Share experiences kama umeshawahi kuuza au kununua Papuchi

Share experiences kama umeshawahi kuuza au kununua Papuchi

Juzi nilipoenda iringa nikaenda pale club miami nikajivutia mtoto mmoja amazing alinipa mambo adimu hadi nashindwa kumsahau... For the first time nilikula tigo 🙄
[emoji134] [emoji134]
 
Kwa mujibu wa watumiaji wengi wa MMU, biashara ya ngono, milango ya uani, na kutembea nje ya ndoa ni mambo ya kawaida tu.

Halafu tunajiuliza nani ametuloga vijirani vinachana mawimbi na Airbus a-300, sisi ndio tunajiuliza na Bombardier.
Mkuu kwahiyo hizi 3000-5000 zinazonunulia Maku ndio zimetukosesha hizo Airbus a-300? Hahahaa wachaga masihara Man.
 
yeeeec ukikojoa tu unasepa zako na hakuna kuvua nguo zote unafungua zipu tu ha ha ha
Mmh! Embrance, lipkiss na maneno matamtam na kuapiana kuhakikishiana pendo, hakuruhusiwi? Hata pole kwa kazi ngumu nayo ni marufuku?
Mbona imekaa kiubakajibakaji! Kwa nini usiuziwe na vikorombweso vyote, anavyotakiwa kufanyiwa mtu anapoanza na akishamaliza "kuua"? Yaani umalize,utimuliwe! C unaweza kutoka unapepesuka ad'watu wanaokuangalia wakahisi jambo baya limekupata?
Ninashauri, wauzaji wauze papuchi na mapenzi. Papuchi kavukavu siyo mapenzi, bali ni ubakaji.
 
kuna kiwanja nilikwendaga aisee nikakuta hadi wachina,wazungu wanajiuza show time 200,000 halafu hapo hapo kuna wanaume wanajiuza wamama wanakuja kununua wanaume wa kulala nao daaah nilichoka hata beer sikumaliza kunywa
WAP hiyo
 
Hata ndoa nyingi zilianza kwa kuuza na kununua alafu mnunuzi na mteja wanaridhiana kuingia kwenye ndoa ila biashara inaweza kua sio wazi.
Siyo ndoa nyingi, ni ndoa chache sana zinazoanza kwa mtindo huo. Na mwisho wa ndoa za namna hiyo ni mbaya.
 
Mmh! Embrance, lipkiss na maneno matamtam na kuapiana kuhakikishiana pendo, hakuruhusiwi? Hata pole kwa kazi ngumu nayo ni marufuku?
Mbona imekaa kiubakajibakaji! Kwa nini usiuziwe na vikorombweso vyote, anavyotakiwa kufanyiwa mtu anapoanza na akishamaliza "kuua"? Yaani umalize,utimuliwe! C unaweza kutoka unapepesuka ad'watu wanaokuangalia wakahisi jambo baya limekupata?
Ninashauri, wauzaji wauze papuchi na mapenzi. Papuchi kavukavu siyo mapenzi, bali ni ubakaji.
Hayo unapata kwa mpenz/mke wako kwa hao wajasiria Mali ni kazi tu
 
hao ni wahaya wanajiuza kwa 3000 tu kwa goli moja tu then unasepa,halafu unambie ulienda kufanya nn huko?
hahahahahahahaha tuliaribikiwa gari karibu na maeneo hayo, mazingira sikuyaelewa nilivyouliza kwa watu ndio wakanipa mkanda mzima
 
2003 kule nyuma ya Rozana, Buguruni ilikuwa 500 "Jero" Nga Nga Ngaaa moko.....
[emoji86][emoji86][emoji86]
 
Hahahhaha iyo style inapatkana temekw hapo sudani ,,kuna kau chochoro flani hv amaizing ukikapita ndo unakutana na rooom kibao znatizmana milango alafu katkat kuna njia alafu kila mmoja amekaa mlangon anasubir mteja,,ni masaa 24,,,
basi ziko nyingi,mimi sikuona maeneo hayo,inabidi Magu afanye dhihara za kushtukiza
 
Back
Top Bottom