Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

Status
Not open for further replies.
Ebu tumuulize na yeye inawezekana alikuwa mmojawapo waliomsomea itkaf Kikwete ili yamkute mabaya kwa kutowatetea waislam leo hii kageuka tena je amesahau?
Thubutuuu hao ndio waganga wa Chama, ndio wanao wachanja baadhi ya
viongozi chale za matakoni.
 
Njaa mbaya sana,muulizeni kama alilia ajali ya basi la LUHUYE juzi.
Unafiki, anaacha kulia Lukuvi kuongea ujinga kanisani, Komba kutishia kuingia kichakani, bi Asha kuporomosha matusi bungeni ana lia kumkosoa Mwl. Nyere? Kichekesho.
 
Aendelee kukosa usingizi, mpuuzi huyo Sheikh wa Interahamwe. Sheikh mzima ovyooooooo!!!!!!!!
 
Kadhi wa mkoa wa dsm, Sheikh hamid jongo, mwakilishi wa kundi la dini katika bunge la katiba ametoa machozi ya uchungu ya kutukanwa waasisi wa taifa hili mwalim j.k nyerere na sheikh abeid karume. Ameeleza kusikitishwa kwake kwa tabia hiyo ya kutoa matusi na kejeli kwa wazee hao yaliyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo akisema kuwa mtu akishakufa huachwa bila kusemwa vibaya kwa sababu tayari anakutana/amekutana na mungu ambaye ndio hakimu wa kweli.

amelia na kudondosha chozi na kuwaomba wabunge watumie lugha za staha na kistaarabu

Atakuwa Sheikh wa BAKWATA tawi la CCM huyo tu.
 
Kwa sababu ni mwisilamu anajitafutia moto baada ya kiama maana ktk uislamu wanafiki hawatafika mbinguni. Mbona hakulia alipotukanwa Warioba leo asubuhi?
 
Njaa mbaya,lini amelilia watanzania wanaoishi maisha ya shida,hapa Jk atampandishia dau sasa ata-sign 350,000 per day..
 
Ngoja niuchune tu mana kuna watu wanakera nchi hii acha tu
 
Majanga hayo.ndio bakwata tawi la ccm.
Atasema nini
 
Ni dhambi kubwa sana kumtukana aliyetangulia mbele ya haki

Ebu tuambie baada ya KULIA alitoa mchango gani juu ya mjadala wa hii Rasimu ya Katiba? au KULIA ndio kumehalalisha kupokea hizo 300,000/= kwa siku.
 
Sheikh Ahmed amlilia nyerere kutukwanwa ila hatujapata kusikia kalia kwa kutukwanwa Mtume Muhammad (s.a.w)ivi huu ni uchamungu unafik ama posho ya laki tatu ivi Huyu ni kadhwi au kazi Wa kuvunja ndoa za watu tuweni makini Hawa yasije kutufika Yale ya wafuasi Wa Nabii Mussa walio Abudu ngombe namungu akwapa adhabu ya kuuwana wao kwa wao Leo kumezid nini na sikuzote tukiambiwa dini na siasa nitofauti na halihiyo ilifikia mashekh Wa Zanzibar kuwekwa ndani zaindi ya mwaka mmoja Leo sheikh anatetea serekali mbili jee?Leo dini imekua siasa maana tumewasikia viongozi Wa juu wakisema wanahofu ya Zanzibar kuunda dola ya kiislam abapo patakua na serekali tatu jee sheikh vip waislam pasipo dola ya kiislam weye kadhwi au kazi
 
Daah watz tunasafari ndefu sana ili kujikwamua na huu umasikini wa fikra huyu jamaa anaejiita utaifakwanza ni kiazi sijawahi ona yani yeye ameona la lisu tu ndo muhimu unaacha jadili mambo ambayo yataleta tija kwenye taifa lako unajadili watu pole aseeh hata kama huo mnalipwa kuna wakati mnatakiwa mfiche upumbavu wenu
 
Nadhani kajipa jukumu la ku-balance utumbo wa askofu mutemela.
 
alianza kulia ole sendeka sasa shehe jongo, bunge la kiinterehamwe vichekesho tu.
 
Inamaana hicho kilio kitakuwa kimeingia kwenye ansad, maana hajakikanusha kifutwe. Kweli ukiwa msanii hufi njaa.....
 
Aende Malaysia akaililie ile ndege iliyopotea badala ya kulilia waliokufa miaka zaidi ya kumi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom