Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia


Heshima kwako FaizaFoxy.

Shukran nimepata darsa haswa na nimeelewa.
 
sijawahi kukutana na thread chafu na ya hovyo kama hii
 
Naskia alikuwa anamiliki majini milioni9 moja, sasa nani atayarithi, kwani yakitawanyika mitaani bila kufugwa mayooooooooooooooo? Maweeeeeeeeeeeeeeeeh! Tumekwisha!
 
hivi haya majini anayachungia wapi?atakuwa na eneo kubwa sana maana majini milioni 9 mengi kweli kweli haya
 
Naomba kuelezwa haya bila jazba:-
1) Ivi mavi pekee ndio uchafu?
2) Wanakua na uhakika gani mavi yote yameisha?
3)Yale mavi yanafanyiwa nini?
4) Akiwa na govi anatairiwa na kuondoa utoko wote?
5) Akiwa na ukurutu, nywele chafu nk nazo hukwanguliwa?
6) Vp kuhusu wanawake? nani huwaosha? kuhusu hedhi? inatolewa yote?
7) Makamasi, je nao sio uchafu?
8) Kama mtu alikua mshirikina na anamachale mwili mzima,,usafi wa kumtoa mavi unasaidia nini?
9) Ivi mavi mbele ya Mungu ni machukizo?
10)Wale wanaokufa na kuungua moto na mavi yao huenda mbinguni/Peponi?

Nitaendelea.
 
afe tu hana faida yoyote kwa taifa letu.....kuhusu majini. tukaze kumuomba mungu maana ni suala la mkuu wa kaya pale ikulu kuyapa ruhusa yachunge yanapotaka....tutarajie majanga kadhaa kutokea siku za karibuni kwa kibali cha mkuu.....
 
hakuna tatizo kuonyesha,mbona matukio mengine ya watu wa kawaida tunayaona? wacha tuwaone wenye imani za Kishirikina wakihudhuria. TBC MPOOOO? TUONYESHENI BANA!
 
Bora aende zake akamueleze Mungu kwanini alijipa mamlaka ya kuwatabiria watu vifo. Ohoo atakufa mgombea uchaguzi mpinzani mkubwa wa Kikwete, mbona amedanja yeye, sijui nani atamlinda Jakaya kupitia nguvu za giza maana alitutangazia yeye ndiye mkuu wa kamati ya ulinzi ya Kikwete. Mimi nadhani mapete apewe makamba.
 


Tangu lini mmeanza kukiri kuwa Yesu alisulubishwa?
 
Reactions: LAT

mmmh no comments
 

Sasa jiulize wale waliokuwa wanaenda kum "anoint" yesu, do dead bodies get anointed in christianity? ukipata jibu utajibu maswali yako yote uliyouliza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…