muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 697
- 983
Mi nawashangaa wanaokula njiani aiseMuda mwingine naona ni kheri utoke na chakula nyumbani. Mimi huwa nakula biscuits, korosho na soda/juice tu.
Mi nawashangaa wanaokula njiani aiseMuda mwingine naona ni kheri utoke na chakula nyumbani. Mimi huwa nakula biscuits, korosho na soda/juice tu.
Good idea...Muda mwingine naona ni kheri utoke na chakula nyumbani. Mimi huwa nakula biscuits, korosho na soda/juice tu.
Pale ni pahovyo sana, wali wa 2000 pale wanauza 7,000 mpaka 8,000 na wale kuku wao warefu kama twiga.kuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.
Dodoma - Dar unakula chakula? Kilometres 450!!Dom-Dar mkuu
Nakazia.. nimeshakula pale last year niliumwa tumbo ambalo sijawahi kuumwa hata lile la uchungu wa leba sio vile mweeeh... dereva na konda wake wakataka kunishushia chalinze ili niangalie hali yangu kwa kwenda hopitali nikawaambia nitajikaza tu ila mambo yalizidi kuwa Mabaya zaidi badala ya kufika na Gari Shekilango nilimtafuta rafiki yangu pale kiluvya nikaenda kwake ili wanipeleke hospitali...chaaah kale kamgahawa pale nakaheshimu sana Kampuni kubwa inakula sehemu ya ajabu mnoo bora hata wapeleke abiria pale Cate htlkuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.
Dodoma umeondoka saa sita, muda wa chakula cha mchana unafika upo morogoro, mbona rahisi tu? halafu, kama wewe huli, usifikiri na wenzako hawali, maisha yako sio ya wengine, unaposafiri sio kwamba unatakiwa ujiteseee, usileeee ili uonekane umesafiri, unaweza kuinjoy mambo mbalimbali kama vile misosi misafi pia. nyie watu mmekuja mjini juzi ninyi mnasumbua sana.Dodoma - Dar unakula chakula? Kilometres 450!!
Huko ni kuendekeza ulaji tu, ndiyo maana Shabiby anawapeleka anapotaka
Huyo mbona kama komando wa polisi mkuu ni makomando gani wa jwtz wanavaa combat za aina hiyoAvata ya Komando wa JWTZ hiyo, huangaliagi hata maonyesho ya siku ya uhuru?
Sawaya huyu huyu wa KLM mambo anayotufanyia🙌Hawezi kusimama kwa mshindani wake wa Biashara.
Ila waluguru na Wagogo sasa muiteni Mzee Mremi au Sawaya wa Kilimanjaro truck hiyo barabara atawawekea hoteli na mabasi ya kistaarabu.
Walishawahi nidhulumu buku 5 yangu pale kwa kuniuzia wali na maharage yaliyochacha, nilipowarudishia wakakataa kurudisha hela na hapo dereva anapiga piga resi basi liondoke.. nikalazimika kuondoka huku sina msosi na buku 5 yangu kaing'ang'ania yule demu nusu mwarabu.. nilitamani sana ningekua na private car ile day, wali ningeuweka kwenye maharagekuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.
Dooh mkuu mbona unapotosha sana, Mo Dewji kaachiwa utajiri na Baba yake ambaye ni Ghulam Dewji, huyo Azim wana undugu wa karibu tuNafikir ni wakati muafaka wakae pembeni na kuachia watoto waendeshe biashara kama mabvyo Azim Dewji kamuachia Mohamed Dewji
Kilimanjaro ana gonga nyundo hana bus ya maanHawezi kusimama kwa mshindani wake wa Biashara.
Ila waluguru na Wagogo sasa muiteni Mzee Mremi au Sawaya wa Kilimanjaro truck hiyo barabara atawawekea hoteli na mabasi ya kistaarabu.
Duuh kwahiyo tangu mwaka huo hujawahi kusafiri hata na ndege au kwa safari za anga unatumia private jet mkuuOf Course , way back 2009 ndio mara ya mwisho kupanda public transport.
public hapana.sasa nafanya kazi ili nini kama situmii fedha zinizoee?Duuh kwahiyo tangu mwaka huo hujawahi kusafiri hata na ndege au kwa safari za anga unatumia private jet mkuu
Na kipindi cha Krismasa akagawia wafanyakazi wa MNH sukari na Ngano.janabi si alidakwa anapiga chapati mbili na soda yule, huyo ni kichekesho kama walivyo kina chalamila n.k, akisema kitu jua ni liTiss fulani limetumwa kuvuruga akili za watu mpoteze muda kumjadili wakati maccm wanafyonza pesa zenu.
Km450 bus linatumia muda gani? Labda mtu kaamka saa 10 asubuhi ili awahi bus la saa 12 na hajanywa chai. Dar-Moro tu bus litachukua masaa 5-6, mpaka ufike Dom si chini ya masaa 9. Muhimu tu wawe makini na aina ya chakula.Dodoma - Dar unakula chakula? Kilometres 450!!
Huko ni kuendekeza ulaji tu, ndiyo maana Shabiby anawapeleka anapotaka
Unatumia private jet? Safari za ardhini unatumia free ride imeandikwa Jpublic hapana.sasa nafanya kazi ili nini kama situmii fedha zinizoee?
Hana hela ya kutumia private jet muda wote. Hajui kuwa hata atcl,emirates na wenzie ni public transport.Duuh kwahiyo tangu mwaka huo hujawahi kusafiri hata na ndege au kwa safari za anga unatumia private jet mkuu