Thubutuuu hao ndio waganga wa Chama, ndio wanao wachanja baadhi ya
viongozi chale za matakoni.
Labda analiliaa posho iongozekeeee Karume na Nyerere na baba zake umbeaa tu
wanasema ukifa ndio hutakiwi kutukanwa, ukiwa hai unayasikia matusi sio mbaya sana kwa sababu unaweza kujibiza matusi, marehemu hawezimbona mzee joseph warioba,anatukanwa hawa semi?? au nyerere na karume,ndio watu?
Mukekuu umufanga na?
Mimi mwenyewe nimesikitishwa sana na kitendo cha utovu wa nidhamu cha Tundu Lissu. Ni kitendo kiovu cha kulaaniwa kwa nguvu zote!!
Huwa wanajisema wenyewe.mkuu umejuaje au na wewe ume chanjwa?
Inaumiza sana ukichaa wa Tundu Lissu
Lia basi tukusikie!
Unaacha vya maana eti unadai umechulizwa.
Kadhi wa mkoa wa dsm, Sheikh hamid jongo, mwakilishi wa kundi la dini katika bunge la katiba ametoa machozi ya uchungu ya kutukanwa waasisi wa taifa hili mwalim j.k nyerere na sheikh abeid karume. Ameeleza kusikitishwa kwake kwa tabia hiyo ya kutoa matusi na kejeli kwa wazee hao yaliyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo akisema kuwa mtu akishakufa huachwa bila kusemwa vibaya kwa sababu tayari anakutana/amekutana na mungu ambaye ndio hakimu wa kweli.
amelia na kudondosha chozi na kuwaomba wabunge watumie lugha za staha na kistaarabu
........kwani na wewe ni mjumbe wa bunge hili!!???
Sheikh asiyeyushe watu, alikuwa anaigiza tu pale kupata macho ya ccm. Kulia gani kule hata kwikwi haisikiki!!!?
Eti TL alaaniwe...., kwa lipi!!? Kwa kusema kile mnachojua ni kweli n hamtaki kisikike !!!
Ama kweli yaani comments nyingi za hii thread zinaonesha jinsi kizazi hiki kilivyo mbumbu. Kwa taarifa yenu mnaomkandia sheikh wote ni hamnazo kichwani. Uelewa wa JF member wengi ni -ve. Poleni sana!