Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Ponda hawezi leta fujo chini ya Utawala wa Magufuli.
kale bata na familia yako, magufuli kakuona bado babu seya
Ponda hawezi leta fujo chini ya Utawala wa Magufuli.
Ameshaonywa kwa kukaa mahabusu harudii tena
Anahusika kwani Mh. JPM hapendi dhuluma na anapenda Haki tu. Ndiyo maana kaachiwa.
Huyu akileta chokochoko zake this time nikumpoteza..nchi uko serious mambo ya kufua dini baadae.
Anahusika kwani Mh. JPM hapendi dhuluma na anapenda Haki tu. Ndiyo maana kaachiwa.
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.
Nadhani humjui vizuri Sheikh Ponda, miaka vyote harakati zake nilikuwa dhidi ya bakwata.