Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.
SI bure utakua MKATOLIKI MAANA WAKATOLIKI WANA HISTORIA YA KUTAKA KUUMALIZA UISLAMU DUNIANI
MAUAJI YA HISPANIA