Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,475
- 608
Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?
Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu. Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya...
www.jamiiforums.com