kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,257
- 13,265
Naomba nikuulize ww mleta maada ni nn maana ya siasa? Naomba nijibu hilo tu mkuu na unieleweshe nn maana ya siasa?
Siasa ni uongo unaokubalika mbele ya jamii we dot com.
Naomba nikuulize ww mleta maada ni nn maana ya siasa? Naomba nijibu hilo tu mkuu na unieleweshe nn maana ya siasa?
Ni dhambi kubwa sana kumtukana aliyetangulia mbele ya haki
Amemuiga Pinda!
Anasema amekosa usingizi siku tatu kuwaza jinsi Waasisi walivyotukana.
Ameanza kulia na kutoa machozii!!
Anasema kumtukana Karume na Nyerere ni sawa na kumtukana baba ake mzazi.
Aseme serikali mbili au tatu hamna kulemba sasa hivi
huyu sio shehe bali shehena
BAKWATA ni kigango cha kanisa katoliki alilolianzisha JKN...waumini wa kweli wa kiislam Tanzania huwezi kuwakuta hata siku moja wanawasikiliza hao masheikh ubwabwa! EAMWS ndiyo iliyokuwa jumuiya ya kweli ya Waislam Tanzania. Kwataarifa yako huyo Jongo alikuwa anajiliza baada ya kuona kuwa posho itapunguzwa kutokana na kufupishwa muda wa Bunge mara baada ya UKAWA kusepa!...Wakati nikiangalia na kusikiliza Mjadala wa Bunge la katiba Yenu , Zamu ya Kadhi wa Mkoa wa Dar es salaam ya kuchangia aliangua kilio kisichozidi sekunde 3 bila kutoa Machozi akidai kusikitishwa na watu wanaomtukana Mwl.Nyerere, Jambo la kushangaza ni Mashekhe hawa hawa BAADHI kwenye mihadhara yao Umdhihaki Baba wa taifa kuwa ndiye aliyeleta mfumo kristo na kurudisha maendeleo yao Nyuma, Je hilo chozi Shekhe ni kwa sababu umewezeshwa au ? Tuache unafiki, kweli Jehanamu tutakwenda wengi. NAWASILISHA
mkuu hao viongozi hawawalii waasisi, bali wanalilia siku za kupata mshiko ziongezeke! Siku hizi hatuna viongozi wa dini wenye maadili, wengi ni wasanii tu! UKAWA wasonge mbele!Yaani kwa mwendo huu UKAWA mtakuwa na kazi ngumu kulazimisha agenda zenu.
Kama viongozi wa dini wanalia kwa uchungu namna hii vipi sisi mamilioni ya waumini?