King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,854
- 5,414
Ahahahaa....kabla sijaoa lazima nitafute wakili,na mkataba juu kuwa kwamba ntaongeza mwengine uko mbeleniWanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!