Shekhe Ponda aachiwa huru

Shekhe Ponda aachiwa huru

Status
Not open for further replies.
Kumbe kamanda yuko free,Aaaluuuta continuerrrr....
 
Hii ni Taarifa mbaya kwa wapenda amani.

Amani tupu bila dawa hospitalini? Amani ya nje bila amani akilini....ubongo unawaza utakula nini? Hii ndo amani? Amani bila huduma muhimu, bila pesa? Amani huku wezi wachache wakigawana mabilioni ya kodi?

Wanaume wakidai haki za wanyonge wanaodhulumiwa wanaitwa wachochezi.......endelea kukumbatia amani huku ndugu zako wanakufa kibudu kwa kukosa dawa na huduma.. huku wanaume wenzio wakigawana billions of shillings...

Uwe na amani ya milele....
 
Sasa yampasa adai fidia ili kuonesha haki kutendeka na nidhamu kutukua wake mkondo na hishma kupatikana.
 
Pole mno Shaikh shujaa Ponda Issa Ponda.

Nafanza maandalizi nikakupeleke ng'ambo pamoya na yako family ili tukapate mapumziko ubatani huko.
Bosco Saronga Makoi, sasa asipokuwa shujaa Shaikh letu Ponda Issa Ponda, wataka mashujaa wawe wale akina KILAini na group of escrow sio....!?
 
Last edited by a moderator:
serekali imetumia pesa nyingi kumsafirisha kwa helikopta na kusababisha vurugu zisizo na msingi kwa kutaka kumpiga risasi

sasa leo umamuachiamhuru sio mchochezi
 
serekali imetumia pesa nyingi kumsafirisha kwa helikopta na kusababisha vurugu zisizo na msingi kwa kutaka kumpiga risasi

sasa leo umamuachiamhuru sio mchochezi
Ni wajibu wa serikali kusafirisha watuhumiwa na kuwapeleka kule wanaohitajika. Hata Mbowe aliwahi kusafirishwa kwa Chopa toka Dar hadi Arusha
 
ww si mkweli. ponda kaachiwa kesi ya Ardhi, lkn bado anashikiliwa kwa kesi ya uchochezi ya morogoro, na ndiyo maana hayuko uraiani. acha upotoshaji!
 
watu tunawaza namna ya kuiokoa nchi ww unatoa povu na ponda wako.. Mpe kijambio basi akukune si unawashwa??
Akili zingne sawa na kinyesi cha nguruwe

acha mambo ya kibwege kama wewe unaawashwa njoo ukunwe huku usimuhushishe shekhe na mambbo ya kaumu.
Pia unafikiri nchi inaokolewa kwenye maadishi kama haya ya kujificha ,onesha mfano kama alotuonyesha kama hujui sema amefanya nini
 
Kwa hiyo Mbwembwe zote za Helkopta na ulinzi mkali kumbe hana hatia????


Gharama zooooote Zile this is another "Ponda Escrow"


jamaa wanapiga pesa sana.
 
Hata hivyo licha ya kushinda rtufaa hiyo Sheikh Ponda alirudishwa mahabusu kutokana na kesi nyingine ya jinai inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, ambapo dhamana yake imefungwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP). Katika kesi hiyo jinai namba 128 ya mwaka 2013 Morogoro, Ponda anakabiliwa na mashtaka ya kufanya uchochezi katika maeneo mbalimbali mjini Morogoro na kukaidi amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, kumtaka asifanye kosa lolote katika kipindi cha miezi 12.

Kutokana na hukumu hiyo Wakili wake, Nassoro alisema sasa watawasilisha nakala ya hukumu hiyo katika Mahakama ya Morogoro na kuomba afutiwe shtaka hilo la kukaidi amri ya Mahakama ya Kisutu.
 
kila lenye mwanzo lazima liwe na mwisho wake,uwe mbaya au mzuri.baada ya kusota kwa mda mrefu lumande huku akiwa na kidonda cha risasi aliyopigwa morogoro mjini.hatimae mwenyezi mungu kasikia kilio cha mja wake shekhe PONDA.

Shekhe ponda jana kaachiwa huru kwakuwa hana hatia yoyote ile.
Sasa mziki ni uleule bakwata waludishe mali za waislamu walizo uza

Mkuu, bado yupo ndani kwa kesi nyingine. CCM iking'olewa bila shaka atatoka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom