Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,037
- 13,457
Amemuiga Pinda!
Anasema amekosa usingizi siku tatu kuwaza jinsi Waasisi walivyotukana.
Ameanza kulia na kutoa machozii!!
Anasema kumtukana Karume na Nyerere ni sawa na kumtukana baba ake mzazi.
Anasema amekosa usingizi siku tatu kuwaza jinsi Waasisi walivyotukana.
Ameanza kulia na kutoa machozii!!
Anasema kumtukana Karume na Nyerere ni sawa na kumtukana baba ake mzazi.