Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Mkandara umejitoa ufahamu ningekwambia A to Z kilichomfanya ponda akamatwe bt you seems not ready to understand... Na hivyo basi sitapoyeza muda wangu na naomba member yoyote asipoteze muda ku'argue na ww
Mkuu wangu nitafurahi sana kama utanieleza badala ya haya aneno yanayozungumzwa humu. Sijajitoa Ufahamu isipokuwa napingana na dhana zinazokuzwa humu pasipo kuwa na uhakika nini hasa kimeajili. Mimi ni msikivu sana pale napoona sababu mbona ya Jussa na UAMSHO nawapinga siku zote iweje leo nisherekee kuchomwa kwa makanisa kama kweli ndilo kosa lake.

Nimesema siku zote hapa JF wamba UDINI tutautengeneza sisi wenyewe na serikali ya CCM imeshindwa kusimamia sheria. UFISADI sio kuiba mali za umma tu ama kuhujumu uchumi, Ufisadi ni pamoja na kujenga mfumo usiothamini sheria has apale haki za wananchi zinapokwaza kwa kutumia turufu ya nguvu ya Dola na nidhamu ya woga.
 
nnachoshindwa kuelewa ni kwa kipengele kipi waislam wanaonewa? mana kitu kidogo tu wanapanic vibaya
 
watamwachia
hana kosa ni yale yale ya Sheikh wetu Kassim bin Jumaa alikamatwa kwa shinikizo la kanisa
hatimaye mrema alimkamata na kumuua kwa sumu
waislam hawatakubali amani wao ndio waliitunza
wao ndio wamewwekwa nyuma katika kila sekta ya nchii hii
ni wao viongozi wao wanaposema na kuiomba serikali hata kwa jambo la msingi basi hawasikilizwi
ni wao viongozi wao wanapo takiwa police kutoa ushahidi huburuzwa kama majambazi ilhali mapadri polise huenda wao makanisani kuwahoji
madhali haki haipo, basi sasa ni wakati wake kuweka sawa mambo
waislam wamestahamili sana dhulam hawamo serikalini . wafanyakazi zaidi ya 90% ni wakristro
jeshi 90% ni wakristo
polisi 90% ni wakristo
bunge 90% ni wakristo
necta yote wakristo ambao kazi yao kubwa ni kuwafelisha watoto wa liislam
nchi kweli imeshaharibika
uonevu na dhulma ukivuka mpaka wananchi hawaogopi dola
lazima heshima ipatikane na Ponda watamtoa ama waislam watamtoa hii ni lazima
yaliyo tokea mbagala hayamhusu ponda
polisi wanafata maelekezo ya mapadri...na hawa mapadri kuwakumbusha tu ndio walio wachoma wahutu na watusi kule burundi na rwanda baaadae wakakimbia vatican na ulaya
kwa hiyo sio ponda wala waislam watakao haribu nchi hii
nchi hii tayari imeshaharibiwa na mapadri wanaondekeza uchoyo, dhulma na wizi kwani wao hawajali wana passport mbili..
wacheni kuchochea moto waislam hawana cha kupoteza

When a heart is on fire, sparks always fly out of the mouth!

 
Mkuu wangu nitafurahi sana kama utanieleza badala ya haya aneno yanayozungumzwa humu. Sijajitoa Ufahamu isipokuwa napingana na dhana zinazokuzwa humu pasipo kuwa na uhakika nini hasa kimeajili. Mimi ni msikivu sana pale napoona sababu mbona ya Jussa na UAMSHO nawapinga siku zote iweje leo nisherekee kuchomwa kwa makanisa kama kweli ndilo kosa lake.

Nimesema siku zote hapa JF wamba UDINI tutautengeneza sisi wenyewe na serikali ya CCM imeshindwa kusimamia sheria. UFISADI sio kuiba mali za umma tu ama kuhujumu uchumi, Ufisadi ni pamoja na kujenga mfumo usiothamini sheria has apale haki za wananchi zinapokwaza kwa kutumia turufu ya nguvu ya Dola na nidhamu ya woga.
Nimemsikia Kova kwa masikio yangu akisema kosa moja alilofanya Ponda ni lile la kuhamasisha waislam kuvunja uzio na kuvamia kiwanja halali cha watu...sasa kama hujui kuvamia kwa nguvu kiwanja kinachomilikiwa kihalali na mtu mwingine ni kosa kisheria itabidi urudi kindergarten. Makosa mengine yapo ila hajayaeleza...
 
Mkuu wangu Mkandara, hapo penye red naona umekosea sana. Kuna waislamu tena nawafahamu kabisa wanaompinga Ponda kwaajili ya tabia yake yakutumia jazba pasipo kufikiri. Nafikiri ni Ponda huyu huyu ambaye anahamasisha wafuasi wake wamkatae yule Sheikh wa Bakwata kwasababu anahubiri umoja/amani pamoja na sababu nyingine nyingi. Si kila muislamu anafurahia purukushani za huyu Ponda. Ukiwa mtu wakutafuta maugomvi kila siku ni lazima jamii yeyote iliyostaharabika ianze ku-question ajenda zako. Watu kwenye jamii iliyostaharabika huwa wanatafuta kuwa part of the solution ya tatizo lolote linalotokea na sio part of the problem? Sasa huyu Ponda naona kwenye huu umoja wetu ni part of the problem (just a personal thought).
Swala la Ponda kuhusiana na Bakwata haliwahusu serikali wala Wakristu ni swala la waislaam wenyewe. Bakwata haipendwi na Waislaam wenye kujua chombo hiki kinafanya kazi gani. Bakwata sio chombo cha waislaam isipokuwa serikali inataka watu waamini hivyo, na kilianzishwa enzi ya Ujamaa na kwa sababu maalum.

Lini uliona Askofu au Kardinali akachaguliwa na kuapishwa na rais wa nchi, lini mipango ya kiibada ijumuishwe na serikali kiasi kwamba hata mfungo wa Ramadhan tunatangaziwa na mtu alochaguliwa na serikali. Hivi niulize rais wa nchi akiwa Mkristu watafanyaje?.. Binafsi yangu namuunga mkono sio tu Sheikh Ponda bali waislaam wengine wote wanaopingana na chombo hiki. Mambo ya Waislaam ktk ibada zao na kuchagua viongozi wao haitakiwi kushirikishwa serikali kuziba watu akili juu ya MuO na NECTA. Nenda tazama maisha wanayoishi viongozi wa Bakwata halafu jiulize kama kweli hawa ni wachungaji. Hawa ni cartel wanaoitumia dini kujifadisha wao ilihali Elimu na Afya nchini zinazidi kuporomoka..Niwekeni ndani na mimi..
 
Ukumbukeni waraka wa Mchungaji Mtikila uliokuwa ukisema kuwa " Kikwete kuuangamiza kabisa Ukristo ". Ila naamini kwa dhati kabisa hili pepo chafu linaloitwa JK litashindwa kabisa kwani Ukristo umejengwa na Mungu mwenyewe.
 
Swala la Ponda kuhusiana na Bakwata haliwahusu serikali wala Wakristu ni swala la waislaam wenyewe. Bakwata haipendwi na Waislaam wenye kujua chombo hiki kinafanya kazi gani. Bakwata sio chombo cha waislaam isipokuwa seriklai inataka watu waamini hivyo. Lini uliona Askofu au Kardinali akachaguliwa na kuapishwa na rais wa nchi, lini mipango ya kiibada ijumuishwe na serikali kiasi kwamba hata mfungo wa Ramadhan tunatangaziwa na mtu alochaguliwa na serikali. Hivi niulize rais wa nchi akiwa Mkristu watafanyaje?.. Binafsi yangu namuunga mkono sio tu Sheikh Ponda bali waislaam wengine wote wanaopingana na chombo hiki. Mambo ya Waislaam ktk ibada zao na kuchagua viongozi wao haitakiwi kushirikishwa serikali kuziba watu akili juu ya MuO..Hawa ni cartel wanaoitumia dini kujifadisha wao ilihali Elimu na Afya nchini zinazidi kuporomoka..Niwekeni ndani na mimi..
Kwani walifanyaje wakati wa Mkapa?
 
shekhe ponda anatoa kauli za uchochezi kati ya waislam wakristo na serikali.kwa mfano jana nilikuwa namsikiliza redio ya umoja wa mataifa akihojiwa anasema eti serikali iwaombe radhi waislam kwa mtoto w mbagala kukojolea qur'an.sasa inashangaza kwani mtoto alitumwa na serikali! na serikali imemkamata mtoto na imempeleka mahakamani yeye alitaka serikali imuue!halafu anaiamuru serikali iwaache watu wote iliowakamata wanaodai kuwa ni waislam japo wameharibu mali za watu!mtu wa ajabu sana huyu.

Huyu anafaa apelekwe Rumande ya Keko au ukonga ili jamaa wenye njaa wakamtafune Boga.


Mshenzi sana huyu
 
nimemsikia kova kwa masikio yangu akisema kosa moja alilofanya ponda ni lile la kuhamasisha waislam kuvunja uzio na kuvamia kiwanja halali cha watu...sasa kama hujui kuvamia kwa nguvu kiwanja kinachomilikiwa kihalali na mtu mwingine ni kosa kisheria itabidi urudi kindergarten. Makosa mengine yapo ila hajayaeleza...
tatizo kubwa la ponda, ni kuishia nursery skul ya mkoloni!! Angekuwa na hata masters tu, hangekuwa na huu muda!
 
Nimemsikia Kova kwa masikio yangu akisema kosa moja alilofanya Ponda ni lile la kuhamasisha waislam kuvunja uzio na kuvamia kiwanja halali cha watu...sasa kama hujui kuvamia kwa nguvu kiwanja kinachomilikiwa kihalali na mtu mwingine ni kosa kisheria itabidi urudi kindergarten. Makosa mengine yapo ila hajayaeleza...
Kwa hiyo kosa lake ni kuvamia kiwanja cha mtu sio maswala ya Mbagala... hapo tutaelewana na hivyo muache hizi habari mlizoanzisha humu tuzungumzie hicho kiwanja ni kipi na cha nani.. Na karatasi za umiliki zinasema nini.. Mkuu wangu haya maswala msiyakuze zaidi ya yalivyo ili kuhamasisha wakristu na pengine wewe ndio unatakiwa kurudi vidudu. Kwa mwendo huu JF haitakuwa tofauti na redio Imani na hakika kwa mwenye kusoma vizuri angependa hata JF ifungiwe maana sioni tofauti na redio iman.. Great thinker hawazungumzi vitu pasipo kuwa na ushahidi mbele ya hoja zao.
 
siungi mkono uamsho ,hawa watu wana wafuasi wengi na wamelelewa na serikali hii hii ,hata kama ni mtoto wako huwezi kumvumilia kiasi hiki ,tunataka kujua ofisi za uamsho zanzibar vifaa walipewa na nani na nani aliyekuwa anamtuma sheikh ponda kuongea bila mipaka ,na ccm hii hii siku za nyuma imemtumia sheikh ponda kwenye kampeni zake eti aunganishe waislamu .tunaona sasa mtoto umleavyo ...........
 
kwi kwi kwi! Kwanza koma kutuita makafiri! Halafu jamii forums ikifungwa, jua hiyo ndiyo siku mwezi na jua vitakapoungana! Nendeni shule, nyie na vizazi vyenu, hamna ufikiri wala uthubutu lakini ni mabingwa wa kulalama! Shame on u pipo! Tusisitize upendo! Punguzeni kula urojo, kucheza bao, kuoa wake wengi na kuzaa watoto wengi wakati hamna uwezo wa kuwalea. Mwisho wanaishia kuwa watoto wa mitaani. Hebu tuirudishe tanzania ya zamani iliyokuwa na amani na upendo.

Utacheka sana, lakini Mtatafuta pakwenda siku mtakayo ifungia Radio Imaan...na wewe ndo utakuwa mke wangu wa kwanza kabla sijaongeza wengine watatu.
 
Kwani walifanyaje wakati wa Mkapa?
Unaona basi.. wewe unapendekeza serikali iendelee kuwa control waislaam wakati nyie viongozi wenu wanachaguliwa Vatican na kuwa mabalozi wa waumini wa Katoliki na kupewa immune... Tuacheni tuchague viongozi wetu wenyewe hiyo Bakwata hatuitaki, kwa nini mnatulazimisha halafu watu wakisema mfumo kristu mnalalamika..
 
Mkandara inawezekana unachosema ni kweli na inavyoelekea kuna waislam wanaoipenda bakwata na wanao support agenda za ponda. Je haya yote siyanaweza kuwa solved bila fujo? Inapofikia hatua yakutumia nguvu nakuhatarisha amani za wengine, basi your business becomes everybody's business. We kumbuka ugomvi wa kkt meru uligeuka everyone's business pale walipoanza kupigana/fujo.
 
Kwa hiyo kosa lake ni kuvamia kiwanja cha mtu sio maswala ya Mbagala... hapo tutaelewana na hivyo muache hizi habari mlizoanzisha humu tuzungumzie hicho kiwanja ni kipi na cha nani.. Na karatasi za umiliki zinasema nini.. Mkuu wangu haya maswala msiyakuze zaidi ya yalivyo ili kuhamasisha wakristu na pengine wewe ndio unatakiwa kurudi vidudu. Kwa mwendo huu JF haitakuwa tofauti na redio Imani na hakika kwa mwenye kusoma vizuri angependa hata JF ifungiwe maana sioni tofauti na redio iman.. Great thinker hawazungumzi vitu pasipo kuwa na ushahidi mbele ya hoja zao.
Nadhani hujanisoma vizuri...hilo la kuvamia kiwanja ni moja ila yapo makosa mengine ambayo hakupenda kuyaeleza(labda kwa sababu za kipolisi). Kinachonishangaza mimi ni kwamba kwanini waislam wanajiona wapo juu ya sheria sasa hivi? Kova amesema taratibu zote za sheria zitafuatwa na zitakapokamilika kama ni dhamana/kufikishwa mahakamani, taratibu hizo zitafuatwa.
By the way...unajua hata kukusanyika watu wengi mbele ya kituo cha polisi kama walivyofanya waislam leo ni kosa kisheria na wangeweza kukamatwa na kufunguliwa mashtaka?
 
By Mkandara Kwa hiyo kosa lake ni kuvamia kiwanja cha mtu sio maswala ya Mbagala... hapo tutaelewana na hivyo muache hizi habari mlizoanzisha humu tuzungumzie hicho kiwanja ni kipi na cha nani.. Na karatasi za umiliki zinasema nini.. Mkuu wangu haya maswala msiyakuze zaidi ya yalivyo ili kuhamasisha wakristu na pengine wewe ndio unatakiwa kurudi vidudu. Kwa mwendo huu JF haitakuwa tofauti na redio Imani na hakika kwa mwenye kusoma vizuri angependa hata JF ifungiwe maana sioni tofauti na redio iman.. Great thinker hawazungumzi vitu pasipo kuwa na ushahidi mbele ya hoja zao.
Nimesahau...Hicho kiwanja kinamilikiwa kihalali na mtu mwingine na karatasi zote zipo hata hati...kwa mujibu wa Kova.
 
Mkandara inawezekana unachosema ni kweli na inavyoelekea kuna waislam wanaoipenda bakwata na wanao support agenda za ponda. Je haya yote siyanaweza kuwa solved bila fujo? Inapofikia hatua yakutumia nguvu nakuhatarisha amani za wengine basi your business becomes everybodies business. We kumbuka ugomvi wa kkt meru uligeuka everyone's business pale walipoanza kupigana/fujo.
Yanaweza ikiwa tuna seriikali sikivu lakini hatuna serikali hiyo na ndio maana Chadema wanaitwa wanafanya fujo japokuwa ni Polisi wanaovamia mikutano yao, ni serikali inayotuma vijana wa kufanya fujo na kadhalika. kama unakumbuka Dr.Slaa alimwambia Kovu aandae Jeshi kabisaa wanaChadema wataendelea na M4C.. Unaweza kutafrsiri vibaya maneno haya kama hujui kile anachopigania Dr.Slaa. Hivyo Sheikh Ponda naye kwa upande wake anaitazama serikali kama Dr. Slaa lakini kwa maslahi ya Waislaam nchini. Ndio kazi aloapa kuifanya kama kiongozi wa dini hakubaliani na Bakwata na hakubaliani na mfumo mzima wa kuiongoza nchi ambao serikali inawa monitor waislaam kwa kuwakwaza ktk kila jambo la maendeleo yao.
 
Mkuu wangu sielewi kabisa ila navyosoma hapa JF inaonyesha kwamba kuna tuhuma ama ushahidi kuwa Sheikh Ponda anahusika na mauaji ya Mbagala. Lakini hizi tuhuma ni za hapa JF sielewi ukweli ni upi ktk kukamatwa kwake na kama amehusika kweli ipo kila sababu ya kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria lakini kinyume cha hapo kama ni sababu ya yale maandamano ya kupinga sensa, akasimama kuiomba serikali iwaachie huru waumini wa Kiislaam waliokamatwa - hapo sioni kama lilikuwa kosa la watu kushabikia kiasi hiki maana hata Dr.Slaa, Mbowe Lema, Tundu Lissu wote wameisha kamatwa kwa makosa ya kutetea wafuasi wa Chadema ambao walikisiwa kufanya vurugu.

Wananchi wana kila haki na Uhuru wa kutoa maoni yao (freedom of expression). Ikiwa leo seirkali inapingana na maoni ya wananchi kwa sababu ya dini yao basi hiyo katiba mpya sijui itakuwaje. Na kila siku mnabishana na kina Ritz na Zomba humu mnawaita wao ndio wajinga, washenzi na wapumbavu wa kuitetea serikali. Serikali imekuwa ikitafuta ushahidi wa kumkamata Sheikh Ponda kutokana na mgomo na maandamano ya waislaam yalofanyika kupinga sensa ile hata kufikia kuharibu sensa nzima ya watu nchini...

Ifike mahala wanaChadema myapime maswala kwa kutazama makalio yenu wenyewe. Mnaiona Haki viongozi wenu wanawatetea wanaChadema lakijni hamuioni haki pale kiongozi wa Kiislaam anapopingana na Uongozi wa CCM. Kama Sheikh Ponda amehusika na njama zozote dhidi ya Wakristu na sio mfumo unaowakandamiza Waislaam basi nifahamisheni ili nami nishiriki ktk harakati hizi za kuwachambua viongozi hawa wa dini wanaosababisha UDINI..All I know Sheikh Ponda huikaripia serikali ya CCM kwa kuwakandamiza Waislaam kwa lugha ambayo hutoa hatadhari ya kwamba itafikia wakati Waislaam na wakristu watakuwa maadui..

Hapo kwenye red , una uhakika gani kuwa wanaowajibu ni wafuasi wa Chadema?wewe mbona huishi kuitaja CHADEMA kwenye mada ambazo hata haziusiani na siasa?mkuu wangu huu ndo ule unafiki ambao watu wanakuambia kila uchao.
 
Back
Top Bottom