Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

haaah haaah dah hii thread imepata wachangiaji wengi duh kwel sheik alikua famous kwi kwi kwi!
 
INNALILAH WAINAHY RAJJGHUUN, sisi ni waja na hakika kwake n i MAREJEO, kila nafsi itaonja mauti.
 
INNALILAH WAINAHY RAJJGHUUN, sisi ni waja na hakika kwake n i MAREJEO, kila nafsi itaonja mauti.


Hapo Mkuu umechemsha kidogo.

Sahihi ni:

"INNA LILLAH WA INNA ILLAIHI RAJIUN" ikiwa na maana kwako tumetoka na kwako tutarejea.

Samahani Mkuu, tunaweka mambo sawa tu.
 
Amekwenda kuiandalia CCM makao kwa maana imeandikwa alipo yeye na CCM itakuwepo:dance:
 
Huyu si mungu wa waislamu?...amekufaje sasa.....mbona hakujitabiria kifo chake isipokuwa akaendelea kutishia vifo watz wasio na makosa?......mwache atangulie mbele ya haki
 
RIP Mzee Yahya. Kweli kafariki siyo kubeep kama tulivyzoea.
Bwana ametoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Wajameni niko maeneo ya kinondoni, karibu na msikiti wa mtabani ambapo mwili wa yule aliyekuwa mnajimu maarufu unatarajiwa kuoshwa ikiwa ni maandalizi ya maziko hapo baadae mchana ktk makaburi ya tambaza. Fununu nilizozipata ni kuwa kuna idadi kubwa ya waosha imejitokeza kuuosha mwili huo. Nje ya msikiti watu wanadhani kuwa kujitokeza kwa idadi hii ni kutaka kuondoka japo napete moja kati ya yale mapete yavaliwayo ns sheikh. Wana jf, hizi fununu zaweza kuwa na ukweli?.
 
Dokta Dokta Dokta Kikwete kwa kupenda misiba kama namuona miguu inavyomuwasha huko Windhoek...
 
MUNGU atamuokoa kila mwanadamu kwa namna yake. Yeye ndiye HAKIMU mkuu. Na Hukumu yake ni ya HAKI na KWELI. sisi tuseme tu R.I.P Yahya Hussein
 
Sidhani kama bado maiti yake imevaa hayo mapete.Yale mapete yalikuwa walinzi, mpaka sasa yanalinda nini wakati Maulana ameishayazidi nguvu na kuchukua roho aliyokuwa amemwazima Sheikh?
 
Hofu yangu wale waliopewa hizo pete baada ya kifo chake zitaendelea kuwasaidia
 
aiseee... hivi hawaogopi kumuosha huyo jamaa

samora10,

Acha kudanganya watu habari za kumuosha ni uchimvi mtupu.Semeni wazi Sheikh Yahaya anakamuliwa kinyesi kwamujibu wa taratibu za ~~~**&&&& ili mabikira 80 wampokee vyema.
 
Pete moja lazima iende kwa Kikwete ili ulinzi uendelee kuwepo maana aliyekuwa mlinzi wake mkuu ametutoka. Amin
 
Mpita Njia asante kwa taarifa.

Hao wanga si wako wengi Tz, kwanini huyu hata Rais wa nchi amtolee rambi rambi? Inaudhi sana.
Je naye alikuwa mtumishi wa Ikulu au Serikali? Naululiza kwa ujinga tu.
 
Kumbe na yeye anakufa?Alijitabiria kifo chake? maana alizoea kutabiria wengine!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom