Juzi mwaka gani? Utafiti uliufanyia wapi?
2010- PEW SURVEY
64.4 Christians with 51% being Catholics
35.2 Muslims
Juzi mwaka gani? Utafiti uliufanyia wapi?
Well and good. Sasa hao wanaosambaza chuki za kidini humu waje watuambie % ya wakiristu kwenye safu za uongozi. Kuanzia rais hadi balozi wa nyumba 10Zenji ni koloni la Tanganyika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] saizi pumzi imeanza kusumbua tenaKwa muda wa miaka kumi iliyopita tulikuwa tumepumua.
Roho mbaya ipi mkuu kama mtu akiiba akaitwa mwizi hiyo ni roho mbaya?au muislamu haibi?sasa kamati imeundwa na bunge kumchunguza nani syo dau?au nao wadini?acha udini mkuu,halafu bora uwe mdini lakini una roho ya kibinadamu,wewe inaonekana unachukia sana waislamu ,
lakini ujue hatuwezi wote tukawa walokole,japo wote ni binadamu,
hivi inakuwaje watafuna kiti moto mnakuwa na roho za korosho kiasi hicho?,
wewe unaona mgawanyo wa madaraka uko sawa kweli hii awamu,au unatetea kwa kuwa ni wa imani yako,unafaidika nini labda kwa mfano?
Yani kuna watu naishi nao ni wa lake zone aisee wanamwona mkulu kama mjomba wao,na kwamba wao ndo wana haki naye kuliko watu wa ukanda mwingine.Ilo liko wazi kuna ka harufu ka udini na ukabila serikalini....
Hata kama Mimi ni Catholic lakini naona kwa mbali ......
Usisahau na pale CRDB walivyojaa wana vigango na hasa kiukanda zaidi na mle Kigango cha Tanesco na ... na ...,
Kijana njoo taratibu utaumizwa na mengi, vyuo na shule zishafunguliwa.
Tena waliokuwa vimbelembele kwa matamko kila siku ilikuwa ni baraza la maaskofu Tanzania lakini leo hii wanajifanya wamesahau. Tangu magufuli aingie madarakani baraza la maaskofu halijawahi kutoa tamko lolote.
Mungu anawaona lakini.
MTOA MADA AKUMBUKE PIA MBONA NCHINI KUNA WAPAGANI/DINILESS MBONA HAJAWAORODHESHA HAPO? AU WAO HAWALALAMIKI?????Huyu shekhe anahitaji kupewa ushauri nasaha kwa upole. Lakini, niseme tu kwamba, manung'uniko yake ni kama ya kina Hellen Kijo Bisimba kuhusu ubaguzi wa kijinsia katika teuzi za JPM. Kina Hellen wanataka nafasi za uteuzi zigawiwe pasu kwa pasu kati ya wanawake na wanaume. Sasa shekhe anataka nafasi zigawiwe kwa kuzingatia uwiano fulani kati ya makundi mbalimbali ya kidini na kikanda. Naona auanongelea Ukristo dhidi ya Uislam, Umashariki dhidi ya Umagharibi. Amesahau kuongelea ujana dhidi ya uzee, Ukulima dhidi ya Ufanyabiashara, Usomi dhidi ya Kutosoma, na migawanyiko kama hiyo.
Yeye pamoja na kina Bisimba ni watu wa kuelimishwa hivi: Vyeo havigawiwi kwa kuangalia vigezo vinavyohusiana na migawanyiko ambayo haina tija katika ofisi. Kwa mfano, mwalimu wa hesanu anaweza kuwa mwanamke au mwanamume, mkristo au muislamu, mmashariki au mmagharibu, kijana au mzee. Lakini hawezi kuwa mkulima wala mfanya biashara kama ambavyo hawezi kuwa asiye na kisomo. Vigezo vya ujuzi, ustadi, uzoefu na utayari vinahusika. Hivi hoja hii ni ngumu?
Kuna performance indicators in good governance wanatuletea hawa development partners kama vile gender equity, denominational equity, geographical equity, inter generational equity, n.k. Haya mambo tuyakatae kwa hoja kwa kuwa hayana tija. Tukikubali kila kitu tutakuwa kama madodoki.
Acha kuchochea udini wewe .....facts zenyewe zina matege. Ona kwenye wakuu wa Wilaya, ameeleza 71% wakristo, 21% waislam, hiyo 8% inayobaki ni ya wapagani au Wahindu?Mbona kaongea kwa facts? Nafikiri anayepinga naye alete data hapa..
Wakristo na hizo elimu zao wameifanyia nini nchi hii zaidi ya kuitia umasikini tuHiyo si kweli kwamba kuna ubaguzi wa kikanda na kidini. Rais alipotangaza kuwa Mfalme wa Morroco amekubali kuwajengea waislamu Msikiti mkubwa sana Dar. Si waislamu walifurahi sana? Na wakristo walishangazwa sana na wakanyamza?
Na kama ingekuwa ni wakristo wanajengewa Kanisa KUBWA si kelele ingekuwa kibao?
Sasa basi ni lazima tujue TAKWIMU za DINI hizi mbili zilivyo nchini mwetu:
WAKRISTO ni 61.4%
WAISLAMU 35.2%
Kati ya hawa WAISLAMU 35.2% Wengi walienda Madrassa zaidi kuliko masomo ya elimu ya kawaida kabla ya serikali kuhimiza umuhimu wa elimu!
Wazazi wa watoto wa Kiislamu waliojua UMUHIMU wa ELIMU waliwapeleka watoto wao shule za dini ya Kikristo wakasomehuko nao hawakuwa wengi walikuwa ni WACHACHE.
Hivyo basi kati ya WAKRISTO 61.4% wengi waliosoma ni wale waliotoka mahali WAMISIONARY WALIKUBALIKA na kuanza kujenga shule.Hivyo wengi WAKABAHATIKA kusoma zaidi.
Na Sehemu zilizokuwa hazikufikiwa na wamisionari zilibaki nyuma kimasomo bila KUJALI DINI ama UKANDA. Hivyo wengi HAWAKUSOMA!
Hiyo ndio hali halisi iliyoleyeleza UWIANO kuwa hivyo MPAKA LEO!
SIDHANI kama rais Magufuli ANABAGUA.Ila anaangalia Qualifications na si UDINI! ama UKANDA.
Watanzania wote wanapewa haki sawa.
Kusema kanda ya ziwa inapendelewa si kweli Ukanda wa KUSINI una MAWAZIRI wengi zaidi. Hii ikiwa ni pamoja na WAZIRI wetu MKUU Kassimu Majaliwa ambaye ni MWISLAMU na mke wake Mary ambaye ni Mkristo.
Hizi kelele za Sheikh Khalifa HAZINA msingi wowote!
Vipi kuhusu ukabila na ukandaSwala siyo Udini, Swala ni shule. Fanya sampling ndogo tu Angalia sasa hivi hata kwenye majina ya wahitimu wa shule za msingi na sekondari. Chunguza hayo majina mengi ni ya Dini gani? Halafu rudi kwenye takwimu, wakristo na waislam wapi ni wengi? Watu wamekaa kuchunguza udini Bila hoja za Msingi.
Yale yale mawazo ya hovyo ambayo ili mtu awe nayo kichwani ni lazima awe na kiwango kilichotokuka cha uhovyo hovyo!! Halafu sijui mmekakarishwa makanisani... manake wooooooooote mmekuwa kama kasuku; "madrasa... Quran!" Halafu bado mnajigamba usomi huku mkiongea mambo bila fact!!Hiv ww unadhan mtoto kakua anajua mambo ya madrasa na quran atakuw na uwezo gn wa kufanya vyema drsan ilihali wazaz wak wamemwekea kaswida na quran ndo kipaumbele chake? Waislam wako nyuma kielim kubali ukatae jibu ni hlo,kikwete arijaribu kuwabebabeba lakin hawabebeki wanapwaya coz hamn kitu kichwan zero,fanya reseach kwanza ndo utokwe na hiyo mipovu yko mkuu
Una ulivyo kil'aza... nini kimekufanya uamini kwamba yeye ni Mwislamu?! Unverified user ID sio?!Ww muislam wmenye kujitambua na unatambua dunia unavyoenda,bora ulivowachana live
Azarel,Mohammed Said, naomba kukujuza tu kuwa nimeshasoma vitabu vyako kadhaa tokea january ya mwaka 2014 nilipokuomba unielekeze ntavipata wapi.
Umejitahidi sana kuelezea matukio hasa yaliyotokea miaka michache kabla ya uhuru, wakati wa uhuru na baada ya hapo.
Pia nakiri kuwa upo exposed kwa sehemu kubwa na dunia hii.
Pia uliwataja wahusika walioisaidia Tanganyika kupata uhuru wake na wale wa kipindi cha muungano ambao majority of us tusingewafahamu.
LAKINI pia kuna namna flani umeonesha kuwa Waislam waliplay role kubwa sana kuliko wakristo halafu hawakuthaminiwa.
Umeonesha kuwa Nyerere hakuwathamini waislam pindi tu baada ya uhuru.
SASA, Kila nikijaribu kujiuliza kuwa J.K Nyerere alipaswa kufanya nini kwa waislam kwa wakati ule nashindwa kujua.
SWALI: Hebu naomba leo katika uzi huu uweke wazi kuwa Je Nyerere alipaswa kufanya nini kwa waasisi wa TANU na viongozi wa Waislam wa kipindi kile?
Karibu Mzee.
Sawa Mzee,Azarel,
Swali hilo uliloniuliza kila ninapofanyiwa mahojiano huwa linalijitokeza.
Mimi huwa nalijibu kwa kusema kuwa swali hilo usiniulize mimi swali
hilo wakaulizwe walio na dhamana ya historia ya chama cha TANU
ambacho kikaja kuwa CCM.
Huwa nawaambia waulizaji wangu kuwa kama mlivyonikaribisha mimi
hapa hebu wakaribisheni CCM muwaulize mbona hamuadhimishi historia
ya mashujaa wenu waliopigania uhuru wa Tanganyika pamoja na Mwalimu
Nyerere.
Imekuwaje hapo CCM Lumumba hatuoni hata picha ya walioijenga ofisi ya
African Association katika ya 1929 - 1933 ofisi ambayo TANU ilizaliwa 1954?
Mbona hatuoni picha ya Abdul Sykes, Ally Sykes, Mshume Kiyate, Sheikh
Suleiman Takadir, Hamza Mwapachu, John Rupia kuwataja wachache.
Huwa nawaambia jibu la CCM huenda likatoa picha ya tatizo hili.
Azarel,
Ikiwa kama usemavyo kuwa umenisoma basi utakuwa unajua nini kilitokea baada
ya uhuru kupatikana.
Ndiyo sababu leo tuko hapa tunaandika historia ya uhuru baada ya nusu karne ya
uhuru na baadhi ya watu wanakasirishwa na historia ya kweli sababu tu kwa nini
imekuja kueleza mchango wa wazalendo waliofutwa.
![]()
Azarel,Sawa Mzee,
Na ni kwanini hasa hawataki kufanya kumbukumbu ya fighters hao?
Mfano ningekuwepo Dsm kweli ningefanya utafiti hata kufika Lumumba.
Ila wewe unafikiri sababu ni nini hasa?
Nimekuwa interested zaidi kujua kwani baada ya kukusoma nilitamani sana hata kuonana nawewe live.Azarel,
Hofu ya kuwatukuza Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.