acha udini mkuu,halafu bora uwe mdini lakini una roho ya kibinadamu,wewe inaonekana unachukia sana waislamu ,Dau pekee ndo mwenye akili ktk waislamu wote Tanzania,maana aliweza kuiba na kujenga taswira ya lidini Nssf,big up dau
Facts zipi unaongelea? Kwani kigezo cha uteuzi ni dini ya mtu? Tafuteni elimu kabla ya kuanza kupayuka ovyo ovyo.Mbona kaongea kwa facts? Nafikiri anayepinga naye alete data hapa..
ni kweli rais hateui kwa kuzingatia dini kama vile taasisi za kiislam zisivyo sisitiza elimu ya madrasa na lugha ya kiarabu bali husisitiza elimu yote kwa ujumla na masomo ya maarifa ya uislam kama lilivyo somo la bible knowledge au divinity pamoja la lugha ya kiarabu kama yalivyo masomo ya lugha za kiingereza kifaransa nk. Madrasa ni kujifunza quran na mafundisho mengine ya dini baada ya kutoka shuleni kama yalivyo mafundisho kwa wakristo.Sidhani kama Rais huteua watu kwa kuhoji dini zao. Pia kuna ukweli kuwa taasisi za elimu za Kikristo zimekuwa zikijitahidi sana kuendeleza watoto kielimu tofauti na taasisi nyingi za Kiislamu ambazo zimekuwa zikihimiza zaidi elimu ya Madrassa na lugha ya Kiarabu.
Mnasoma elimu ya kueneza dini tu, kama kuweka posti hii ya kidini na kuitetea mwenyewe kwa ID 7 tofauti, ili uonekane una watu wanaokusapotiKujifanya nchi hii haina udini ni unafiki. Tulipofikia kiongozi lazima abalance ktk teuzi zake la sivyo abebe lawama za upande mmoja lkn kutetea kwamba anachagua wachapakazi tu bila kuangalia dini sio kweli. Tunaishi na watu, wengine tumesoma nao na kufanya kazi nao uwezo wao ni mdogo ingawa ni wakristo. Hivyo sio kweli kwamba waislamu ni wachache wachapakazi na wasomi.
Inatakiwa Masharti ya kuwa kiongozi kuanzia sasa, wakati unaapa ule kitimotoacha udini mkuu,halafu bora uwe mdini lakini una roho ya kibinadamu,wewe inaonekana unachukia sana waislamu ,
lakini ujue hatuwezi wote tukawa walokole,japo wote ni binadamu,
hivi inakuwaje watafuna kiti moto mnakuwa na roho za korosho kiasi hicho?,
wewe unaona mgawanyo wa madaraka uko sawa kweli hii awamu,au unatetea kwa kuwa ni wa imani yako,unafaidika nini labda kwa mfano?
Nashindwa nikupongezaje kwa fact ulizoshusha apa, mwenye macho na uelewa kamili ataelewa. [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Huyu shekhe anahitaji kupewa ushauri nasaha kwa upole. Lakini, niseme tu kwamba, manung'uniko yake ni kama ya kina Hellen Kijo Bisimba kuhusu ubaguzi wa kijinsia katika teuzi za JPM. Kina Hellen wanataka nafasi za uteuzi zigawiwe pasu kwa pasu kati ya wanawake na wanaume. Sasa shekhe anataka nafasi zigawiwe kwa kuzingatia uwiano fulani kati ya makundi mbalimbali ya kidini na kikanda. Naona auanongelea Ukristo dhidi ya Uislam, Umashariki dhidi ya Umagharibi. Amesahau kuongelea ujana dhidi ya uzee, Ukulima dhidi ya Ufanyabiashara, Usomi dhidi ya Kutosoma, na migawanyiko kama hiyo.
Yeye pamoja na kina Bisimba ni watu wa kuelimishwa hivi: Vyeo havigawiwi kwa kuangalia vigezo vinavyohusiana na migawanyiko ambayo haina tija katika ofisi. Kwa mfano, mwalimu wa hesanu anaweza kuwa mwanamke au mwanamume, mkristo au muislamu, mmashariki au mmagharibu, kijana au mzee. Lakini hawezi kuwa mkulima wala mfanya biashara kama ambavyo hawezi kuwa asiye na kisomo. Vigezo vya ujuzi, ustadi, uzoefu na utayari vinahusika. Hivi hoja hii ni ngumu?
Kuna performance indicators in good governance wanatuletea hawa development partners kama vile gender equity, denominational equity, geographical equity, inter generational equity, n.k. Haya mambo tuyakatae kwa hoja kwa kuwa hayana tija. Tukikubali kila kitu tutakuwa kama madodoki.
ile hela inaenda kujenga miundo mbinu,sio dhulma ileKwa hili sawa tu.asiwaingize waislam wenzetu.kwenye utawala wa dhuluma.tena ikiwezekana awafute kazi na hao waislam wore.
Watulie dawa iingie, waache kulia lia.
Huyu wa sasa hivi keshasema hajaribiwi......[/QUOTAu ndo mkubwa hakosei?
Binadamu haturidhiki.. Tunajengewa ofisi Dar na Dodoma tumeahidiwa nyumba ya ibada.. Hilo jingine sisemi.