Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Kwani JF sio chombo? Mbona wengi tu wanachukua humu bana!sidhani kama habari ina ukweli, mbona mpaka sasa vyombo vyote ni kimya?
Kwani JF sio chombo? Mbona wengi tu wanachukua humu bana!sidhani kama habari ina ukweli, mbona mpaka sasa vyombo vyote ni kimya?
lol hiki kigagula kaaga?? hakutabiri?
RIP sheikh Yahya Hussein
usimhukumu. sio kazi yako. mwachie mwenye kazi ya kutoa hukumu kwa wanadamu. ameshafariki ziara yake ya duniani imefikia kikomo. yamfuatayo yako nje ya mikono yetu. nadhani huitaji kuwa Mtanzania kulijua hili. mweshimu marehemu..at least kwa masaa machache ambapo mwili wake tutaendelea kuwa nao hapa duniani. sijaipenda hii comment yako asilani. Hata kama sikuwa nakubaliana na mambo yake. please!
The info is true!
Mzee Yahya in no more, wamepeleka mwili wake Lugalo muda si mrefu.
Poleni wafiwa wote!
ajifie zake majini matupu
ulimpenda wewe na JK! RIP!Tulipenda Mungu kampenda zaidi.
I think you meant CCM instead.end of the world 21/05/2011