Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

Wanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
Oyaaa
 
Si bora hata shakira ana hela, sisi sasa....
Ooh baba sema na sisi
Siamini kama Shakira ana hela
FB_IMG_1694666671292.jpg
 
Wanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
Oya Kibada ile ya Kigamboni?? 😂😂
 
Wanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
😅😅😂😂 mkuu unataka tujue mpenzi wako wa kike ana gari...

Do not panic..

😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
 
Wanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
Mimi alikuta vipande vya nywele za wigi kwenye dust bin kesi ika anzia hapo
 
Shakira bado anampenda jamaa ila ndio hivyo, kilichonisikitisha ni hilo la Pique kutotaka kuwaona watoto wake, inahitaji roho ya kikatili sana kufanya hivi, kama una mtoto mtoto/ watoto utanielewa.
Husi finalize brother unaweza ukakuta Pique ana mengi kifuani na unaweza ukakuta hata nafasi ya kuwasiliana na watoto hawapewi, husiamini sana machozi ya wanawake mbele public,siku zote wanapenda kuonewa huruma.

Kuna nyimbo aliitoa miezi michache iliyopita ya kumponda Pique, ila Pique hakujibu na sometimes namuona jamas ni smart sana kukaa kimya, siku akisimulia unaweza ukasema alivumilia vp kuishi na Shakira.
 
Back
Top Bottom