Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

Status
Not open for further replies.
Kadhi wa mkoa wa dsm, Sheikh hamid jongo, mwakilishi wa kundi la dini katika bunge la katiba ametoa machozi ya uchungu ya kutukanwa waasisi wa taifa hili mwalim j.k nyerere na sheikh abeid karume. Ameeleza kusikitishwa kwake kwa tabia hiyo ya kutoa matusi na kejeli kwa wazee hao yaliyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo akisema kuwa mtu akishakufa huachwa bila kusemwa vibaya kwa sababu tayari anakutana/amekutana na mungu ambaye ndio hakimu wa kweli.

amelia na kudondosha chozi na kuwaomba wabunge watumie lugha za staha na kistaarabu

intarahamwe mwenzao
 
Siku hizi hatuna muda Wa kuangalia bunge la ccm Kama ipo clip yake tuekeeni
 
Sheikh Ahmed amlilia nyerere kutukwanwa ila hatujapata kusikia kalia kwa kutukwanwa Mtume Muhammad (s.a.w)ivi huu ni uchamungu unafik ama posho ya laki tatu ivi Huyu ni kadhwi au kazi Wa kuvunja ndoa za watu tuweni makini Hawa yasije kutufika Yale ya wafuasi Wa Nabii Mussa walio Abudu ngombe namungu akwapa adhabu ya kuuwana wao kwa wao Leo kumezid nini na sikuzote tukiambiwa dini na siasa nitofauti na halihiyo ilifikia mashekh Wa Zanzibar kuwekwa ndani zaindi ya mwaka mmoja Leo sheikh anatetea serekali mbili jee?Leo dini imekua siasa maana tumewasikia viongozi Wa juu wakisema wanahofu ya Zanzibar kuunda dola ya kiislam abapo patakua na serekali tatu jee sheikh vip waislam pasipo dola ya kiislam weye kadhwi au kazi

Huu udini utaacha lini?
 
Yaani kwa mwendo huu UKAWA mtakuwa na kazi ngumu kulazimisha agenda zenu.
Kama viongozi wa dini wanalia kwa uchungu namna hii vipi sisi mamilioni ya waumini?

intarahamwe na wanao hawajui kuwa we binti ni kundi hilo.
 
Mi muislam ila kiukweli baadhi ya hawa jamaa zetu miyeyusho aseee!!!!!!

Shule za kiislamu hoi nyingi, hatuna hospitali wala projects kubwa ambazo sustainable , University ndio hiyooo!!!!!!

Haya yooote hayakumtoa machozi!!!!!!
 
Kadhi wa mkoa wa dsm, Sheikh hamid jongo, mwakilishi wa kundi la dini katika bunge la katiba ametoa machozi ya uchungu ya kutukanwa waasisi wa taifa hili mwalim j.k nyerere na sheikh abeid karume. Ameeleza kusikitishwa kwake kwa tabia hiyo ya kutoa matusi na kejeli kwa wazee hao yaliyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo akisema kuwa mtu akishakufa huachwa bila kusemwa vibaya kwa sababu tayari anakutana/amekutana na mungu ambaye ndio hakimu wa kweli.

amelia na kudondosha chozi na kuwaomba wabunge watumie lugha za staha na kistaarabu

Mwongo tu wakati analia nyuma yk kulikuwa na mbunge akionyesha kwamba hela ndio ilomfanya alie, ni njaa tu hana lolote
 
hakuwa hata na dalili ya chozi mnafiki mkubwa na mwigizaji namba moja.Bongo movies pangemfaa!!
 
Amemuiga Pinda!
Anasema amekosa usingizi siku tatu kuwaza jinsi Waasisi walivyotukana.

Ameanza kulia na kutoa machozii!!

Anasema kumtukana Karume na Nyerere ni sawa na kumtukana baba ake mzazi.

Mimi mwenyewe nimesikitishwa sana na kitendo cha utovu wa nidhamu cha Tundu Lissu. Ni kitendo kiovu cha kulaaniwa kwa nguvu zote!!
 
Kadhi wa mkoa wa dsm, Sheikh hamid jongo, mwakilishi wa kundi la dini katika bunge la katiba ametoa machozi ya uchungu ya kutukanwa waasisi wa taifa hili mwalim j.k nyerere na sheikh abeid karume. Ameeleza kusikitishwa kwake kwa tabia hiyo ya kutoa matusi na kejeli kwa wazee hao yaliyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo akisema kuwa mtu akishakufa huachwa bila kusemwa vibaya kwa sababu tayari anakutana/amekutana na mungu ambaye ndio hakimu wa kweli.

amelia na kudondosha chozi na kuwaomba wabunge watumie lugha za staha na kistaarabu

Wanaume wengine hi hasara kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa!
 
Katika jambo lisilokuwa la kawaida shekhe hamidi jongo aliangua kilio kwa kukerwa na watu wanaowatukana viongozi na waasisi wa taifa yaani mwl nyerere na karume
source tbc1
Kweli njaa nouma. Hache njaa sheikh na unafki wake alishawahi kulia maskini wanavyokufa kwa kukosa chakula


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
tundu lisu mama yako hata aseme uongo? mbona mwigulu alipo tukana hamkusema lolote! ccm mmepitwa na wakati
 
Labda analiliaa posho iongozekeeee Karume na Nyerere na baba zake umbeaa tu
 
Kulia mda mwengine ni unaffiki tu, yeye hajuwi kama nyerere ndo amesababisha hii mikanganyiko
 
Mimi mwenyewe nimesikitishwa sana na kitendo cha utovu wa nidhamu cha Tundu Lissu. Ni kitendo kiovu cha kulaaniwa kwa nguvu zote!!

Lia basi tukusikie!
Unaacha vya maana eti unadai umechulizwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom