nickvalerion2810
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 112
- 36
Mwenye haki akitawala..haki uanza kutendeka
Na mtu km wewe kuwepo uraiani ni kuzidisha maambukizo ya ukimwi na magonjwa ya Zinaa.
Viumbe wa aina yako inatakiwa wachomwe zile sindano za mbwa kichaa wasitembee tena.
Mtoto wa zinaa kuropoka ni jadi zenu.
Usiseme Ligi mgalatia. Sema Aache kupigania HAKI ZA WAISLAMU.
Nyambaff
Hapo umeona Ligi ipi wewe! Ya daraja la kwanza au?
Kweli hii kasi imeleta mabadiliko makubwa sana kwa watumishi wa umma, kila mmoja anajitahidi kufuata taratibu na kutenda haki katika eneo lake ili kujiepusha na balaa. Mambo mengi yalikua yanafanyika kwa kuwafurahisha wakubwa au kwa maslahi ya watu flani, hata msiba wa Mawazo polisi wangezuia na kusingetokea chochote.
Sasa hivi lika mtu anatathmini na kuthaminisha maamuzi yake kabla ya kufanya chochote isije ikamrudia.
ID yako na kichaa chako cha mbwa koko ndiyo humo humo. Fungus wameisha kula ubongo wako umebaki kuropoka tu son of a ....
Afadhali awe huru .
Atulie sasa na afuate sheria.
Siku nyingine ushahidi " utatosha"
Na mtu km wewe kuwepo uraiani ni kuzidisha maambukizo ya ukimwi na magonjwa ya Zinaa.
Viumbe wa aina yako inatakiwa wachomwe zile sindano za mbwa kichaa wasitembee tena.
Mtoto wa zinaa kuropoka ni jadi zenu.
We sio muislam ww,muislam gani unatukana ovyo! We KAFI.R tu.
Au ni mrundi mwenzio huyo jamaa? Tumewalea sana nchi hii.
Hivyo vitabia vya ki Khmer Rouge pelekeni huko kwenu. Shwain.
kwa maana yako ni kuwa yeye ndio alikuwa anawamwagia watu tindikali
Kumbe asie muislamu yyt ni MKAFIRI sio?
Ahsanta
Wagalatia watakusoma sasa hivi!
WE utakuwa na chuki na uislam ndio maana unatukana ovyo
ila nakubaliana na ww maana kuna kipind tindikali ilizagaa sana na watu hasa wakristo walikuwa wanamwagiwa sana lakn sasa hvi tangu huyu jamaa wamtupie mahabusu yalikoma kabisa
Hongera kwa Magufuli kumfungulia huyu mtu.
ShEikh Ponda alianza kuisumbua serikali toka enzi za Mwinyi, akaja Mkapa akaja Jk wote wamemshindwa, sasa ni zamu ya Ngosha, tuone kama ataweza.
Ile ya wale wazungu Zanzibar ilitokea baada ya yeye kwenda kule.
Hawezi kutulia kama ndoto zake ni kuona amani ya nchi yetu inavurugwa siku moja