Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
ALhamdullilah
usilolijuwa ni bora jikaushe tu
kiswahili tafadhali!ALhamdullilah
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.
![]()
Mahakama ya hakimu mkazi Morogoro imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aliyekuwa akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi baada ya mahakama kutoridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka na hivyo kuonekana hana hatia.
Chanzo: IPP Media (EATV)
Anahusika kwani Mh. JPM hapendi dhuluma na anapenda Haki tu. Ndiyo maana kaachiwa.
Kweli mtatiro hakukosea pale aliposema watanzania ni watu wa matukio!!! Sasa Magufuli kaingiaje hapa!!?? Kama anapenda haki basi nibora angeanza kuionyesha pale familia ya kiongozi wa chadema ndugu Alp Mawazo ilipozuiliwa kuaga maiti ya mpendwa wao na Polisi tena bila ya sababu za msingi, mbona hakuinua mdomo kuikemea Polisi!!!!!???
Kwa kuwa watanzania ni watu wa matukio basi kipindi hiki hata akitokezea mtu akasema anatibu ukimwi basi nilazima atasifiwa Magufuli!!! Tuacheni huo upumbavu, maana ni wazi Ponda alishitakiwa mahakamani na wala hakushitakiwa kwa Magufuli.
yaan ulitaka aache shuguli za kitaifa zenye faida kwa nchi hii na aanze kuhangaikia misiba?
Waache wafu wawazike waafu wenzao
Babu seya amsubiri yule mgombea mwingine.
Halafu magufuli anahusika nini na hukumu ya Leo?
Naamini anaweza kudai fidia sasa....Wamemnyanyasa sana mzee wawatu.....
Kwanza Lazima tena lazima alipwe FIDIA (haki yake) halafu mengine tuyazungmze hapa!! "ALIPWE FIDIA ya kumjeruhi kwa risasi na kifungo cha kubambikizwa kesi feki" wengi tuliamini hana hatia from day one...!!ShEikh Ponda alianza kuisumbua serikali toka enzi za Mwinyi, akaja Mkapa akaja Jk wote wamemshindwa, sasa ni zamu ya Ngosha, tuone kama ataweza.
Acha uongo!hukumu ilishaamdaliwa kabla ya kuapishwa magufuli,kilichokuwa kibasumbua ni hakimu alitoa udhuru tangia tar.19/10/2015,magufili hapa hausiki hata kidogo!
We ole wake acheze na dola ya JP maana haina masihara hatakidogo....najua na yeye analitambua hilo