Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Unaona basi.. wewe unapendekeza serikali iendelee kuwa control waislaam wakati nyie viongozi wenu wanachaguliwa Vatican na kuwa mabalozi wa waumini wa Katoliki na kupewa immune... Tuacheni tuchague viongozi wetu wenyewe hiyo Bakwata hatuitaki, kwa nini mnatulazimisha halafu watu wakisema mfumo kristu mnalalamika..
Mkuu kama bakwata hamuitaki hakuna wa kuwazuia. Kwanza nashangaa kama hamuitaki kwanini mpaka leo bado ipo. Kuna kitu hakijakaa sawa kabisa kwenye umoja wenu ama sivyo BAKWATA ingekuwa ni history tu kwa sasa.
 
baba tunde mawazo yako yana hoja nzuri. katika kujadili masuala ya dini, uweka kando dini yangu kisha kutafuta ukweli juu ya imani ya hizi dini zilizoletwa na mashua afrika. nakumbuka siku moja niliwahi kufatilia chanel ten kipindi cha dini ya kiislaam majira ya usiku, kweli kipindi ni kizuri, najifunza mambo mengi yanayohusu imani ya dini ya kiislamu kupitia kipindi hicho. lakini wakati mwingine ushangazwa na mtangazaji wa kipindi kile alivyo mchochezi, kwakifupi hata yeye anafahamu kuwa ni mchochezi zidi ya ukristu, sikatai yeye kama kiongozi wa dini kuonyesha mapungufu ya ukristo na kutoa mwongozo na wito kwa mtu yoyote kujiunga na uislam, tatizo langu kwake ni kutoa kauli mbaya zisizo na msingi na ushawishi katika kuingia kwenye uislam!!!! redio imam ndio balaa sijui hata kama tcra ina monitor upumbafu hule!!!
 
Mkandara, et nikamateni na mimi. Umekosa hoja za msingi,mi ni muislam mwezio ila kwa hapa nakwambia jitokeze uone. Mnatuharibia dini yetu.
 
Nadhani hujanisoma vizuri...hilo la kuvamia kiwanja ni moja ila yapo makosa mengine ambayo hakupenda kuyaeleza(labda kwa sababu za kipolisi). Kinachonishangaza mimi ni kwamba kwanini waislam wanajiona wapo juu ya sheria sasa hivi? Kova amesema taratibu zote za sheria zitafuatwa na zitakapokamilika kama ni dhamana/kufikishwa mahakamani, taratibu hizo zitafuatwa.
By the way...unajua hata kukusanyika watu wengi mbele ya kituo cha polisi kama walivyofanya waislam leo ni kosa kisheria na wangeweza kukamatwa na kufunguliwa mashtaka?
Kwa hiyo unalojua ni moja tu hayo mengine huyajui.. semeni hivyo basi na tusubiri hadi tutakapo elewa sababu.. Hii habari ya kuyakuza mambo nakwamba anahusika na uchomaji moto makanisa, sijui redio Imani wakati hata wewe unaandika matusi kibao hapa JF kuhusu waislaam mbona hatujasema Ukamatwe au JF ifungiwe ni kukosa ufahamu na kujifungia ktk kabati la udini maana huoni unayoyafanya wewe wakati unakemea wenzako.

Binafsi yangu niko wazi kabisa. Napinga kina Jussa na Uamasho, ingekuwa amri yangu wameisha tiwa ndani siku nyingi pasipo dhamana. Nawapinga viongozi wa dini zote wanaoingilia siasa hata iwe kuandika waraka na kusema chaguo la Mungu, wengine kugombea Ubunge wakatunge sheria zetu. Nitapingana na Sheikh yeyote anayejaribu kushinikiza kuchoma, kuwatenga au kuua Wakristu kama yule wa Songea alosema waislaam wasikae nyumba moja na Wakristu..Napingana na jambo lolote linawadharirisha wananchi wa nchi hii kwa sababu ya jinsia zao, rangi zao ama dini zao. Hivyo mnaposema Waislaam hawana ELIMU hawakusoma lakini wanapolalamikia mfumo wa ELIMU mnasema hawaoniwi kitu hiyo MoU ipo kwa ajili ya watu wote..
 
watamwachia...

waislam wamestahamili sana dhulam hawamo serikalini . wafanyakazi zaidi ya 90% ni wakristro
jeshi 90% ni wakristo
polisi 90% ni wakristo
bunge 90% ni wakristo
necta yote
wakristo ambao kazi yao kubwa ni kuwafelisha watoto wa liislam
nchi kweli imeshaharibika

Sisi wengine kusema uongo au kuzusha mambo, haikubaliki kwenye dini zetu. Hivi wewe ni Ruksa tu kuzusha hizo percentage???? No wonder mengi yanazushwa kuhusu ubaya wa wakristo na ubaya wa Mwalimu Nyerere...
 
quote_icon.png
By Mkandara

Mkuu wangu sielewi kabisa ila navyosoma hapa JF inaonyesha kwamba kuna tuhuma ama ushahidi kuwa Sheikh Ponda anahusika na mauaji ya Mbagala. Lakini hizi tuhuma ni za hapa JF sielewi ukweli ni upi ktk kukamatwa kwake na kama amehusika kweli ipo kila sababu ya kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria lakini kinyume cha hapo kama ni sababu ya yale maandamano ya kupinga sensa, akasimama kuiomba serikali iwaachie huru waumini wa Kiislaam waliokamatwa - hapo sioni kama lilikuwa kosa la watu kushabikia kiasi hiki maana hata Dr.Slaa, Mbowe Lema, Tundu Lissu wote wameisha kamatwa kwa makosa ya kutetea wafuasi wa Chadema ambao walikisiwa kufanya vurugu.

Wananchi wana kila haki na Uhuru wa kutoa maoni yao (freedom of expression). Ikiwa leo seirkali inapingana na maoni ya wananchi kwa sababu ya dini yao basi hiyo katiba mpya sijui itakuwaje. Na kila siku mnabishana na kina Ritz na Zomba humu mnawaita wao ndio wajinga, washenzi na wapumbavu wa kuitetea serikali. Serikali imekuwa ikitafuta ushahidi wa kumkamata Sheikh Ponda kutokana na mgomo na maandamano ya waislaam yalofanyika kupinga sensa ile hata kufikia kuharibu sensa nzima ya watu nchini...

Ifike mahala wanaChadema myapime maswala kwa kutazama makalio yenu wenyewe. Mnaiona Haki viongozi wenu wanawatetea wanaChadema lakijni hamuioni haki pale kiongozi wa Kiislaam anapopingana na Uongozi wa CCM. Kama Sheikh Ponda amehusika na njama zozote dhidi ya Wakristu na sio mfumo unaowakandamiza Waislaam basi nifahamisheni ili nami nishiriki ktk harakati hizi za kuwachambua viongozi hawa wa dini wanaosababisha UDINI..All I know Sheikh Ponda huikaripia serikali ya CCM kwa kuwakandamiza Waislaam kwa lugha ambayo hutoa hatadhari ya kwamba itafikia wakati Waislaam na wakristu watakuwa maadui..
Shehe Ponda kawapongeza wale walioharibu makanisa na kuiba mali. Kawahimiza waislam wote tanzania nzima wafanye hivyo. Huu ni uvunjaji wa sheria mchana kweupe. Kiongozi wa kiislam anawahimiza waumini wake wafanye uhalifu. Sasa hebu niambie viongozi wa chadema wanapodai haki zao wanafanaje na Ponda mpaka na wenyewe tuwaweke kwenye kundi la mtu anayehamasisha uhalifu?
 
watamwachia
hana kosa ni yale yale ya Sheikh wetu Kassim bin Jumaa alikamatwa kwa shinikizo la kanisa
hatimaye mrema alimkamata na kumuua kwa sumu
waislam hawatakubali amani wao ndio waliitunza
wao ndio wamewwekwa nyuma katika kila sekta ya nchii hii
ni wao viongozi wao wanaposema na kuiomba serikali hata kwa jambo la msingi basi hawasikilizwi
ni wao viongozi wao wanapo takiwa police kutoa ushahidi huburuzwa kama majambazi ilhali mapadri polise huenda wao makanisani kuwahoji
madhali haki haipo, basi sasa ni wakati wake kuweka sawa mambo
waislam wamestahamili sana dhulam hawamo serikalini . wafanyakazi zaidi ya 90% ni wakristro
jeshi 90% ni wakristo
polisi 90% ni wakristo
bunge 90% ni wakristo
necta yote wakristo ambao kazi yao kubwa ni kuwafelisha watoto wa liislam
nchi kweli imeshaharibika
uonevu na dhulma ukivuka mpaka wananchi hawaogopi dola
lazima heshima ipatikane na Ponda watamtoa ama waislam watamtoa hii ni lazima
yaliyo tokea mbagala hayamhusu ponda
polisi wanafata maelekezo ya mapadri...na hawa mapadri kuwakumbusha tu ndio walio wachoma wahutu na watusi kule burundi na rwanda baaadae wakakimbia vatican na ulaya
kwa hiyo sio ponda wala waislam watakao haribu nchi hii
nchi hii tayari imeshaharibiwa na mapadri wanaondekeza uchoyo, dhulma na wizi kwani wao hawajali wana passport mbili..
wacheni kuchochea moto waislam hawana cha kupoteza

lord have mercy!!
 
Shehe Ponda kawapongeza wale walioharibu makanisa na kuiba mali. Kawahimiza waislam wote tanzania nzima wafanye hivyo. Huu ni uvunjaji wa sheria mchana kweupe. Kiongozi wa kiislam anawahimiza waumini wake wafanye uhalifu. Sasa hebu niambie viongozi wa chadema wanapodai haki zao wanafanaje na Ponda mpaka na wenyewe tuwaweke kwenye kundi la mtu anayehamasisha uhalifu?
Unaweza kutupa ushahidi wa madai haya? maana kama wewe umesikia lazima ipo copy ya hotuba hiyo na haiwezekani watu wote hapa JF wasiwe nayo. Please iwekeni hapa tumchambue huyu Sheikh Ponda. napenda sana kuwajua viongozi hawa wa dini hasa wanapozungumza maneno kama haya..

Samahani natoka kidogo lakini nitarudi kukusoma tafadhali niwekee ile kitu muhimu sana kwangu. Ni tag please.
 
na ni hao hao wakristu ambao wanawahudumia watu wote ( wakiwemo waislam) katika mashule na hospital zao bila ubaguz na ni hao hao ambao hawajaenda kuchoma misikit (km ilivyotokea mbagala na zanzibar) wala nyumba za ibada za watu wengne ambao hawafanan nao kiiman
 
Unaweza kutupa ushahidi wa madai haya? maana kama wewe umesikia lazima ipo copy ya hotuba hiyo na haiwezekani watu wote hapa JF wasiwe nayo. Please iwekeni hapa tumchambue huyu Sheikh Ponda. napenda sana kuwajua viongozi hawa wa dini hasa wanapozungumza maneno kama haya..

Samahani natoka kidogo lakini nitarudi kukusoma tafadhali niwekee ile kitu muhimu sana kwangu. Ni tag please.

Hivi Mkandara unataka uambiweje? Hivi humu JF hakuna hiyo thread inayohusiana na Shehe Ponda? Mbona watu huwa wanachangia wakati radio hiyo iko hewani. Kwa sababu watu hawajaweka sauti yake ndiyo huamini? Tafuta hiyo thread tena utakuta hata baadhi ya waislam wenzako wana support hiyo kauli ya Ponda.
 
Utacheka sana, lakini Mtatafuta pakwenda siku mtakayo ifungia Radio Imaan...na wewe ndo utakuwa mke wangu wa kwanza kabla sijaongeza wengine watatu.

Naona
wafuasi wa dini humu ni wengi kuliko wafuasi wa Mungu Mwenye enzi, ndio maana zinazotawala humu ni jazba na hisia badala ya mapenzi ya Mungu.
 
quote_icon.png
By Mkandara

Unaweza kutupa ushahidi wa madai haya? maana kama wewe umesikia lazima ipo copy ya hotuba hiyo na haiwezekani watu wote hapa JF wasiwe nayo. Please iwekeni hapa tumchambue huyu Sheikh Ponda. napenda sana kuwajua viongozi hawa wa dini hasa wanapozungumza maneno kama haya..

Samahani natoka kidogo lakini nitarudi kukusoma tafadhali niwekee ile kitu muhimu sana kwangu. Ni tag please.
Na mimi natoka...ila habari nzuri nilizozisikia kutoka kwa Kova ni kwamba: Operesheni kamatakamata wafuasi wa Ponda inaendelea...wanatakiwa wajisalimishe wenyewe...amesema kama Kiongozi wao Ponda amekamatwa , nao hawawezi kuachwa...amewasifu sana wakristu kwa uvumilivu wao maana na wenyewe wangekuwa wanalipuka na jazba hali ingekuwa tete. Naona mbagala ilikuwa ni wake-up call kwa jeshi la polisi.
 
eeeh mungu tuepushe ns hiki kikombe,watakao umia zaidi si hawa waliomo humu jf maana angalau wao watapata habari mapema na kukimbia vita,watakao umia ni mama zetu na watoto,kwanini mungu usituepushe na huu moshi unaofuka sasa?
 
Shekh ponda na wenzake wote wanastahili kukamatwa na kuchukuliwa hatua stahiki ili kudumisha amani na utulivu mana amekuwa akiendeleza uchochezi kwa muda mrefu sana, na hiyo ni hatari kwa mustakabali wa nchi.
 
Back
Top Bottom