Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,301
Hivi kwani kisukari lazima mashine ilale?Ukipelekwa muhimbili siku bibie amekupa mzigo mashine haifanyi kazi, kisukari kimepanda unatamani uikamate uingize kwa mkono utamkumbuka janabi.
Hivi kwani kisukari lazima mashine ilale?Ukipelekwa muhimbili siku bibie amekupa mzigo mashine haifanyi kazi, kisukari kimepanda unatamani uikamate uingize kwa mkono utamkumbuka janabi.
D,,D,,D ,,aifanyi kazi inakua Gwedegwede😂😅Ukipelekwa muhimbili siku bibie amekupa mzigo mashine haifanyi kazi, kisukari kimepanda unatamani uikamate uingize kwa mkono utamkumbuka janabi.
pale ndo wanapaita stendi ya dodoma nahis ndo hapo mabas meng ya dodom yanalisha hapoI think ndio wametuleta hapa Leo. Kwa nje si kuna kina mama kibao wanauza ndizi na machungwa? Imebidi ninunue tu ndizi kisukari za buku mbili na maji ya kunywa. Imagine ka robo kuku elfu sita, kuku mwenyewe si kuku sijui njiwa
Lazma, sasa damu itapandaje maana mashine inasimama kutokana na mishipa kujaa damu.Hivi kwani kisukari lazima mashine ilale?
duh, kwahiyo na wewe jaji mfawidhi tena mwenya picha ya kuiume una mume. aisee jf imeingiliwa mno mno.Lazma, sasa damu itapandaje maana mashine inasimama kutokana na mishipa kujaa damu.
Unafkir kwanini watu wa kisukari miguu ama vidole vinaoza na kukatwa, si kwasababu damu haizunguki kufika huko?
Kuwa makini , msidharau ushauri wa daktari.
Binafsi namwambia mume wangu kila siku aheshimu sana madaktari.
Ila watu wana tabia ya kula kula hovyo. Mimi hukaa dukani kuanzia asubuhi mpaka saa 8 sijala kitu na wala sioni. Mwanzo mwanzo nilipofungua hapa wauza vyakula walikua hawanielewi, leo nimekula kesho sili wanahisi umeagiza kwingine. Au nikila asubuhi mchana sili, sasa wamenizoea. Wanajua wanikipa chakula asubuhi hawaji kunisumbua mchana. Na atakayekuja mchana nikaagiza, basi kesho haji maana anajua sitakula. Ratiba ya chakula haieleweki kabisa mi naona poa tu na wala sihangaiki.Prof Janabi akiona mnalalamika kukaa masaa 8 bila kula anafyonza tuu huko...
Sio lazima hyo condition impate mgonjwa wa kisukari...hasa hyo ya miguu kuoza hyo condition humfikia mgonjwa ambaye sukari yake imeshindwa kuwa tolerance..yani pale mgonjwa dawa zimeshindwa kucontrol sukari yake..usiwatishe wenye sukari ambao bado wana afya zao cha msingi wazingatie lishe nzuri na mazoezi.....Lazma, sasa damu itapandaje maana mashine inasimama kutokana na mishipa kujaa damu.
Unafkir kwanini watu wa kisukari miguu ama vidole vinaoza na kukatwa, si kwasababu damu haizunguki kufika huko?
Kuwa makini , msidharau ushauri wa daktari.
Binafsi namwambia mume wangu kila siku aheshimu sana madaktari.
Yani basi akishindwa sana kuna vitu vikavu mfano karanga,,korosho,,au biskuti ni nzuri kwenye safari kuliko vya kupikwa pikwa ...Ila watu wana tabia ya kula kula hovyo. Mimi hukaa dukani kuanzia asubuhi mpaka saa 8 sijala kitu na wala sioni. Mwanzo mwanzo nilipofungua hapa wauza vyakula walikua hawanielewi, leo nimekula kesho sili wanahisi umeagiza kwingine. Au nikila asubuhi mchana sili, sasa wamenizoea. Wanajua wanikipa chakula asubuhi hawaji kunisumbua mchana. Na atakayekuja mchana nikaagiza, basi kesho haji maana anajua sitakula. Ratiba ya chakula haieleweki kabisa mi naona poa tu na wala sihangaiki.
Sasa Dar-Dom hapo ndio mnashindwa kuvumilia?
Avata ya Komando wa JWTZ hiyo, huangaliagi hata maonyesho ya siku ya uhuru?duh, kwahiyo na wewe jaji mfawidhi tena mwenya picha ya kuiume una mume. aisee jf imeingiliwa mno mno.
stage za awali inalegea , na hawezi kuingiza bila usaidizi, ikipita mwaka miaka 2 ngoma inalala.Sio lazima hyo condition impate mgonjwa wa kisukari...hasa hyo ya miguu kuoza hyo condition humfikia mgonjwa ambaye sukari yake imeshindwa kuwa tolerance..yani pale mgonjwa dawa zimeshindwa kucontrol sukari yake..usiwatishe wenye sukari ambao bado wana afya zao cha msingi wazingatie lishe nzuri na mazoezi.....
Na ushauri wa madaktari ni muhimu sana wauzingatie...
Padle your own canoe, beba donut zako 2 weka kwa mfuko. Nunua soda/juice njiani huko ule inatosha.Yani basi akishindwa sana kuna vitu vikavu mfano karanga,,korosho,,au biskuti ni nzuri kwenye safari kuliko vya kupikwa pikwa ...
Huyo anakua hivyo ameshindwa kukontrol sukari yake..na huwapata wazee ambao hawana mazoezi ya kutosha wale wanene kupita kiasi..wenye magonjwa mengine ya muda mrefu...stage za awali inalegea , na hawezi kuingiza bila usaidizi, ikipita mwaka miaka 2 ngoma inalala.
Subiri madaktari waje hapa.
Na kapaja ka kuku ili asionekane mshamba njiani...Padle your own canoe, beba donut zako 2 weka kwa mfuko. Nunua soda/juice njiani huko ule inatosha.
Tatizo Watz, mnaendekeza wali, ugali, ndizi nyama........yaani mbongo bila kula ubwabwa hajala bado.
Pale korogwe weka buku ten tu. Kula chips na nyama ya kuchoma unatokea Arusha we kazi yako ni kulala tu baada ya hapo. Wako vizuri ni watu wanajua vyenye wanafayawajifunze kwa ule mgahawa wa korogwe. space kubwa, vyoo vipo mbali, pasafi.
You are brilliant.Nakunywa chai home, menu inayofuata ni gari ikisimama. Nakula chakula, sio chips kuku/nyama. Then maji yangu hadi nifike safari yangu.
Kuna pipo zikisafiri ni kula tu njia nzima, ni kama wameweka fungu la siku ya safari.