Hatimae sheikh ponda yupo huru na vitu alivokua anadai ni vya kweli bakwata mupo
Hatimae sheikh ponda yupo huru na vitu alivokua anadai ni vya kweli bakwata mupo
.hivi bakwata a.k.a ccm branch mupo kwa maslahi ya nani kiwanja cha waislam mumewauzia matajiri sasa ponda anakushtakini nyinyi
Leo ndani ya mahakama ya kisutu Shekh Issa Ponda ambae alikuwa na tuhuma ya kuhusishwa na vurugu za kiwanja cha Markaz cha Chang'ombe.Leo hii amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja cha nje baada ya kukaa muda mrefu ndani ya mahabusu pasina kupewa dhamana.Hivyo hali hii ya Shekh Ponda pamoja na wenzake kutolewa imejenga faraja ndani ya nyoyo za waislam kwa kuachiwa kwa shekh kipenzi cha umma pamoja na wengine 49 ambao wao wameachiwa huru.
Hii ni Taarifa mbaya kwa wapenda amani.
Huyu yeye hakuingiliwa kinyume na maumbile?
Nimepata taarifa sasa hivi kuwa shehe Ponda kaachwa huru na mahakama. Naomba taarifa halisi wana jf.
which is which?!!!!!!