli hajawahi
Bora uwe mwizi kuliko mchawi
Anayefaa kupelekwa huko ni Askofu Kilaine kwa wizi wa fedha za watanzania masikini sio Sheikh Ponda ambaye hata kuiba penseli hajawahi
Kwa 'kigumu' ni mchawi pia na ....Bora uwe mwizi kuliko mchawi
Halafu chakushangaza iweje Ponda aachiwe asibebwe lakini wewe ndio ukabebwa kulikoni na furaha kwa Ponda kachiwa? Hii picha inanipa wasiwasi sana Nguvu!
![]()
Kwanini wamemuachia huyo gaidi.
Wangemnyonga kwa siri
Ingekuwa kweli watu kama nyie mnajua maana ya neno Gaidi basi mngekuwa mnamlaani sana marekani kwa ugaidi anaofanya.
Wale walioba pesa za Escrow,ni zaidi ya magaidi,na ni Maaskofu na mapadre.Ingekuwa kweli watu kama nyie mnajua maana ya neno Gaidi basi mngekuwa mnamlaani sana marekani kwa ugaidi anaofanya.
tz hakuna kinachoshindikana, mmeshasahau ya sitti mtemvu kuchakachua umri mnaona kama tukio la mwaka 90 kumbe juzi tu sasa mnaanza kupandishiwa cd nyingine
Mahakama imeona hana hatia hata chembe.huo uchochezi unaosema wewe upeleke mahakamani ili ueleweke
Kama sikosei wewe ndio uliyebebwa hapa - Na sijui ni nini kimekufurahisha Ponda kuachiwa na kuwa huru!
![]()
Mtu kashekaa jela jumla ya miaka labda mitano au zaidi sasa hapo Mungu mkubwa sijui ni kwa lipi
Poleni sana. Ila unajua tofauti kati ya mashekh na ma askofu ni kwamba ma askofu wameenda shule na ndio maana hata kama wanakula pesa ni sawa acha wale. Hayo ndio matunda ya kusoma. Ila sasa ma shekh ndugu yangu ni shiiidaaah!! Wanajua kufuga ndevu tu na kuzitia hina
Kwa hivyo wanaendelea kusamehe watu huku wakiongozwa naroho mtakatifu wakati huohuo wanaiba huku wakiongozwa na shetani???