kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,908
- 608
Walimuonea sana, Mungu ampe afya njema
Amiin maalim Aamin
Walimuonea sana, Mungu ampe afya njema
Tuambie kilaini na muuni mwenzie wamepokea ngapi kwenye mgao?Kuna kokoto na vifaa vingine vya ujenzi viliibiwa, wakati Sheikh Ponda na maninja wenzake walipovamia na kuteka viwanja vya markazi pale chang'ombe.Tafadhali tuweke rekodi sawa.
Ccm wanajaribu kuhamisha akili za watu wasahau ya dodoma
Shekhe Ponda aliiba nondo nakokoto. Kama ameachiwa kila ijuma kazi ni moja kukimbizana na maandamano.
Wewe ndiye uliyebeba wakati vyaibiwa?Kuna kokoto na vifaa vingine vya ujenzi viliibiwa, wakati Sheikh Ponda na maninja wenzake walipovamia na kuteka viwanja vya markazi pale chang'ombe.Tafadhali tuweke rekodi sawa.
nimeona maandamano ya watu kama 100 hivi bara2 ya bibi titi ,yaeleka kama wanashangilia kitu ila sijaelewa kwani wanaongea kiarabu
Wewe ndiye uliyebeba wakati vyaibiwa?
Anayefaa kupelekwa huko ni Askofu Kilaine kwa wizi wa fedha za watanzania masikini sio Sheikh Ponda ambaye hata kuiba penseli hajawahi
...loh!..: ﺣﺮﻛﺔ ﺍﻟﺸﺒﺎﺏ ﺍﻟﻤﺠﺎﻫﺪﻳﻦ ; Ḥ
kama ni kweli' tutegemee maadamano ya kila ijumaa, fujo, tindikali, na kuwashambulia viongozi wa dini itaanza tena!