D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,958
- 1,190
kila lenye mwanzo lazima liwe na mwisho wake,uwe mbaya au mzuri.baada ya kusota kwa mda mrefu lumande huku akiwa na kidonda cha risasi aliyopigwa morogoro mjini.hatimae mwenyezi mungu kasikia kilio cha mja wake shekhe PONDA.
Shekhe ponda jana kaachiwa huru kwakuwa hana hatia yoyote ile.
Sasa mziki ni uleule bakwata waludishe mali za waislamu walizo uza
Shekhe ponda jana kaachiwa huru kwakuwa hana hatia yoyote ile.
Sasa mziki ni uleule bakwata waludishe mali za waislamu walizo uza