McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,562
Siyo ndoa nyingi, ni ndoa chache sana zinazoanza kwa mtindo huo. Na mwisho wa ndoa za namna hiyo ni mbaya.
Kama umeoa jiulize ulianzaje?naposema ni biashara ya kimya na maana ulikua unakomaa kutoa huduma ili upewe mzigo na binti alikua anaotoa mzigo ili ateleze kwenye mahitaji simply hapo ni biashara ila baadae ndio unaanza kubeba kama jukumu na yeye anakupa kama haki kinachofuata ni ndoa unless uniambie wewe ni wale wenzetu ambao mliooteshwa na malaika mchumbiane.