Sheikh Ponda aachiwa huru

Sheikh Ponda aachiwa huru

Takbiirrr, Takbirrrr, Takbirrrr ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR,, leo ni furaha sawana kwa waislam wote na wapenda haki, Hongera mahakama kwa kutoa haki
 
Magufuli kamuokoa... ila huyu jamaa asipo jiunga ISIS au Al-Shabab, mtaona...!!

Ampigie magoti Magufuli...!!
Usiwe punguani wewe nyie ndiyo mlikuwa mnajifanya wafuasi wa Lowassa mnaomba kura kwa Waislam leo hii mnaleta kashfa dhidi ya kiongozi wa Waislam.
 
Usiwe punguani wewe nyie ndiyo mlikuwa mnajifanya wafuasi wa Lowassa mnaomba kura kwa Waislam leo hii mnaleta kashfa dhidi ya kiongozi wa Waislam.

kumbuka JK mwislam mwenzie ndo alimweka ndani na mateso yote hayo
 
Usiwe punguani wewe nyie ndiyo mlikuwa mnajifanya wafuasi wa Lowassa mnaomba kura kwa Waislam leo hii mnaleta kashfa dhidi ya kiongozi wa Waislam.

Lowassa na Uislamu vimeingiaje humu ?! Tumjadili Sheikh Ponda na shida zake!! Imani yake isiwe tishio kwa wananchi wengine
 
Usiwe punguani wewe nyie ndiyo mlikuwa mnajifanya wafuasi wa Lowassa mnaomba kura kwa Waislam leo hii mnaleta kashfa dhidi ya kiongozi wa Waislam.

Lowassa anakuwasha kalio?
tumjadili huyu mjahidin shekhe ponda
 
Magufuli kamuokoa... ila huyu jamaa asipo jiunga ISIS au Al-Shabab, mtaona...!!

Ampigie magoti Magufuli...!!

Aunty J waislamu hatupigi magoti.
Hio baishara ya kigalatia. Ndio maana magoti yenu magumu ka spare tyre ya bajaji.

Teh teh teh teh.
 
Binafsi ukinambia nikutajie wachochezi wanne bora toka tupate uhuru.. ni hawa
1.shekhe Hassan Kapungu(R.I.P)
2.shekhe Ponda Issa ponda
3.shekhe Farid wa uamsho zanziber
4.mohamed said
 
Binafsi ukinambia nikutajie wachochezi wanne bora toka tupate uhuru.. ni hawa
1.shekhe Hassan Kapungu(R.I.P)
2.shekhe Ponda Issa ponda
3.shekhe Farid wa uamsho zanziber
4.mohamed said

Ulitegemea Mgalatia km wewe atataja watu km Gwajima?
We kila muislamu wa kweli Lzm awe adui yako manake unatumia makalio kufikiri.

Ndio maana Paulo akakuulizeni :-
Enyi wagalatia msiokuwa na akili, ni nani aliyewaloga?
Galatia 1:3.

Na mimi najibu " wa hapa bongo aliyewaloga ni Nyerere na Gwajima".
Ahsanta
 
Back
Top Bottom