Shaka: Rais Samia ametoa fursa za mikopo kwa Vijana, wanawake na walemavu wote hata kwa wale wa kambi za Upinzani

Mwanahabari wa Taifa

JF-Expert Member
May 27, 2020
1,450
799

Katibu wa Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka akiwa katika mwendelezo wa ziara zake kanda ya Magharibi amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari akisema " Chama cha Mapinduzi hakitatazama Itikadi katika kuwanufaisha vijana, wanawake na wenye ulemavu kutoka katika fursa mbalimbali zikiwemo mikopo.

IMG-20220819-WA0088.jpg


Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinafuatilia kwa karibu utekelezaji wa mikakati ya kuwakwamua vijana dhidi ya umasikini, huku kikiwataka watumishi wa umma kutafsiri kwa vitendo juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuwatengenezea vijana fursa za kujikwamua kiuchumi na kijamii.

IMG-20220819-WA0041.jpg


Hayo yamesemwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, alipokuwa akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Ifuta, Kata ya Ukondamoyo wilayani Urambo alipokagua ujenzi wa kituo cha Afya Ifuta.

IMG-20220819-WA0089.jpg


Rais ameonyesha njia, njia ya kwanza ni kushusha fedha nyingi katika Halmashauri zetu za Wilaya kwa ajili ya kujenga au kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo. Tuliahidi ajira milioni nane katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa vijana na wanawake mpaka ifikapo mwaka 2025.

"Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni kutumia fedha za ndani kutengeneza fursa za ajira ili wananchi wajikwamue kiuchumi. Ni jukumu la watendaji wa serikali kutafsi kwa vitendo ili lengo hilo litimie na wananchi hususan vijana, wanawake na walemavu wakwamuliwe kiuchumi.

IMG-20220817-WA0005.jpg


Shaka amesema CCM itaendelea kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa mkakati wa serikali ili ahadi ya Chama kupitia Ilani ya Uchaguzi itekelezwe na kufikia malengo.

Aidha, amesema katika kuwakwamua vijana CCM haitatazama Itikadi yoyote bali inataka kuona fursa zinapatikana na wote wananufaika.

=== ===
 

Katibu wa Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka akiwa katika mwendelezo wa ziara zake kanda ya Magharibi amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari akisema " Chama cha Mapinduzi hakitatazama Itikadi katika kuwanufaisha vijana, wanawake na wenye ulemavu kutoka katika fursa mbalimbali zikiwemo mikopo.

View attachment 2327870

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinafuatilia kwa karibu utekelezaji wa mikakati ya kuwakwamua vijana dhidi ya umasikini, huku kikiwataka watumishi wa umma kutafsiri kwa vitendo juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuwatengenezea vijana fursa za kujikwamua kiuchumi na kijamii.

View attachment 2327874

Hayo yamesemwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, alipokuwa akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Ifuta, Kata ya Ukondamoyo wilayani Urambo alipokagua ujenzi wa kituo cha Afya Ifuta.

View attachment 2327878

Rais ameonyesha njia, njia ya kwanza ni kushusha fedha nyingi katika Halmashauri zetu za Wilaya kwa ajili ya kujenga au kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo. Tuliahidi ajira milioni nane katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa vijana na wanawake mpaka ifikapo mwaka 2025.

"Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni kutumia fedha za ndani kutengeneza fursa za ajira ili wananchi wajikwamue kiuchumi. Ni jukumu la watendaji wa serikali kutafsi kwa vitendo ili lengo hilo litimie na wananchi hususan vijana, wanawake na walemavu wakwamuliwe kiuchumi.

View attachment 2327876

Shaka amesema CCM itaendelea kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa mkakati wa serikali ili ahadi ya Chama kupitia Ilani ya Uchaguzi itekelezwe na kufikia malengo.

Aidha, amesema katika kuwakwamua vijana CCM haitatazama Itikadi yoyote bali inataka kuona fursa zinapatikana na wote wananufaika.

=== ===
Chadema fursa hiyo kachukueni hela achaneni na ukamanda uchwara mjenge familia
 
Back
Top Bottom