grndossy,Nafikiri imefika wakati kila mtu mwenye akili timamu kukemea hii non sense na hawa akina ponda. Mimi nishangaa serikali kwa nini inamfumbia macho mrundi huyu. Mna agenda gani na mrundi huyu? Hivi waislamu mnataka tuamini maneno anayosema ponda mnakubaliana nayo???????? Unajua kuna mambo mtu mzima anaongea unajiuliza alimaliza kunyonya lini maana kama ameanza angalau kutembea hawezi kuwa na akili hizi. Hivi kujua waislamu wako wangapi kwenye sensa inatusaidia nini? Wanaotetea wazo hili watuambie na sisi tujue!!!!!! Ponda anajua maana ya sensa? Moja ya kazi ya data za sensa ni kujua namna ya kugawa raslimali za nchi kwa usawa. Je idadi ya waislamu inatusaidiaje hapa? au kwenye elimu, afya, miundo mbinu n.k. Kuna huduma za waislamu peke yao na wakristo peke yao? Au kuna agenda ya siri kuhusiana na suala la Ponda? Kwani Zanzibar walitumia kigezo cha katiba wakachoma makanisa, kwa mtindo huo anataka kutumia kigezo cha sensa achome makanisa huku bara. This time we are fed up, kama akileta huo ujanja wake hatutavumilia. Wakristo tumevumilia sana vitendo hivi vya kijinga. Tumechoka, enough is enough.
Suala la ajira, aliyekuwa katika Wizara hiyo kwa muda mrefu (Hawa Ghasia) alikuwa mkristo? Rais wa nchi hii ambaye ndiye mwajiri mkuu ni mkristo? Makamu wa Rais ni Mkristo? Acheni majungu na kuunga mkono mawazo ya watu wajinga. Natamani kujua elimu ya Ponda maana sitaki hata kumwita sheikh kwani naamini sheikh ni mtu mwadilifu, mcha Mungu si mtu mhuni anayetamani kuona watu wakimwaga damu kwa mambo ambayo hayana tija kwa nchi yetu. Mgawanyo wa ajira unafanywa kwa kutumia dini? Haya mambo gani ya ajabu haya? Kwa hiyo kama umesoma sana dini ya kiislamu hata kama huna qualification upewe ajira? Hivi ambao wasimamia ajira wote ni wakristo?
Nafikiri ifike mahali waislamu wakatae watu kama Ponda kwani wanafika mahali wanawadhalilisha waislamu ambao mimi ninaamini ni watu wenye akili safi na wanaofahamu ukweli wa kila jambo.
Mbona lengo la Ponda ni wazi kabisa? Yeye kishatamka kuwa Waislamu ni 64% ya population ya Tanzania. Kitakachofuata ni kutangaza Tanzania kuwa ni nchi ya Kiislamu. Lengo lake liko wazi kabisa.