Nani atarithi mikoba yake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ina maana wagonjwa wake (customers) ndio basi tena...duuuuuu!!!!
Kaende tu haka kazee. Bado kale ka Samunge.
Pole sana Jakaya Kikwete na wafiwa kama habari hizi zinaukweli!
Hakika kila nafsi itaonja mauti. Mola ampe pumziko la amani.[/QUOTE]
Huyu aliyetaka kutuletea balaa Tanzania yetu apumzike kwa amani? Aende jehanum tu, kwamfaa sana huko, akakutane na Shehe Osama Bin Laden!
Mtu akishafariki mabaya huwa hayasemwi ndugu imagining it was your daddy, that was his life and his way of earning a living.....una umri gani?
Nyie mnaonekana ni true watz....kuficha ficha mambo ndio maana miwshowe mnaumbuka kwa matatizo.....nakumbuka Uganda miaka ya 80 ilikupambana na AIDS ukifa na ngoma siku ya msiba unatangazwa kabisa.....manumbu kafariki kwa HIV!!!!....usimhukumu. sio kazi yako. mwachie mwenye kazi ya kutoa hukumu kwa wanadamu. ameshafariki ziara yake ya duniani imefikia kikomo. yamfuatayo yako nje ya mikono yetu. nadhani huitaji kuwa Mtanzania kulijua hili. mweshimu marehemu..at least kwa masaa machache ambapo mwili wake tutaendelea kuwa nao hapa duniani. sijaipenda hii comment yako asilani. Hata kama sikuwa nakubaliana na mambo yake. please!
hapana ndugu mtu amefariki lakini bado wanaendeleza siasa badala ya kumuombea hebu tuache ujinga ndugu zanguni tunapoelekea sio kuzuri