Sheikh Ponda akamatwa Dar!

mganga wa kienyeji,

wewe jamaaa, umejifunzia wapi kutisha mtu? Unadhani nyie ndo wenye mikono tu? Unadhani wakristo hawapo wenye miguu? Unataka sema whole tanzania is for u guys? Mbona kwetu musoma idadi yenu hata haiwezi tambulika? Usitutishe maaana hatuogopi na usipo kaa sawa maafa yakitokea usijikute we wa kwanza kulala horizontal...maana we wont keep quite bt we gonna start resisting....ila kwa usalama wa taifa tume pozi tu...ila ponda lazima hatiwe hatiani...kwanza nani mkuu ponda ama simba? Mbona hana nidhamu huyu mtu? Halafu nackia sio mbongo? Ila kwakweli inabidi tupeleke vijana wetu katika elimu dunia ili wasitumiwe katika kuiangusha nchi yao kama wajinga..

kwanza kabisa napenda kukuhakishia, uislamu na waislamu hawana chuki na ukristo na wakristo. Wala hatufundishwi kufanya hivyo. Napenda nikuahidi, mimi nataka kuanza mafunzo maalum kusisitizia kutokua na uhasama na wasio kua waislamu.

Baadhi ya viongozi wa makanisa, huwafundisha kwa siri sana waumini wao kuuchukia uislamu. Ndio maana vijana wengi wa kikristo hua na chuki kisirisiri dhidi ya uislamu.

Hufundishwa kuutakana na kuukashifu uislamu wakati sisi tunafundishwa kuto kumtakana nabii issa (yesu kristo), wala vitabu vya mwenyezi mungu zaburi, taurati na injili.

Hua sisi tunasisitiza kuwaambia majirani zetu kua, yesu sio mungu, mungu sio watatu na wala yesu sio mwana wa mungu (ki-biolojia).

Hua tunalithibitisha hilo kwa maandiko yale yale yalioko ndani ya biblia.

Waislamu wote wanajua utukufu wa qur-an tukufu. Kwa hiyo yoyote atake ifanyia kitendo cha dharau, hata watoto wanaweza kumhukumu.
 
dini zenyewe mliletewa na wakoloni kwenye
Mitumbwi, leo hii hamna la maana mnalofanya
kutwa kuchwa ni kukashfiana na
kudharauliana...
Wenzenu waliowaletea wako makwaoo
wanafanya shughuli za maendeleo, nyie kila siku ni tafrani tu, uchumi wa nchi mbovu, maisha
yanazidi kuwa magumu kila kukicha aaaggh.... mbaaaav
 
Sio lengo letu kuwatisha. Bali tunapenda kuwaarifu, dhulma dhidi ya waislamu sasa basi. Hilo tu. Kama mtapigana na sisi kutetea dhulma dhidi yetu. So be it.

Ingawa napenda kukuarifu, uislamu na waislamu hauna ugomvi na wakirsto. Sisi tunapambana na wale wanao ubugudhi na kuushambulia uislamu na waislamu. Bila kujali dini yake hata akijiita muislamu kama mufti wa bakwata sheikh shaabani simba. Lazima angoke, atake asitake.

Yule sio mkristo. Ni muislamu mnafiki. Huyu ni adui mkubwa kuliko adui mwengine yoyote.
sasa kaka mie najiuliza mbona watu wanachoma makanisa? kwani polisi imejaa wakristo? ama anaetoa tamko la kumkamata sheikh ponda ni mkristo? ama kova ni dini nyingine? iweje makanisa yanachomwa?? kwani mmemsikia mkristo yeyote akitoa tamko dhidi ya waislamu ndani ya week mbili, achana na yule mtoto mjinga asiejua alitendalo....mie nadhani mnavyo deliver hisia zenu sio sahihi? amri ya kumkamata sheik ponda haijatolewa makanisani bali serikalini na makao makuu ya polisi, hivyo acheni kuchoma makanisa...si vizuri kuingia katika vita zaa kidini tutauana bure akati ni ndugu hapa....
 
kova kama unavuta tumbaku kuna heka 3 shamban kwang.bado hii radio imman hawana jipya uchochez tu jamaan mbona mtume kafanya meng ayasimuliw kama ujasiliamal na menngine meng mema
 
sasa kaka mie najiuliza mbona watu wanachoma makanisa? kwani polisi imejaa wakristo? ama anaetoa tamko la kumkamata sheikh ponda ni mkristo? ama kova ni dini nyingine? iweje makanisa yanachomwa?? kwani mmemsikia mkristo yeyote akitoa tamko dhidi ya waislamu ndani ya week mbili, achana na yule mtoto mjinga asiejua alitendalo....mie nadhani mnavyo deliver hisia zenu sio sahihi? amri ya kumkamata sheik ponda haijatolewa makanisani bali serikalini na makao makuu ya polisi, hivyo acheni kuchoma makanisa...si vizuri kuingia katika vita zaa kidini tutauana bure akati ni ndugu hapa....

Unapenda kuundeleza kuongea.
 
kwanza kabisa napenda kukuhakishia, uislamu na waislamu hawana chuki na ukristo na wakristo. Wala hatufundishwi kufanya hivyo. Napenda nikuahidi, mimi nataka kuanza mafunzo maalum kusisitizia kutokua na uhasama na wasio kua waislamu.

Baadhi ya viongozi wa makanisa, huwafundisha kwa siri sana waumini wao kuuchukia uislamu. Ndio maana vijana wengi wa kikristo hua na chuki kisirisiri dhidi ya uislamu.

Hufundishwa kuutakana na kuukashifu uislamu wakati sisi tunafundishwa kuto kumtakana nabii issa (yesu kristo), wala vitabu vya mwenyezi mungu zaburi, taurati na injili.

Hua sisi tunasisitiza kuwaambia majirani zetu kua, yesu sio mungu, mungu sio watatu na wala yesu sio mwana wa mungu (ki-biolojia).

Hua tunalithibitisha hilo kwa maandiko yale yale yalioko ndani ya biblia.

Waislamu wote wanajua utukufu wa qur-an tukufu. Kwa hiyo yoyote atake ifanyia kitendo cha dharau, hata watoto wanaweza kumhukumu.
suala sio kuchukia au kupenda kundi fulani.suala la kupenda au kutopenda kitu ni la kisaikologia na silahiari (non-voluntary action).suala hapa ni kundi moja kuwafanyia uharibifu kundi jengine.
 
sasa kaka mie najiuliza mbona watu wanachoma makanisa? kwani polisi imejaa wakristo? ama anaetoa tamko la kumkamata sheikh ponda ni mkristo? ama kova ni dini nyingine? iweje makanisa yanachomwa?? kwani mmemsikia mkristo yeyote akitoa tamko dhidi ya waislamu ndani ya week mbili, achana na yule mtoto mjinga asiejua alitendalo....mie nadhani mnavyo deliver hisia zenu sio sahihi? amri ya kumkamata sheik ponda haijatolewa makanisani bali serikalini na makao makuu ya polisi, hivyo acheni kuchoma makanisa...si vizuri kuingia katika vita zaa kidini tutauana bure akati ni ndugu hapa....
swadakta! umenena vyema mkuu.yaani umetema madini hapa.ningeweza ningekupa certificate of competence
 
Yule 'Mwanaharakati' maarufu wa dini ya kiislamu Sheikh Ponda Issa Ponda amekamatwa na polisi usiku huu akiwa katika msikiti wa Temeke Tungi

UPDATES:

- Ponda alikamatwa mida ya saa 5 usiku muda ambao unahisiwa kuwa sawa na ambao mwenzake Sheikh Farid wa Uamsho (Zanzibar) anadaiwa kupotea; unaweza kufuatilia - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wa-uamsho-atekwa-nyara-visiwani-zanzibar.html
- Wafuasi wa Ponda wameanza purukushani, unaweza kusoma - https://www.jamiiforums.com/habari-...si-wa-sheikh-ponda-waanzisha-purukushani.html

KAULI YA KAMANDA KOVA:
Duh...!. Nilisoma bila kusoma tarehe... kumbe...
P
 
Back
Top Bottom